PSRS ni 🚮🚮 kabisaMbona halmashauri zina ajiri watendaji, madereva n.k hata kama wako under supervision ya utumishi through kutuma afisa mmoja kama ni mianya ya corruption na nepotism ipo haiwezi kuzibwa.
Pia tamisemi wana ajiri watumishi wa afya, walimu, ma afisa ustawi, wizara ya afya ina ajiri watumishi yenyewe kwa nyakati tofauti mbona sio issue sana why TRA iwe nongwa!?
PSRS imeshindwa kutimiza majukumu yake kwa wakati, wacha taasisi zinazo hitaji watumishi kwa haraka ziajiri zenyewe huku wao wakiendelea na michakato ya miezi nenda rudi kama walivyo zoea.
PSRS ni [emoji706][emoji706] kabisa
Ulitaka nani awaajiri.Nimeona tangazo la kazi za TRA. Kwa Sasa inaonekana wataajiri wenyewe bila kupita Utumishi.
Je, watoto wa Mamantilie watapita? Nakumbuka enzi za Dkt. Slaa na majina ya watoto wa vigogo BOT.
Yajayo yanafurahisha.
Tupambanie serikali ifungue fursa zingine. Serikali inaajiri kama watu 600,000 tu kati ya Watz zaidi ya 30m wenye uwezo wa kufanya kazi.
Na wabongo wanavyopenda kazi zenye miacha ya kuiba watajaa kama siafuBadamu batamwagika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha dharau dogoMbona TAMISEMI wanaajiri wenyewe boss? Au kwasabbu walimu na madaktari ni low level jobs