Je, TRA wamesikia kilio chetu cha Ushuru wa kuingiza magari?

Je, TRA wamesikia kilio chetu cha Ushuru wa kuingiza magari?

Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.

Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March.

View attachment 1752100

Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari​
Mkuu naomba ya IST please......
 
CIF inakadiriwa na TRA ndo shida inapoanzia. Unadhani wafanyabiashara wanapolalamika kodi kubwa hawajui hesabu???

Kodi kubwa kwasababu ya makadirio makubwa/yasiyo na uhalisia. TRA wamepunguza makadirio hayo na hivyo kodi imeshuka

CIF za kwenye mfumo wa TRA approximate na provisional. Haingilii akilini hata kama wamepunguza estimations za CIF, iwe kwa 50%?

Kuwa gari mwanzo ilikuwa na CIF USD 26k sasa imeshuka mpaka USD 13k?

Actual price ya gari kwa FOB then CIF ndio itadetermine tax.
 
Mama aliwaambia TRA wanatumia nguvu kuliko maarifa na akili, lile ni tusi la kiutu uzima. Watu na suti zao walikuwa wadogo kama wanafunzi wa darasa la pili.
 
CIF za kwenye mfumo wa TRA approximate na provisional. Haingilii akilini hata kama wamepunguza estimations za CIF, iwe kwa 50%?

Kuwa gari mwanzo ilikuwa na CIF USD 26k sasa imeshuka mpaka USD 13k?

Actual price ya gari kwa FOB then CIF ndio itadetermine tax.
Soma komenti zingine zingine zangu hapo nimeelezea mkuu

Gari niliyotaka ni ya $16,000 hivi ila wao walikadiria(hiyo provisional) $26,000 sasa hivi wameshusha kwahiyo ntalipa kwa CIF ya invoice yangu(16,000) sasa tofauti ya $10,000 sio ndogo mkuu
 
Mjomba nawe kumbe umetuingiza chaka.. Ni gari mbili tofauti..

"Natengua kauli" zangu zoote hapo juu[emoji23]
 
Sijawahi kuwa dalali maishani mwangu!

Acha unajimu.
Mie nimeona katikati ya maneno yako- hutaki Samia aendelee kuongoza na unatowa sababu kuwa watanzania tuko wengi 60m; kumbe wewe kwa tathmini yako huwezi kuchukua hata fomu ya kuomba kuwa rais wetu- safi. kwa hiyo wewe ama:-
1.si mtanzania
2. ni mtoto
3. unajua tu kusoma na kuandika
4. ni mwenda wazimu
5. ni dalali
 
Tuendelee na mjadala nimecalculate tena kwa gari ya 2017, CC zile zile ila CIF wanayokadiria TRA imekua chini(Na ndio Ulikua msingi wa Uzi mzima)

Ila nadhani wengi mliojibu hapo hamkujua hata hicho kikokotoo kinafanyaje kazi. Someni comment yangu #60
Kama point ni CIF nakubaliana na wewe Mkuu.
Ila Excise duty ni 0 sababu ya year of manufacture.
 
Mie nimeona katikati ya maneno yako- hutaki Samia aendelee kuongoza na unatowa sababu kuwa watanzania tuko wengi 60m; kumbe wewe kwa tathmini yako huwezi kuchukua hata fomu ya kuomba kuwa rais wetu- safi. kwa hiyo wewe ama:-
1.si mtanzania
2. ni mtoto
3. unajua tu kusoma na kuandika
4. ni mwenda wazimu
5. ni dalali
Sitaki aongoze nje ya muda uliowekwa kikatiba.

Its not rocket science.
 
Mjomba nawe kumbe umetuingiza chaka.. Ni gari mbili tofauti..

"Natengua kauli" zangu zoote hapo juu[emoji23]
Nimerekwbisha nimeweka pia na gari ile ile parameters zile zile. Angalia comment yangu #60 mkuu

Naomba urudishe/usimike kauli zako tena
 
Kichuguu msome black kid kaelezea tena hapa



Acha ubishi kama huelewi uliza, Msome Black kid hapo kaelezea, na nimeelezea sana humu

Kama wakishakadiria CIF ndogo manaake kazi ni kwako kutafuta gari kwa bei ndogo chini ya 13,000 utalipa kodi ya 13000 na ukipata gari labda kwa bei ya 15000 utalipa kodi ya 15,000 ila wakati ule walikadiria bei 26,000 kwahiyo hata ungenunua gar kwa 12,000 unalipa kodi ya 26,000
Inategemea pia model ya gari lenyewe; usione Ford Ranger ya 2017 tu ukadhani kuwa yote yanafanana. Angalia hapa

1618493491684.png
 
mbona kama hayo ni magari tofauti
[emoji95]moja manufactured 2017 nyingine 2018
[emoji95]moja cc < 2500 nyingine cc > 2500
[emoji95]CIF zao hazifanani
kwahiyo sitegemei zikawa na kodi sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea pia model ya gari lenyewe; usione Ford Ranger ya 2017 tu ukadhani kuwa yote yanafanana. Angalia hapa

View attachment 1752844
Ni kweli mkuu na usihamishe magoli. Nadhani umeelewa alichoelezea huyo jamaa

Ninachojadili ni hayo "makadirio" ya CIF twende sawa kwenye hilo

Wewe ukinunua Ford Ranger kwa Mil 100 ukalipa kodi kwa hesabu ya mil100 kwani kuna shida gani???

Tatizo ni pale Ford Ranger ya $12,000 ilipokua unalazimikq kulipa kodi kwa kutumia kigezo chao cha thamani ya $26,000 nadhani unanisoma mkuu

Hicho kitendo cha kupunguza CIF provisional kutoka 26,000 mpaka 13,000 ndio nilichokisifia/kuuliza kama wamesikia kilio chetu
 
Back
Top Bottom