seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,655
Tuna wabunge dhaifu na wengi wasiojielewa hawa wa CCM waliopita bila kupingwa na kulindwa na Mamlaka. Bungeni hawana uwezo wa kujenga hoja na wala hawana uelewa wa mambo ya Uchumi na Maendeleo.
Tuna wabunge wapiga meza na makofi Bungeni, Hawaelewi ipi ni "a" ndogo na ipi ni "A" kubwa. Wabunge waliopitishwa kinguvu hawajui maana ya kuwa Bungeni wala kwanini wapo Bungeni.
Aina za wabunge kama Gwajima, Bashiru na Humprey wanaelewa nini kuhusu Uchumi na Biashara, Wao kazi yao ni kupiga kelele na vigelegele ndio kazi waliyozoea, Hawana uwezo wa kuelezea mambo ya sheria hata kodi.
Hakuna mbunge wa ccm mwenye uwezo wa kujua Madhara ya maamuzi Katika kukandamiza wananchi, Walipora pesa zote kuwa nunua wafuasi wa chadema kupitia Humprey na Bashiru, Leo nchi ipo taabani haina pesa kabisa.
Leo wapo wana CCM wenyewe Bungeni bila mtu wa kuwakosoa, Hawasomi chochote wanacholetewa na Serikali Bungeni, Hata wakisoma Hawaelewi kitu hivyo ni kazi bure.
Mbunge kama Tale tale na Kibajaji wanaelewa kitu gani kuhusu Uchumi wa dunia na mambo ya diplomasia duniani, Wabunge wengi ni washamba sana sana, Wapo Bungeni kujadili watu.
Bunge la bajeti la kujadili tozo za miamala ya simu lilitumia asilimia 90% ya muda kujadili habari za Magufuli na Mbowe
Sheria ya tozo imepita nao wa nashangaa, Wabunge wa ccm Bungeni walikuwa wanapata u maarufu kwa kudakia hoja zinazoanzishwa na wabunge wa upinzani kama Peter Msigwa na Zito Kabwe.
Leo hii hakuna mbunge mwenye uwezo hata mmoja wa ccm wa kuelezea mambo kama Zitto Kabwe.
Bunge lote la ccm Bungeni ukiwa jumlisha na Dada zao wa viti maalum hawaufikii uwezo wa Zito Kabwe au Peter Msigwa hata kwa asilimia 1%.
Tuna wabunge wapiga meza na makofi Bungeni, Hawaelewi ipi ni "a" ndogo na ipi ni "A" kubwa. Wabunge waliopitishwa kinguvu hawajui maana ya kuwa Bungeni wala kwanini wapo Bungeni.
Aina za wabunge kama Gwajima, Bashiru na Humprey wanaelewa nini kuhusu Uchumi na Biashara, Wao kazi yao ni kupiga kelele na vigelegele ndio kazi waliyozoea, Hawana uwezo wa kuelezea mambo ya sheria hata kodi.
Hakuna mbunge wa ccm mwenye uwezo wa kujua Madhara ya maamuzi Katika kukandamiza wananchi, Walipora pesa zote kuwa nunua wafuasi wa chadema kupitia Humprey na Bashiru, Leo nchi ipo taabani haina pesa kabisa.
Leo wapo wana CCM wenyewe Bungeni bila mtu wa kuwakosoa, Hawasomi chochote wanacholetewa na Serikali Bungeni, Hata wakisoma Hawaelewi kitu hivyo ni kazi bure.
Mbunge kama Tale tale na Kibajaji wanaelewa kitu gani kuhusu Uchumi wa dunia na mambo ya diplomasia duniani, Wabunge wengi ni washamba sana sana, Wapo Bungeni kujadili watu.
Bunge la bajeti la kujadili tozo za miamala ya simu lilitumia asilimia 90% ya muda kujadili habari za Magufuli na Mbowe
Sheria ya tozo imepita nao wa nashangaa, Wabunge wa ccm Bungeni walikuwa wanapata u maarufu kwa kudakia hoja zinazoanzishwa na wabunge wa upinzani kama Peter Msigwa na Zito Kabwe.
Leo hii hakuna mbunge mwenye uwezo hata mmoja wa ccm wa kuelezea mambo kama Zitto Kabwe.
Bunge lote la ccm Bungeni ukiwa jumlisha na Dada zao wa viti maalum hawaufikii uwezo wa Zito Kabwe au Peter Msigwa hata kwa asilimia 1%.