Je, TRA wamesikia kilio chetu cha Ushuru wa kuingiza magari?

Je, TRA wamesikia kilio chetu cha Ushuru wa kuingiza magari?

Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.

Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100

Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari

Mama SSH nimemkubali sanaa,kuna gari wakati wa JIWE kodi ilikuwa 6m ila sasa nimeona ni 4.5m....#SSH_MIKUMI_TENA_MATHA(MAKE TANZANIA HAPPY AGAIN).

JIWE alikuwa hataki watu wapate raha,alikuwa anataka watu waishi kama mashetani.
 
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.

Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100

Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
Si kweli. Usitumie mfano mmoja tu kutaka kuwapa matumaini watu. Ushuru uko vilevile.
 
Kikokotoo kinaonesha ushuru kushuka kwa magari yote au hayo makubwa kubwa wanayoyaita ya "kifahari"
 
Kwa nini?

Ni kwamba kati ya Watanzania takriban milioni 60, ni yeye tu mwenye kuiweza hiyo kazi mpaka alazimishwe kuifanya hata kama hataki?

Fikra dhaifu sana hizo katika karne hii ya 21!
Mkuu na wewe unataka? wewe kabisa? au unafanya udalali?
 
Yaani sijui tulichelewa wapi kumpata huyu mama yetu . Ila wanasema Majira ya Mungu yakitimia hakuna wa kupiga.

From now, huyu ndio raisi wangu bora kuliko wote waliopita. Ndani ya mwezi mmoja tumeona mabadiliko, Mungu amsimamie kwakweli. Huu mwaka tutaona mengi tusubiri, na Mungu awe pamoja naye
 
Magari yanayoagizwa sana, mfano Toyota iSt bado umeng'ang'ania palepale kwenye ongezeko
 
Si kweli. Usitumie mfano mmoja tu kutaka kuwapa matumaini watu. Ushuru uko vilevile.

Magufuli nilikua nampenda, lakini huyu mama vitu ambavyo hatukuwahi wala kutegemea kama vitakuja kubadilika yeye kavibadilisha. Ushuru ushuru ushuru hii kitu hatukutegemea kabisa yeye kaweza. Aise Mungu ambariki.
 
Kwa nini?

Ni kwamba kati ya Watanzania takriban milioni 60, ni yeye tu mwenye kuiweza hiyo kazi mpaka alazimishwe kuifanya hata kama hataki?

Fikra dhaifu sana hizo katika karne hii ya 21!
Yani hii comment imenifanya mpaka niwaze facial expression yako wakati unaiandika,ni kama ulitamani mtoa comment awe mbele yako umnase kibao😂😂😂😂😂!Mama oyeeee
 
Yaaani sijui watu mnachobisha ni nini wakuu.
View attachment 1752226
View attachment 1752218
Kikubwa kilichobadilika ni CIF(ambayo ni automatic wanaipanga TRA) bei uliyonunulia ikiwa chini wanakadiria hapo na ikiwa juu manaake wanachukua kwa bei yako halisi

Sasa haya makadirio ndio yaliyobadilika. Hadi nahisi wanaojibu hata hawajawahi kuagiza magari

Yaaani gari ya CC ndogo iwe bei kubwa kuliko ya CC kubwa??( kwa zile screenshots za mwanzoni)

Au mwingine anaongelea tofauti gari ya 2017 iwe na bei kubwa kuliko ya 2018 kweli😂😂

Haya hiyo hapo nimepigia hesabu gari ile ile CC zile zile nilizopigiwa hesabu mwezi February

Ze Dudu njoo unitake radhi
Mm nasoma nabaki nacheka tu.

Kuna mtu kabisha hapo kuwa bei za gari ni ndogo ndo maana kodi ni tofauti. Sasa si akaombe zawadi ya gari huko nje asilipe kodi.
 
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.

Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100

Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
Mkuu hebu tuwekee na data za gari ya uchumi wa kati IST
 
Back
Top Bottom