Je, TRA wamesikia kilio chetu cha Ushuru wa kuingiza magari?

Je, TRA wamesikia kilio chetu cha Ushuru wa kuingiza magari?

Sasa unajua CIF wanavyokadiria TRA mkuu? Tuanzie hapo kwanza

Yaaani TRA wanakuwa na makadirio yao labda tuseme 13,000 dola halafu wewe ukinunua 10,000 manaake unalipa kodi ya 13,000 ila ukinunua 15,000 basi unalipa kodi kwa hiyo 15,000

Sasa kilichotokea ile makadirio ya TRA yameshuka toka 26,000 mpaka 13,000 huo ndio msingi wa hoja yangu

Tu nacho lala nikawa siku zote ni MAKADIRIO kuwa juu kuliko uhalisia

Nadhani umenielewa. Hiyo CIF hapo sio mimi niliyeweka(kutokana na bei ntakayonunua) hiyo ni makadirio ya TRA

TRA hawakadirii CIF. TRA wabakadiria kodi kutegemea na CIF value ya invoice. Na CIF values za magari yaliyo kwenye mfumo wa TRA ni provisional, wao watapiga kodi to the highest CIF value possible. Maana yake, kama wao wameweka CIF ni USD 10,000 then wewe ukaja na invoice ya CIF ya USD 12,000 basi kodi itapigwa kwenye 12. Lakini ukija na CIF less than waliyoweka kwenye mfumo wao, say uje na invoice ya USD 8,000 wao wanakupiga kwenye 10 ya mfumo.
 
Mkuu nafanya hizi hesabu tangu enzi kikokotoo hakijawekwa mtandaoni.
Hoja yangu ilikuwa kwamba ulikosea kwa kuzifanya gari zenye CC mbili tofauti above 2500 na below 2500 kuwa ni sawa.Hilo pekee ni kosa litakalopelekea miscalculation za ushuru,sasa sijui unachobisha nini
Nimeweka calcution mpya comment #60 angalia mkuu

Sikukosea kwakua najua kodi zinakadiriwa kwa makundi. Angalia hiyo calculation kwa parameters zile zile tena CIF imeshuka
 
Kwa nini?

Ni kwamba kati ya Watanzania takriban milioni 60, ni yeye tu mwenye kuiweza hiyo kazi mpaka alazimishwe kuifanya hata kama hataki?

Fikra dhaifu sana hizo katika karne hii ya 21!
Kwanza kuna mtu kaniambia akimaliza hataendelea
 
Umewahi kuagiza hata baiskeli wewe kilaza?

Nenda Chato huko acha kubweka ovyo humu.
Ndugu yangu ni mimi ambaye sijawahi agiza hata baiskeli. Hii gari nilikuwa nataka ninunue Dec 2020. Hebu niambie sasa kodi yake kiasi gani?

Screenshot_20210415-113007_Google PDF Viewer.jpg
 
nadhani inategemea magari hayo mawili yalikuwa na hali gani na yalishatembea maili ngapi kwani CIF zake zinatofautiana kwa karibu 100%, moja lina CIF value ya US$26.6k na jininge lina CIF value ya US$13.3k! Kwa hiyo kodi zake bado ni zile zile, yule wa US$26.6k analipa Ths 23.32m na huyu wa US$13.3k! analipa Ths 15.97m ambayo ni ratio ile ile.
Kichuguu msome black kid kaelezea tena hapa
Kitu ambacho hujui wewe ni kwamba unadhani cif ni bei ya soko, cif unazoziona hapo zimepangwa na tra sio bei halisi ya soko. Sokoni unaweza kupata gari hilo kwa bei ya chini kabisa au bei juu zaidi ya cif waliyopanga tra. Gari hilo hilo utawala wa marehemu dikiteta magufuli cif walipanga dola 26 elf, kaingia maza kaishusha cif hadi dola 13 elf. So endapo utapewa zawadi la hilo gari huko ulaya, ukilifikisha bongo ktk utawala wa dikiteta Kodi wangekukadiria kwa thamani ya cif 26 elf, na ktk utawala wa maza ungekadiriwa kodi kwa thamani ya cif 13 elf, hope utakuwa umeelewa.

hamna mabadiliko hapo wewe!!!


CIF cost ndio basis ya Tax

Hivi nini kimewapata?
Acha ubishi kama huelewi uliza, Msome Black kid hapo kaelezea, na nimeelezea sana humu
Yaani mleta maada sijui lengo lake

mwache akosee wapige mnada
Kama wakishakadiria CIF ndogo manaake kazi ni kwako kutafuta gari kwa bei ndogo chini ya 13,000 utalipa kodi ya 13000 na ukipata gari labda kwa bei ya 15000 utalipa kodi ya 15,000 ila wakati ule walikadiria bei 26,000 kwahiyo hata ungenunua gar kwa 12,000 unalipa kodi ya 26,000
 
Kula mtori nyama ziko chini( Soma maoni ya watu wengine mkuu)

Mimi nimeuliza swali kwa gari niliyokua na kumbukumbu nayo. Na leo naenda kuiagiza kabisa manaake hela ilikuwepo nilikua naongeza ongeza.Ila saivi inatosha na chenji inabaki
Screenshot_20210415-113007_Google PDF Viewer.jpg


Naomba niangalizie hii gari. Kodi hii ilikuwa ya December 2020.
 
Leo ndio mnajua kwamba tupo M60? Nilitegemea kwamba ile slogan yetu ya rais kuongezewa muda itaendelea kumbe mnaakil
Kwa nini?

Ni kwamba kati ya Watanzania takriban milioni 60, ni yeye tu mwenye kuiweza hiyo kazi mpaka alazimishwe kuifanya hata kama hataki?

Fikra dhaifu sana hizo katika karne hii ya 21!
 
Mbona ni simple math tu, tax ni variable inategemea na CIF value. Sasa ya kwanza imeweka CIF dolla 26k, ya pili ukaweka CIF dollar 13k ambayo ni almost 50% less, ndio maana na kodi imeshuka kutoka 31k to 15k. Haina uhusiano na mabadiliko yoyote ya kodi. Ni math tu hapo. Check between lines.
CIF inakadiriwa na TRA ndo shida inapoanzia. Unadhani wafanyabiashara wanapolalamika kodi kubwa hawajui hesabu???

Kodi kubwa kwasababu ya makadirio makubwa/yasiyo na uhalisia. TRA wamepunguza makadirio hayo na hivyo kodi imeshuka
 
TRA hawakadirii CIF. TRA wabakadiria kodi kutegemea na CIF value ya invoice. Na CIF values za magari yaliyo kwenye mfumo wa TRA ni provisional, wao watapiga kodi to the highest CIF value possible. Maana yake, kama wao wameweka CIF ni USD 10,000 then wewe ukaja na invoice ya CIF ya USD 12,000 basi kodi itapigwa kwenye 12. Lakini ukija na CIF less than waliyoweka kwenye mfumo wao, say uje na invoice ya USD 8,000 wao wanakupiga kwenye 10 ya mfumo.
Ndio msingi wa hoja hapo nadhani umeanza kuelewa. Sasa hilo kupunguza Provisional kutoka 26,000 mpaka 13,000 ndio wamepunguza kodi kwa kiwango kikubwa. Inamaana wanaopata hii gari kwa 12,000 CIF ya kununua South Africa wana unafuu ila zamani gari ya 12,000 CIF TRA wanakuchaji kwa 26,000 unaona tofauti ndogo hiyo?
 
Mimi nashangaa mbona JF watu wengi wanasema(ga) wana magari😂😂

Halafu hapa hata hawajui jinsi kikokotoo kinavyofanya kazi
Humu mtu anabishia ripoti ya CAG kwa kutumia notes za form four daftari lake la accounting somo alilofundishwa na mwilimu recho.
 
Kwa nini?

Ni kwamba kati ya Watanzania takriban milioni 60, ni yeye tu mwenye kuiweza hiyo kazi mpaka alazimishwe kuifanya hata kama hataki?

Fikra dhaifu sana hizo katika karne hii ya 21!
Ni Wapumbavu ndio wenye Mawazo hayo eti Aongezewe
 
Yaaani sijui watu mnachobisha ni nini wakuu.
View attachment 1752226
View attachment 1752218
Kikubwa kilichobadilika ni CIF(ambayo ni automatic wanaipanga TRA) bei uliyonunulia ikiwa chini wanakadiria hapo na ikiwa juu manaake wanachukua kwa bei yako halisi

Sasa haya makadirio ndio yaliyobadilika. Hadi nahisi wanaojibu hata hawajawahi kuagiza magari

Yaaani gari ya CC ndogo iwe bei kubwa kuliko ya CC kubwa??( kwa zile screenshots za mwanzoni)

Au mwingine anaongelea tofauti gari ya 2017 iwe na bei kubwa kuliko ya 2018 kweli[emoji23][emoji23]

Haya hiyo hapo nimepigia hesabu gari ile ile CC zile zile nilizopigiwa hesabu mwezi February

Ze Dudu njoo unitake radhi
Umeshinda[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji3][emoji3]
 
Naona walikuwa wanajipangia bei kubwa ila hela hazipelekwi hazina
Watu wametupiga na tukapigika

Kama Boss mpya kaliangalia hili basi litakuwa jambo la muhimu sana
 
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.

Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March.

View attachment 1752100

Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari​
Huu jamani ni utani! yaani hiyo gari imenunuliwa kwa kiasi gani?
 
Ngoja niagize ka motokali kengine, naona ka unafuu hako njomba.
 
Back
Top Bottom