Je, TRA wamesikia kilio chetu cha Ushuru wa kuingiza magari?

Je, TRA wamesikia kilio chetu cha Ushuru wa kuingiza magari?

Duu.huu ndo wakati wa kuagiza gari sasa
Yaaani kodi ilikua mara 4 yw bei ya kununulia daaaah. Naona nafuu kidogo hapa mara 2 hivi....

Sijui labda watu wengine waangalie na wao kwa ile calculator ya TRA labda ina "glitch" leo....manaake siamini
 
Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.

Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100

Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
Hivi huoni gari moja la 2018 na lingine 2017?
 
Mbona alipoambiwa ngosha aongoze mpk atawale haukusema
Uongo!

Mzushi wewe.

 
Back
Top Bottom