GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
- Thread starter
- #121
Umeona sasa??? Na mimi ndo nilikua nauliza hili swala kama kuna mtu alishacheki gari Fulani kabla hapo aangalie kama kuna mabadiliko au ni kwamba system ina matatizo. Sijaamini hata mimi aiseeMama SSH nimemkubali sanaa,kuna gari wakati wa JIWE kodi ilikuwa 6m ila sasa nimeona ni 4.5m....#SSH_MIKUMI_TENA_MATHA(MAKE TANZANIA HAPPY AGAIN).
JIWE alikuwa hataki watu wapate raha,alikuwa anataka watu waishi kama mashetani.
SSH misaba tena😂😂