Je, toyota IST inafaa kwa safari za mkoani?

Je, toyota IST inafaa kwa safari za mkoani?

kalanga1

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2017
Posts
318
Reaction score
432
Habari wanajamvi,

Nimetokea kuipenda sana gari toyota IST. Kilichonifanya niipende ni ulaji wake wa mafuta, haina gharama kwenye mafuta. Sasa swali langu je mtu akiamua kusafiri na IST kutoka DAR kwenda Mwanza atatoboa?

Nisaidieni please. Kama kuna mwenye ushauri pia niambieni
 
Aweke ata kama haijafika muda wa kubadili
Kwa safari ndefu, ni vyema ukafanya hivyo. Lengo ni kuhakikisha engine inakuwa vyema kwa miaka mingi.
1. Aweke ata kama haijafika muda wa kubadili
2. Coolant ya kutosha inamaanisha nn mkuu..kwamba aweke nyingi au
Iwe kwenye level inayotakiwa kwenye kile kitanki chake, hivyo akague kwanza level ya coolant.
 
Iwe kwenye level inayotakiwa kwenye kile kitanki chake, hivyo akague kwanza level ya coolant.
Mkuu gari yoyote kabla ya kuanza safari hivyo vitu unahitajika kuvikaguwa kabla ya safari msimtishe mwenzenu bhana
 
Back
Top Bottom