Sio tu kutakua na ushuru wa ziada pia kutakua na gharama za TBS kwa ajili ya kuzipima kama zinakizi ubora, mimi nikiwa kama wakala wa forodha (clearing agent) nakushauri kama idadi ya tairi ni chini ya 10 ni bora uachane nazo maana zitakusababishia gharama na usumbufu mkubwa.
Kwa huduma ya Clearing and Forwarding, utawasiliana nasi, tunafanya kazi kwa ufanisi, haraka na kwa bei nzuri.
S.A Link Traders Ltd (clearing & forwarding company).
2nd Floor-Elite City building,
Samora Avenue/Morogoro Road,
Dar es Salaam- Tanzania.
Email mail:
info@salink.co.tz
Mobile: +255718 866 651 (call or whatsapp)
Website: salink.co.tz
Facebook page: https://web.facebook.com/sakink2017/