Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mtoto wa waziri ambae ni mwalimu. Hizo kazi WAKUBWA hawazitakiMbona TAMISEMI wanaajiri wenyewe boss? Au kwasabbu walimu na madaktari ni low level jobs
Exposure ya Nini?Wacha waajiri wenyewe.
PSRS wanapeleka watu hawana akili na uwezo.
Psrs wanabebelea tu limtu from no where.. kwa kigezo cha mtoto wa mkulima ila exposure, experience etc yupo chini ila siasa ndio inatawala.
Tuliowahi kupitia interview za TAASISI tumeshaona tayariNgoja tuone...
Wataingia kwenye hizi taasisi Kwa kigezo cha kujitoleaTatizo hii nchi sasa hivi ni kama vile Rushwa imekuja kwa kasi ya Kimbunga. Nlishangaa sana ajira za nafasi ya Polisi zilipotangazwa kuna mdau alitakiwa kutoa milioni moja ili mwanae apate nafasi ya kujiunga. Sasa kama nafasi za Polisi rushwa inatembea sijui kwa TRA na taasisi nyingine itakuwaje.
Kadhalika hizi connection wanazofanyiwa watoto wa viongozi waliopo kwenye mamlaka kupata kazi bila ku-struggle kwenye interview ndio kunasababisha hata kusiwe na mikakati ya ziada kutengeneza ajira kwa vijana nchini. Laiti kama viongozi wangeruhusu fare competition katika ajira basi wangeona ni kwa namna gani vijana wanateseka kutafuta ajira. Watoto wengi wa viongozi hupata kazi tu pale wanapohitimu masomo yao ya chuo ndio maana issue ya high level of unemployment nchini kwao wanaona kawaida tu. Au kiongozi anaongea simple simple tu kuwa vijana wajiajiri. Ila Mwanae unakuta kamtaftia chaka la kazi sehemu.
Mjomba kanitumaNa wabongo wanavyopenda kazi zenye miacha ya kuiba watajaa kama siafu
Unaajiri mtu hajui mfumo hata mmoja wa serikali. Anafika unaanza kumfundisha.Exposure ya Nini?
Hayo maswali yaweke kwenye interview ili umchuje fairlyUnaajiri mtu hajui mfumo hata mmoja wa serikali. Anafika unaanza kumfundisha.
Unaajiri mtu hata computer hajui kuwasha anakuja unaanza kumfundisha kutype barua.
Unaajiri mtu hajui taasisi inafanya vip kazi (Kuna mtu alikosea ofisi ya kuripoti) mfn umejairiwa TBS ila unaenda kuripot TMDA.
Harafu mbona Ile web haifungukiNimeona tangazo la kazi za TRA. Kwa Sasa inaonekana wataajiri wenyewe bila kupita Utumishi.
Je, watoto wa Mamantilie watapita? Nakumbuka enzi za Dkt. Slaa na majina ya watoto wa vigogo BOT.
Yajayo yanafurahisha.
Eeh wewe unaongelea inchi gani tanzania au nigeria?Tupambanie serikali ifungue fursa zingine. Serikali inaajiri kama watu 600,000 tu kati ya Watz zaidi ya 30m wenye uwezo wa kufanya kazi.
Kwani hao watu hawafanyiwi interview pamoja na nyie wenye exposure na experience?Wacha waajiri wenyewe.
PSRS wanapeleka watu hawana akili na uwezo.
Psrs wanabebelea tu limtu from no where.. kwa kigezo cha mtoto wa mkulima ila exposure, experience etc yupo chini ila siasa ndio inatawala.
Umekumbuka shuka kumekucha,hizo ajira zimeishajaa,bila kushikwa mkono Sasa hv,hupati kituNimeona tangazo la kazi za TRA. Kwa Sasa inaonekana wataajiri wenyewe bila kupita Utumishi.
Je, watoto wa Mamantilie watapita? Nakumbuka enzi za Dkt. Slaa na majina ya watoto wa vigogo BOT.
Yajayo yanafurahisha.
Hapo ndio linapokuja swala la Ubovu wa PSRS.Kwani hao watu hawafanyiwi interview pamoja na nyie wenye exposure na experience?
Interview za PSRS hazichuji ila zinapima.Hayo maswali yaweke kwenye interview ili umchuje fairly
Unaongea ila kama ungekuwa unafanya kazi na watumishi before na after Utumishi ndipo utakapojua.Interview za PSRS hazichuji ila zinapima.
Zinapima uwezo wa kukariri na kuandika haraka.
Wajanja washawajulia hata namna ya kujibu..
Taasisi zinalalamika kupelekewa vilaza, ishu si nani aajiri ila quality ya unaowachukua je ina standard?Unaongea ila kama ungekuwa unafanya kazi na watumishi before na after Utumishi ndipo utakapojua.
Utumishi walikuwa wanachukua watu walioiva,ninafanya kazi na maIT kibao najua ninacho kiongea basics tu hizi mtu hajui, matokeo yake kazi yake unamfanyia ww,ili uwahi kumaliza kazi yako ukafanye mambo mengine.
Ila madogo waliopita Utumishi wengi ni wazuri.