Je, TFF Kuna TISS?

Je, TFF Kuna TISS?

Mbona hujamalizia
Mkuu kwa hizo details zinatosha kabisa.
si vyema kuwataja kwa majina yao..

ila kuna ma informer na kuna watu wa idara..
kwenye vilabu kuanzia
Simba
Yanga
Azam na zinginezo kuna wachezaji ambao ni ma Informer
hawa wanafanya kazi ya kuwachoma na kupeleka taarifa kwa maofisa au kwa watu ambao wame directiwa kuwapelekea taarifa mbalii mbali kuanzia Siri na migogoro ya vilabu hadi wachezaji wenyewe binafsi.

then baadhi ya clabu wapo maofisa wasiri wa TISS na TFF wapo pia maofisa..
Yanga inaongoza kwa kuwa na watu wengi wa system ikifuatiwa na simba..

Niishie Hapa.
 
Mkuu kwa hizo details zinatosha kabisa.
si vyema kuwataja kwa majina yao..

ila kuna ma informer na kuna watu wa idara..
kwenye vilabu kuanzia
Simba
Yanga
Azam na zinginezo kuna wachezaji ambao ni ma Informer
hawa wanafanya kazi ya kuwachoma na kupeleka taarifa kwa maofisa au kwa watu ambao wame directiwa kuwapelekea taarifa mbalii mbali kuanzia Siri na migogoro ya vilabu hadi wachezaji wenyewe binafsi.

then baadhi ya clabu wapo maofisa wasiri wa TISS na TFF wapo pia maofisa..
Yanga inaongoza kwa kuwa na watu wengi wa system ikifuatiwa na simba..

Niishie Hapa.
Kuna tofauti gani kati ya tiss na informers?
 
Mkuu kwa hizo details zinatosha kabisa.
si vyema kuwataja kwa majina yao..

ila kuna ma informer na kuna watu wa idara..
kwenye vilabu kuanzia
Simba
Yanga
Azam na zinginezo kuna wachezaji ambao ni ma Informer
hawa wanafanya kazi ya kuwachoma na kupeleka taarifa kwa maofisa au kwa watu ambao wame directiwa kuwapelekea taarifa mbalii mbali kuanzia Siri na migogoro ya vilabu hadi wachezaji wenyewe binafsi.

then baadhi ya clabu wapo maofisa wasiri wa TISS na TFF wapo pia maofisa..
Yanga inaongoza kwa kuwa na watu wengi wa system ikifuatiwa na simba..

Niishie Hapa.
Miaka ya 80s ilikua inajulikana kabisa Mtemi Ramadhani alikua mtu wa idara. Wapo wengi TFF kama ambavyo wapo hadi kwenye taasisi za dini kama BAKWATA, CCT, TEC nk
 
TFF ambayo inajumuisha virabu vyote vya mpira ni rahisi MTU kupenyezwa kuliko katika mabenki mfano jiulizi ukimkuta kocha,au mchezaji ni mchina au muarabu utaona ni kawaida lakini Leo hii unaenda Benki yeyote unamkuta manager au taller ni mchina razima uumize kichwa na uweke dout,huo NI mfano
Razima,vitabu..na utakuta una vyeti vikubwa tu,mashuleni sijui Kuna nini siku hizi!!!
 
Razima,vitabu..na utakuta una vyeti vikubwa tu,mashuleni sijui Kuna nini siku hizi!!!
Lugha yetu bhana... Huwa nawaza labda kimatamshi labda mtu unaweza changanya R na L ni udhaifu tu wa kutamka.. Ila inapofikia hadi mtu ana andika kabisa hivyo kidogo huwa inanitatiza na kunichanganya.

Labda wenye changamoto hiyo wangesema hawaoni tofauti ya uandishi na matamshi katika kuchanganya hizo herufi..
 
Aisee mtemi ramadhani ninani? Halafu kumbe tiss inakuwaga ahead of time maana Kama miaka ya 80 waliona umuhimu wa kuwa na moles kwenye michezo Basi leo ni zaidi.
Miaka ya 80s ilikua inajulikana kabisa Mtemi Ramadhani alikua mtu wa idara. Wapo wengi TFF kama ambavyo wapo hadi kwenye taasisi za dini kama BAKWATA, CCT, TEC nk
 
Lugha yetu bhana... Huwa nawaza labda kimatamshi labda mtu unaweza changanya R na L ni udhaifu tu wa kutamka.. Ila inapofikia hadi mtu ana andika kabisa hivyo kidogo huwa inanitatiza na kunichanganya.

Labda wenye changamoto hiyo wangesema hawaoni tofauti ya uandishi na matamshi katika kuchanganya hizo herufi..
Ili apone ni Razima ajifunze
 
Back
Top Bottom