Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Nenda kacheki mzee me nimeona kiukweli nimeona imeshuka... Na hata CIF yake sio ile ya mwanzo kwa TRA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samcezar asante sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kacheki mzee me nimeona kiukweli nimeona imeshuka... Na hata CIF yake sio ile ya mwanzo kwa TRA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay itakuwa basi ni kwa magari makubwa tu ya thamani kubwa. Hizi za akina kajamba nani Raum naAiseee ni kweli. Nimeenda kutazama kweli gari nyingi ushuru wa TRA umeshuka..... Nimetazama maana kuna gari ilikuwa ukijumlisha na ushuru inaenda 29 but now ukiplus na ushuru ipo katika 14 milioni
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumbu tumeungana nao kutaka Samia aongezewe muda
UraisNataka nini?
Nyie watu ni mazuzu kabisa aisee!
Hamna akili.
Walio na akili JF siku hizi wamebaki wachache sana.
Zuzu wewe.Urais
Binafsi nachoona mtu anapaswa kuwa makini sana anapoagiza gari ili asipate hasara.Point to note ni kwamba CIF inabadilika kwendana na Invoice husika ya gari,hvyo kama TRA wameshusha CIF value kwenye calculator yao na sio Tax rate-na wewe ukaagiza gari na invoice ya gari uliyoagiza ina CIF kubwa kuliko ya TRA shida ndipo inapoanzia hapa sababu TRA will go for higher CIF value.Niliyocheck Mimi Mark X imepungua kwa 1.5m nzima.
Sema kama unataka urais si u miongoni mwa watanzania 60 m?Zuzu wewe.
Sisemi.Sema kama unataka urais si u miongoni mwa watanzania 60 m?
Mikumi na tanoooooMaza Atake asitake lazima aongezewe, akikataa alazimishwe yule. Suluhu mikumi tena.
Acha u dalali sasaSisemi.
Watu wengi swala la kwanza hawalijui au kufanya utafiti ni kujua "range" ya bei ya hiyo gariBinafsi nachoona mtu anapaswa kuwa makini sana anapoagiza gari ili asipate hasara.Point to note ni kwamba CIF inabadilika kwendana na Invoice husika ya gari,hvyo kama TRA wameshusha CIF value kwenye calculator yao na sio Tax rate-na wewe ukaagiza gari na invoice ya gari uliyoagiza ina CIF kubwa kuliko ya TRA shida ndipo inapoanzia hapa sababu TRA will go for higher CIF value.
*Jambo hili litakuwa na manufaa sana endapo TRA wataamua kuchukua CIF ya kwenye calculator yao pasipo kuangalia bei ya kwenye invoice-otherwise haya yote yatakuwa hayana maana zaid ya trap kwa mlipa kodi.
Sijawahi kuwa dalali maishani mwangu!Acha u dalali sasa
Nadhani una nafasi ya kuongea na wauzaji wa magari kuhusu kukushushia bei ya gari ili iweze kuendana na evaluated amount.Binafsi nachoona mtu anapaswa kuwa makini sana anapoagiza gari ili asipate hasara.Point to note ni kwamba CIF inabadilika kwendana na Invoice husika ya gari,hvyo kama TRA wameshusha CIF value kwenye calculator yao na sio Tax rate-na wewe ukaagiza gari na invoice ya gari uliyoagiza ina CIF kubwa kuliko ya TRA shida ndipo inapoanzia hapa sababu TRA will go for higher CIF value.
*Jambo hili litakuwa na manufaa sana endapo TRA wataamua kuchukua CIF ya kwenye calculator yao pasipo kuangalia bei ya kwenye invoice-otherwise haya yote yatakuwa hayana maana zaid ya trap kwa mlipa kodi.
You have a point.Nadhani una nafasi ya kuongea na wauzaji wa magari kuhusu kukushushia bei ya gari ili iweze kuendana na evaluated amount.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe gari nyingi basi
Na tena nyingine hazipo kabisa kwenye listi nadhani wanaendelea kufanya marekebisho
Wana update DB yao maana kwasasa wameiondoa TOYOTA ,bado wana update system zao.Na bei yake ikoje mkuu?
Bado petroleum Bi mkubwa Ma V6 yanatutesa sana , tunayaendesha kwa kuchungulia mno
Mikumi ni hifadhi pia hakuna kiswahili cha idadi ya mikumi.Labda useme ''Mama atake asitake kumi zaidi''Maza Atake asitake lazima aongezewe, akikataa alazimishwe yule. Suluhu mikumi tena.