rates zinachange ndio na ni kulingana na specifics za gari husika kama hiyo ya 2018 na 2017 haziwezi zikawa sawaMmmmmmhmn hivi unataka nambia rates za kodi zina change, me nimechunguza naona same price for a particular model ya gari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee si uende ukacheki kama ni ukwel au uongo? Binafsi nimechek gar zimeshuka kwa kias kikubwarates zinachange ndio na ni kulingana na specifics za gari husika kama hiyo ya 2018 na 2017 haziwezi zikawa sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sijaona tofauti labda naangalia kikokoto tofauti
hawaangalii taarif za benki, ni invoice tuSi unalipa kwa njia ya benki?! Taarifa zako zinakuwapo wanaona kule TRA.
Pia nyaraka zako za gari zinaonyesha taarifa za gari ikiwamo bei ya manunuzi yaani CIF.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mda uliowekwa kikatiba ni upi kwa muktadha wa Mama SamiaSitaki aongoze nje ya muda uliowekwa kikatiba.
Its not rocket science.
sasa waliosema aendelee walikuwa na maana ipi?This is so abecedarian. Unless of course if you are a wildebeest 🤣.
Ni hivi, akimaliza muhula huu, anaruhusiwa kugombea tena 2025.
Akiamua kugombea tena hiyo 2025 na endapo atashinda, basi urais wake utakoma 2030 na kikatiba hatoruhusiwa tena kuwa Rais.
Kuna ugumu katika kuelewa hilo?
Mda uliowekwa kikatiba ni upi kwa muktadha wa Mama Samia
sasa waliosema aendelee walikuwa na maana ipi?
1. kuendelea baada 2025?
2 kundelea baada 2030?
3. kuendelea bila ukomo?
Mkuu nilifikiri zinakutosha ila nimegundua hazikutoshi na sababu ni kwamba unawadharau wenzakoKawaulize wao.
Hata mimi nimegundua nawe hazikutoshi.Mkuu nilifikiri zinakutosha ila nimegundua hazikutoshi na sababu ni kwamba unawadharau wenzako
umafatilizia?!Hata mimi nimegundua nawe hazikutoshi.
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.
Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March.
View attachment 1752100
Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
Hili nalo liangalweBado Mafuta haiwezekani mtu ananunua Petrol Rwanda bei Rahisi kuliko Dar
Yule mwovu hakuwa Msukuma, ametupakazia sana, yule ni mhutuWasukuma msahau kushika madaraka makubwa ktk nchi hii,, tushapata somo
Hili nalo liangalwe