Je, tuendelee kuwaamini wachezaji wa Simba pale stars?

Je, tuendelee kuwaamini wachezaji wa Simba pale stars?

Scouting ya wachezaji mtandaoni ni hatari sana. Kocha awali alichagua kikosi vizuri na alishinda bila shida kabisa.

Wachawi wa mpira wetu wakaanza oo nani kaachwa ni ushabiki maandazi kabisa. Nani hafahamu Hussein tshabalala alituchomesha CHAN hapa Dar, nani hajui Kapombe alituchomesha mara kibao?

Huu ushabiki mandazi Hadi kocha anaharibu game plan kwa kulazimika kuingiza maingizo yasiyokuwa na maana kabisa. Timu iliyoshinda angeiacha kwanza.

Solution

Mashabiki wa Simba mnasumbua sana Taifa hili na makelele yenu. Na kocha akiendelea hivi ndo mwisho wa safari yetu.
Prof. Nabi apewe timu

Je tuendelee kuwaamini wachezaji wa Simba ??View attachment 2569756
Hizi ndizo akili halisi za Mitanzania. Hivi ndivyo Mitanzania ilivyo.
 
Tanzania kuna vipaji Bali tff wamefeli kuongoza Mpira , ivunjwe iteuliwe Kamati ya mpito kuongoza
 
Huwa unaandika upuuzi sana. Hapa alichomesha nani?
 

Attachments

  • Screenshot_20230329-205524.png
    Screenshot_20230329-205524.png
    35.9 KB · Views: 3
Unajua maana ya champions,angalia timu zilizoingia robo fainali na angalia zilizodondokea confederation baada ya kutokota champions league ni timu kali tupu
Kuna zingine zimeingia Kwa bahati mzee
 
Walosababisha goli ni Faisali, Baka na Job.

Na hii ni baada ya kutoka Mzamiru na Shabalala hawa ni simba na walikiwasha.
 
Walosababisha goli ni Faisali, Baka na Job.

Na hii ni baada ya kutoka Mzamiru na Shabalala hawa ni simba na walikiwasha.
Hapana....mabaliko ya kikosi yamechangia
 
Scouting ya wachezaji mtandaoni ni hatari sana. Kocha awali alichagua kikosi vizuri na alishinda bila shida kabisa.

Wachawi wa mpira wetu wakaanza oo nani kaachwa ni ushabiki maandazi kabisa. Nani hafahamu Hussein tshabalala alituchomesha CHAN hapa Dar, nani hajui Kapombe alituchomesha mara kibao?

Huu ushabiki mandazi Hadi kocha anaharibu game plan kwa kulazimika kuingiza maingizo yasiyokuwa na maana kabisa. Timu iliyoshinda angeiacha kwanza.

Solution

Mashabiki wa Simba mnasumbua sana Taifa hili na makelele yenu. Na kocha akiendelea hivi ndo mwisho wa safari yetu.
Prof. Nabi apewe timu

Je tuendelee kuwaamini wachezaji wa Simba ??View attachment 2569756

MKUU HIVI AKILI YAKO INAFANYA KAZI VIZURI KABISA?????
 
Hapana....mabaliko ya kikosi yamechangia
Yeah, mabadiliko kwa maana ya substitution. Sub ilipofanyika na goli likaingia. Zimbwe na Muzamiru walipotolewa eti Job akaenda kati! Jibu la swali lako ni ndiyo, heri kocha angeendelea kuwaamini wachezaji wa Simba
 
Back
Top Bottom