Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 329
- 413
- Thread starter
- #21
Aise [emoji848]hii si ilipigwa ban na TFDA kitambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aise [emoji848]hii si ilipigwa ban na TFDA kitambo
Kama ulikuepo 😅😅😅Na ile sabuni ya jaribu nyeusi tii 😂😂
Yaani o level ulikuwa unatumia hii wewe utakuwa ulikuwa mcharuko Sana😁Sio kumi mi nimetumia miaka ya 2003 uko olevel [emoji28]
SawaHako kalishapitwa wakati halafu ni cheap sana,mnunulie wix cocoa butter halufu imetulia na ngozi itakua Poa
[emoji2]Yaani o level ulikuwa unatumia hii wewe utakuwa ulikuwa mcharuko Sana[emoji16]
Mzigo una harufu kama dawa ya mbu ya HITHuwa sipendi mwanamke wangu atumie cream ya aina yoyote au mafuta yatakayo mbadili rangi yake ya asili au kumfanya kuwa mweupe,, kuna mtu kamshauri kuwa top lemon ni nzuri,,
Naomba ushauri wako kama haitamchubua au kumletea madhara mengineView attachment 2478620View attachment 2478623
Unawajua wale binadamu Wana rangi zaidi ya tatu mwilini? Ndio matokeo ya top lemon....!Mwambie atumie Nivea cocoa butter body lotion Ni best one...hatojuta![]()
Kwanini umehisi alikiwa ni mcharuko,, au inachubua kama swali lilivyoulizwa?
Asante kwa ushauri,, nitaenda kuitafuta hiyo Nivea na vipi bei yakeUnawajua wale binadamu Wana rangi zaidi ya tatu mwilini? Ndio matokeo ya top lemon....!Mwambie atumie Nivea cocoa butter body lotion Ni best one...hatojuta
Affordable!12thou tsh onlyAsante kwa ushauri,, nitaenda kuitafuta hiyo Nivea na vipi bei yake
Naomba List 5 Ya Mafuta Mazuri,Hiyo tunaita kipako
Kiongozi njoo nikuuzie mafuta mazuri babe wako atunze ngozi
Anachokitafuta hapo atakipata hautamtamani hata
Naomba List 5 Ya Mafuta Mazuri,
Ok List ya mafuta unayouza sana kwa wateja wako,Mazuri kwa nani?
Kila mafuta yana uzuri wake
Ukiweka list ya top five
Pengine inanifaa mimi na wateja wangu,
Wewe uzuri wa mafuta kwako ni upi?
Si kumi tu na zaidiJamani tupo 2023 bado tu kuna watu wanatumia hii kitu 😂😂 hii mafuta ilikuwa inatamba miaka kumi imepita hiyo harufu sasa changanya na maji yake 😂😂
Hii alikua anapaka Mom enzi hizo kibinti
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda IG @sweetmozuu anauza lotion nzuri sana sana mambo ya Dubai
Ukitaka ya kuwa mwarabu pia ipo
Ukitaka ya kiAfrica zipo
Nimemfahamu tangu 2015
Nanunua kwake lotion nina rangi chocolate adimu sana
0714514154