Je, TRA wamesikia kilio chetu cha Ushuru wa kuingiza magari?

Je, TRA wamesikia kilio chetu cha Ushuru wa kuingiza magari?

Wamepunguza kale ka levy ka mreli uchwara. Ila walipaswa wakaondoe kabisa maana huo mreli hata haueleweki!

Kweli mkuu, wakaondoe.

Kwakweli nimefurahi muno swala la ushuru kushuka, maana lilikaliwa kimya kwa miaka takribani yote, na hakuna aliekua anarizungumuzia.
 
Yaaani sijui watu mnachobisha ni nini wakuu.
View attachment 1752226
View attachment 1752218
Kikubwa kilichobadilika ni CIF(ambayo ni automatic wanaipanga TRA) bei uliyonunulia ikiwa chini wanakadiria hapo na ikiwa juu manaake wanachukua kwa bei yako halisi

Sasa haya makadirio ndio yaliyobadilika. Hadi nahisi wanaojibu hata hawajawahi kuagiza magari

Yaaani gari ya CC ndogo iwe bei kubwa kuliko ya CC kubwa??( kwa zile screenshots za mwanzoni)

Au mwingine anaongelea tofauti gari ya 2017 iwe na bei kubwa kuliko ya 2018 kweli😂😂

Haya hiyo hapo nimepigia hesabu gari ile ile CC zile zile nilizopigiwa hesabu mwezi February

Ze Dudu njoo unitake radhi

Mkuu asante sana, naomba iwe yakweli ili sisi wenye uwezo wa chini angalau tumiliki kigari.
 
Kwa nini?

Ni kwamba kati ya Watanzania takriban milioni 60, ni yeye tu mwenye kuiweza hiyo kazi mpaka alazimishwe kuifanya hata kama hataki?

Fikra dhaifu sana hizo katika karne hii ya 21!
Kwa magufuli ilikuwa halali kwa Samia ni harama. Sukuma gang mna matatizo makubwa sana
 
Natafuta vanguard kwenye list ya TRA haipo kulikoni
Mkuu hayo ni magari mawili tofauti unalinganisha. LA Kwanza ni CC chini ya 2500 na la pili ni CC 2500& above ndio maana umeona imepungua.
Rudia tena kupiga hesabu lile la below 2500CC uone Kama imepungua kitu
 
Mbona yule mungu wenu kiongozi wa malaika mlitaka atawale milele!!/
Samia hadi #2045__ utaki hama Nchi
Mimi awe Rais tu hata akiwa mzee kama Queen Elizabeth ni sawa tu. Mpaka tunyooke tumpate Rais mzuri ambaye hatarurudusha tena kwenye Udikteta
 
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.

Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100

Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
[emoji1548][emoji1548][emoji1548]
 
Yaaani sijui watu mnachobisha ni nini wakuu.
View attachment 1752226
View attachment 1752218
Kikubwa kilichobadilika ni CIF(ambayo ni automatic wanaipanga TRA) bei uliyonunulia ikiwa chini wanakadiria hapo na ikiwa juu manaake wanachukua kwa bei yako halisi

Sasa haya makadirio ndio yaliyobadilika. Hadi nahisi wanaojibu hata hawajawahi kuagiza magari

Yaaani gari ya CC ndogo iwe bei kubwa kuliko ya CC kubwa??( kwa zile screenshots za mwanzoni)

Au mwingine anaongelea tofauti gari ya 2017 iwe na bei kubwa kuliko ya 2018 kweli[emoji23][emoji23]

Haya hiyo hapo nimepigia hesabu gari ile ile CC zile zile nilizopigiwa hesabu mwezi February

Ze Dudu njoo unitake radhi
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Kwa nini?

Ni kwamba kati ya Watanzania takriban milioni 60, ni yeye tu mwenye kuiweza hiyo kazi mpaka alazimishwe kuifanya hata kama hataki?

Fikra dhaifu sana hizo katika karne hii ya 21!
Mheshimiwa Rais atake asitake tutamuongezea muda.

Hivi yule mzee ni mbunge wa jimbo gani?
Yaani bungeni kuna mtu anaweza ongea kitu ukakasirika ukajikuta umevunja TV yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom