PromiseLand
JF-Expert Member
- Jun 24, 2021
- 298
- 413
Pita kwa mangi chukua novida ntalipaWakati wowote mwili ukihitaji na ukiwa na mtu wa kupiga nae game
NakaziaWakati wowote mwili ukihitaji na ukiwa na mtu wa kupiga nae game
Uko na madini kwa kichwa!Wakati wowote mwili ukihitaji na ukiwa na mtu wa kupiga nae game
Wakati mmekasirikiana Sana na kununiana. Mnafanyana huku mnatukanana, mkikaribia kujokoa utasikia, 1. Mi nakupenda sema tu wee unaniudhi.Salaam,Wana jukwaa. Kama kichwa Cha maada kinavyouliza,Je tendo la ndoa linafaa wakati gani?Je linafaa kabla ya ndoa au baada ya ndoa? Tukiachana na Imani za dini,he Mila na desturi zetu kama Waafrika au Watanzania zinasemaje? Haya mambo ya kutikisa kabla ya kutumia huko mbeleni kutakuwa na vijana wanaofunga ndoa kweli! Nini maoni yako juu ya jambo hili.
Hii comment iwekewe pop up message JamiiForums, Kila member na guest waisome kwa lazima.Wakati wowote mwili ukihitaji na ukiwa na mtu wa kupiga nae game