witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Hili ni kweli kabisa...watu mtaani wana amani balaa na furaha tele, na hela hawana but ile smooth,polite language ya SSH inawapa furaha ya nafsiHuku mitaani watu wanafuraha na amani hata kama hawana hela.Mama kama mama sio kufokewa fokewa kila siku