King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Nyau ww, wasukuma msahau kushika madaraka makubwa ktk nchi hii,, tushapata somo
"Nchi iliongozwa na washamba" - Zitto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyau ww, wasukuma msahau kushika madaraka makubwa ktk nchi hii,, tushapata somo
Akitubeba vyema na 2025 asipige kampeni...apite bila kupingwa
Kabisa, anamalizia minne ya JPM anaanza awamu yake ya miaka kumi, kwa Sasa anakaimu tuMaza Atake asitake lazima aongezewe, akikataa alazimishwe yule. Suluhu mikumi tena.
Nyau ww, wasukuma msahau kushika madaraka makubwa ktk nchi hii,, tushapata somo
Una uhakika sikupinga?Atake asitake mama tutamlazimisha ,Mbona JIWE msukuma mwenzenu hamkupinga hizo kauli? "SSH MIKUMI TENA".
Una uhakika sikupinga?
Yaaani kodi ilikua mara 4 yw bei ya kununulia daaaah. Naona nafuu kidogo hapa mara 2 hivi....Duu.huu ndo wakati wa kuagiza gari sasa
Mbona alipoambiwa ngosha aongoze mpk atawale haukusemaKwa n2ini?
Ni kwamba kati ya Watanzania takriban milioni 60, ni yeye tu mwenye kuiweza hiyo kazi mpaka alazimishwe kuifanya hata kama hataki?
Fikra dhaifu sana hizo katika karne hii ya 21!
Mbuzi huyu hakuna ajualoHizi ni gari mbili tofauti, ya 2018 na 2017.
Hivi huoni gari moja la 2018 na lingine 2017?Inafurahisha kwakweli hii ndio Tanzania tunayoitaka. Gari sio anasa,gari ni chombo muhimu kurahisisha shughuli za kiuchumi. Naomba na marekebisho mengine kwenye kodi yawe hivi hivi.
Hii ni Ford Ranger kabla ya mwezi March
View attachment 1752100
Mabadiliko kidogo yalifanyika lakini yana unafuu mkubwa. Hii hapa chini ni leoView attachment 1752101View attachment 1752102
Tofauti karibu Mil15 yote dah. Mama SSH asante sana. Sasa na mimi ntamiliki gari
Na miaka imetofautiana
Mbuzi huyu hakuna ajualo
Gari aina moja. Kinachotozwa kodi ni Aina ya gari mkuu(nadhani) na pia kodi ya uchakavu(miaka 10) kwa hiyo hizi zote ziko kundi moja(ilipaswa kodi moja)Hivi huoni gari moja la 2018 na lingine 2017?
Uongo!Mbona alipoambiwa ngosha aongoze mpk atawale haukusema