Je, Top lemon plus inachubua?

Je, Top lemon plus inachubua?

emoji2.png

Kwanini umehisi alikiwa ni mcharuko,, au inachubua kama swali lilivyoulizwa?
Unawajua wale binadamu Wana rangi zaidi ya tatu mwilini? Ndio matokeo ya top lemon....!Mwambie atumie Nivea cocoa butter body lotion Ni best one...hatojuta
 
Unawajua wale binadamu Wana rangi zaidi ya tatu mwilini? Ndio matokeo ya top lemon....!Mwambie atumie Nivea cocoa butter body lotion Ni best one...hatojuta
Asante kwa ushauri,, nitaenda kuitafuta hiyo Nivea na vipi bei yake
 
Mazuri kwa nani?

Kila mafuta yana uzuri wake

Ukiweka list ya top five
Pengine inanifaa mimi na wateja wangu,

Wewe uzuri wa mafuta kwako ni upi?
Ok List ya mafuta unayouza sana kwa wateja wako,

1...Wakike

2...Wakiume
 
Hii alikua anapaka Mom enzi hizo kibinti
😂😂😂
Nenda IG @sweetmozuu anauza lotion nzuri sana sana mambo ya Dubai
Ukitaka ya kuwa mwarabu pia ipo
Ukitaka ya kiAfrica zipo
Nimemfahamu tangu 2015
Nanunua kwake lotion nina rangi chocolate adimu sana
0714514154
 
Hii alikua anapaka Mom enzi hizo kibinti
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda IG @sweetmozuu anauza lotion nzuri sana sana mambo ya Dubai
Ukitaka ya kuwa mwarabu pia ipo
Ukitaka ya kiAfrica zipo
Nimemfahamu tangu 2015
Nanunua kwake lotion nina rangi chocolate adimu sana
0714514154

Aiseee
 
Back
Top Bottom