Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Sasa si ndio tunamtaka..... Mbona kama unatufokea sasa....?!Kwa nini?
Ni kwamba kati ya Watanzania takriban milioni 60, ni yeye tu mwenye kuiweza hiyo kazi mpaka alazimishwe kuifanya hata kama hataki?
Fikra dhaifu sana hizo katika karne hii ya 21!
Sent using Jamii Forums mobile app