Je, TRA wamesikia kilio chetu cha Ushuru wa kuingiza magari?

Je, TRA wamesikia kilio chetu cha Ushuru wa kuingiza magari?

From now, huyu ndio raisi wangu bora kuliko wote waliopita. Ndani ya mwezi mmoja tumeona mabadiliko, Mungu amsimamie kwakweli. Huu mwaka tutaona mengi tusubiri, na Mungu awe pamoja naye
Amina amina
 
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.

Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100

Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
Sio kweli hapo bei ya hizo gari ni tofauti (CIF).
Therefore lazima kodi itakuwa tofauti.
Usiangalie jina la gari angalia CIF
 
Kuna watu mnaleta ukabila humu. Sijui kwa nini.
Ila ni ukweli usiopingika Wasukuma ni wengi sana na wenye vinasaba vya usukuma ni wengi na viongozi wengi ni wasukuma na kanda ya ziwa
 
Tuendelee na mjadala nimecalculate tena kwa gari ya 2017, CC zile zile ila CIF wanayokadiria TRA imekua chini(Na ndio Ulikua msingi wa Uzi mzima)

Ila nadhani wengi mliojibu hapo hamkujua hata hicho kikokotoo kinafanyaje kazi. Someni comment yangu #60

Sure!! Kuna changes, kuna gari kodi imeshuka kwa karibu m5 kabisa. Niliifuatilia nilipoona kodi inazidi mnunuzi nikaacha, leo naona imeshuka
 
Mkuu hebu tuwekee na data za gari ya uchumi wa kati IST
Wamepunguza Tshs. 50,000/= kwenye gharama ya usajili, lakini kodi kwa ujumla bado wamekaza
Screen Shot 2021-04-15 at 7.34.21 AM.png

2005 Toyota iSt
Screen Shot 2021-04-15 at 7.38.40 AM.png

2006 Toyota iSt
 
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.

Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100

Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
SGRA inajengwa na wanaoingiza magari alafu wanyonge wanadananywaga eti ni kodi zao, pumba***
 
Hivi kodi Tanzania inapangwa na rais au inapangwa na bunge? Tanzania ni nchi ya ajabu ajabu sana kama inandeshwa kwa matamko, siyo kwa sheria za bunge!
UMEMALIZA MKUU. Yaani kinachoendelea hakina tofauti na kilichotoka, TAMKO tu linabadili jambo la kisheria ambalo lingepaswa kufanywa na bunge la bajeti. Lakini kama TAMKO lina unafuu kwetu wananchi acha tufurahie tu japo nchi haieleweki inaendaje endaje
 
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.

Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100

Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari

nadhani inategemea magari hayo mawili yalikuwa na hali gani na yalishatembea maili ngapi kwani CIF zake zinatofautiana kwa karibu 100%, moja lina CIF value ya US$26.6k na jininge lina CIF value ya US$13.3k! Kwa hiyo kodi zake bado ni zile zile, yule wa US$26.6k analipa Ths 23.32m na huyu wa US$13.3k! analipa Ths 15.97m ambayo ni ratio ile ile.
 
Sio kweli hapo bei ya hizo gari ni tofauti (CIF).
Therefore lazima kodi itakuwa tofauti.
Usiangalie jina la gari angalia CIF
Kitu ambacho hujui wewe ni kwamba unadhani cif ni bei ya soko, cif unazoziona hapo zimepangwa na tra sio bei halisi ya soko. Sokoni unaweza kupata gari hilo kwa bei ya chini kabisa au bei juu zaidi ya cif waliyopanga tra. Gari hilo hilo utawala wa marehemu dikiteta magufuli cif walipanga dola 26 elf, kaingia maza kaishusha cif hadi dola 13 elf. So endapo utapewa zawadi la hilo gari huko ulaya, ukilifikisha bongo ktk utawala wa dikiteta Kodi wangekukadiria kwa thamani ya cif 26 elf, na ktk utawala wa maza ungekadiriwa kodi kwa thamani ya cif 13 elf, hope utakuwa umeelewa.
 
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.

Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100

Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari

hamna mabadiliko hapo wewe!!!


CIF cost ndio basis ya Tax

Hivi nini kimewapata?
 
nadhani inategemea magari hayo mawili yalikuwa na hali gani na yalishatembea maili ngapi kwani CIF zake zinatofautiana kwa karibu 100%, moja lina CIF value ya US$26.6k na jininge lina CIF value ya US$13.3k! Kwa hiyo kodi zake bado ni zile zile, yule wa US$26.6k analipa Ths 23.32m na huyu wa US$13.3k! analipa Ths 15.97m ambayo ni ratio ile ile.

Yaani mleta maada sijui lengo lake

mwache akosee wapige mnada
 
hamna mabadiliko hapo wewe!!!


CIF cost ndio basis ya Tax

Hivi nini kimewapata?
Cif sio bei ya soko ni mabei yaliyopangwa na tra unapaswa kuelewa hilo, gari hilo moja utawala wa marehemu dikiteta magufuli, tra walipanga cif dola 26 elf kaingia maza rais wa wanyonge kashusha hadi cif dola 13 elf.
 
Tuendelee na mjadala nimecalculate tena kwa gari ya 2017, CC zile zile ila CIF wanayokadiria TRA imekua chini(Na ndio Ulikua msingi wa Uzi mzima)

Ila nadhani wengi mliojibu hapo hamkujua hata hicho kikokotoo kinafanyaje kazi. Someni comment yangu #60
Mkuu nafanya hizi hesabu tangu enzi kikokotoo hakijawekwa mtandaoni.
Hoja yangu ilikuwa kwamba ulikosea kwa kuzifanya gari zenye CC mbili tofauti above 2500 na below 2500 kuwa ni sawa.Hilo pekee ni kosa litakalopelekea miscalculation za ushuru,sasa sijui unachobisha nini
 
Wakuu, kwa hiyo huko bongo cc za gari husika haziathiri chochote kuhusiana na ushuru wa magari?!
 
Back
Top Bottom