Je, tukemee udini, ukanda na ukabila au? Je, neno Sukuma Gang si neno la kibaguzi? Mnaonaje tukiungana kukemea ubaguzi wowote kwa jina lolote?

Je, tukemee udini, ukanda na ukabila au? Je, neno Sukuma Gang si neno la kibaguzi? Mnaonaje tukiungana kukemea ubaguzi wowote kwa jina lolote?

Teh teh, kuna mzee pia ana akili kama zako

Huwa anawaponda Nkapa na Magu ila ukimuuliza kuhusu ufisadi wa kikwete anakua mbogo

Udini udini udini.
Hivi yule aliopanda jukwaa la kanisani akawaponda wa Zanzibari yuko wapi? Unamkumbuka?

Mwenyezi Mungu hafanyiwi utani, haikupita muda Mzanzibari akaoa binti yake, haikupita muda, Mzanzibari akawa Rais wake.


Yuko wapi? Au umemsahau?
 
Hivi yule aliopanda jukwaa la kanisani akawaponda wa Zanzibari yuko wapi? Unamkumbuka?

Mwenyezi Mungu hafanyiwi utani, haikupita muda Mzanzibari akaoa binti yake, haikupita muda, Mzanzibari akawa Rais wake.


Yuko wapi? Au umemsahau?
Sizungumzii uzanzibar hapa.
 
Wazanzibar wamewakosea nini? Wasukuma ndio kenge nchi hii, washamba na wasio na akili.
Unauliza wamekosea nini wakati nakwambia wazanzibari wanafuga ushenzi wa kulawitiana na kuendekeza ushoga, wewe umeshikilia ushamba wa wasukuma tu.

Wazanzibar wegine si wale magaidi hadi mzanzibar mwenzao ndio kaja kuwatoa, unataka nikwambie walikuwa wanafanya nini hao magaidi huko zanzibar?
 
Jina la Sukuma gang lilikuja ndani ya awamu ya Tano. Tujiulize kwamba Kwanini halikuwahi kuwepo kabla? Kwanini haikuwahi kutokea zanaki gang, zanzibar gang, Makonde gang, au kwere gang? Kwani ni viongozi wangapi wakubwa wa ngazi za juu Ambao ni wasukuma walikuwepo kipindi Cha awam ya tano mpaka kufika kigogo kuleta Hilo jina? Naunga mkono kwamba hio Sukuma gang ni idiology sio kabila maana Kuna wasukuma wengi tu Ambao walikua kinyume na Mh.
 
Pascal njaa kali Kwa mujibu wa mwenda zake..

" The Sukuma Gang ni a fictitious Group that doesn't exist in reality lililobiniwa na yule Kigogo wa Twitter na watu wajinga wajinga wenye akili fupi wakaamini hili kundi ni kweli lipo!. Kiukweli kabisa Sukuma Gang sio kundi la kweli, halipo popote and don't exist anywhere in reality except ndani ya vichwa vya watu waliofilisika kisiasa!."

Nguli wa habari na mwanasheria msomi nchini umeamua kuja kuleta mada ambayo unaamini ni fictitious tena ya watu waliofilisika kisiasa.Tukubali au tukatae Kanda ya nyonyo ndio chimbuko la ukabila Kwa hivi karibuni toka aingie mwendazeke.Kuna Kanda zilisahaulika kabisa Hadi kufikia mtukufu kusema hatapeleka maendeleo Kwa sababu hawakumchagua.
Anajaribu kupotosha kweli kuwa katika watu wabaguzi Magufuli anaongoza, siyo Magufuli aliyewabomolea nyumba wakazi wa kimara lakini kwa sababu ile ile akasema wakazi wa Mwanza wasibomolewe, huu siyo ubaguzi?
Na Pascal hili hakemei kwa sababu lumefanywa na msukuma mwenzake.
That is the kick of a dying horse, Pascal ni mnafiki hakuwahi kukemea maovu ya Magufuli bali kuyatetea.
Alijitahidi kuanzisha nyuzi za kumtetea anapokosolewa na taasisi za nje.
Now he is crying foul anasahau what goes around comes around, kuna waliolizwa na ubaguzi wa Magufuli hakuwaona ila sasa godfather wao hayupo wanalia.
Sukumagang ni kundi wanufaika wa itikadi na utendaji wa Magufuli in power, has got nothing to do with wasukuma kama kabila bali wanufaika ambao bahati mbaya wengi ni wasukuma
 
Jina la Sukuma gang lilikuja ndani ya awamu ya Tano. Tujiulize kwamba Kwanini halikuwahi kuwepo kabla? Kwanini haikuwahi kutokea zanaki gang, zanzibar gang, Makonde gang, au kwere gang? Kwani ni viongozi wangapi wakubwa wa ngazi za juu Ambao ni wasukuma walikuwepo kipindi Cha awam ya tano mpaka kufika kigogo kuleta Hilo jina? Naunga mkono kwamba hio Sukuma gang ni idiology sio kabila maana Kuna wasukuma wengi tu Ambao walikua kinyume na Mh.
Basi libadilishwe jina sioni sababu ya kutumia neno sukuma.
 
False accusations...

Tutajie hao 'wasukuma' walioshitakiwa, kutia hatiani na kufungwa kwa hizi tuhuma ulizoandika hapa.

Jinai haina expiry date, one by one will appear in the court, na haki itatendeka, usiwe na haraka kama kibaka, subiri uone na utajua dunia duara, jinai iko pale pale, subiri uone ujifunze wewe Sukuma gang mdogo mdogo, ili usirudie kucheza na maisha na utu wa watu. Nyoko sana nyie
 
Jiulize kwanza kwa nini ni sawa Mtu mweusi kumuita majina ya Kibaguzi Mzungu lkn Mzungu akifanya the same kwa mtu mweusi anaweza hata kufunguliwa mashitaka kwa Ubaguzi? Jibu ni power, mtu mweusi ni weak na Mzungu ni strong ndo maana pia inakubalika kuita Sukuma gang na kukejeli Sukuma jinsi utakavyo lkn Msukuma haruhusiwi kufanya the same kwa wengine bila ya consequences.

Hivyo kwangu Wasukuma ni powerful na wengine ni weak ndiyo maana weak wako sensitive.

Fikiria tu kwa mfano kilema cha macho alichoumbwa nacho Mbowe labda angeumbiwa nacho Magufuli hali ingekuwaje, unafikiri wangemsitiri kama Mbowe anavyositiriwa? Hata watu wanaomchukia Mbowe bado wanamsitiri sijawahi kusikia mtu akikejeli macho ya Mbowe lkn ule upande mwingine wasingejali hivyo ni swala kukosa power, maturity na pia lack of boundaries, Wasukuma wanajua wanajitambua na wanajua power yao na wanaowakejeli ni weak na cowards!
Typical sukumagang, hapa mfano wa Mbowe umeingiaje kama siyo ubaguzi mnaotaka kuukemea nyie sukumagang?

Kuna vilema vingi binadamu wanavyo, viwete, albino, vipofu and so forth! Ungekuwa na chembe ya akili usingetaka kutafuta ulemavu wa aina yeyote kwa mpinzani kuwa hoja ya kupinga ubaguzi, nionyeshe popote ambapo Magufuli alisemwa na kukosolewa kwa ajili ya maumbile yake?

Au ni nani katika wanaowapinga nyie sukumagang aliyetumia ulemavu wa yeyote kuwapinga?

You are coward, wewe ndio mbaguzi kwa sababu ya hasira zenu za kumkosa godfather wenu. Sukumagang ni kundi wanufaika wa itikadi na matendo ya Magufuli, hamkuwahi kukemea uovu wa Magufuli na sasa mnatapatapa. Hakuna ubaguzi bali reality, nyie ni sukumagang
 
Sio Sukuma gang tu kuna maneno mengi tu yanayotumiwa na mabeberu kudhalilisha jamii isiyo fanana na Wazungu. Lugha hiyo inatumika humu JF sana tu, na cha kusikitisha, unakuta na kusikia mpaka Viongozi wakuu wa Serikali na Vyama wanakurupuka na kutumia maneno hayo/misamiati hiyo! Waandishi wa habari ndio usiseme!

Tukirudi humu mitandaoni hawa wabaguzi wanatumia kauli za Viongozi hao kuendeleza ugaidi wa mitandaoni, ugaidi dhidi ya jamii fulani-its pathetic and abhorring. Kwa kurudia hizo kauli. Inaudhi kweli.
Hebu tutofautishie kati ya mabeberu na washirika wa maendeleo?
Hizi political rhetorics zinaakisi uovu wa akili za kushikiwa, nilikaririshwa nilipokuwa shule 70s kiasi nikamuona shujaa mkubwa kibanga kumpiga mkoloni.

Sukumagang ni kundi wanufaika wa itikadi na matendo na itikadi za Magufuli, simple! Hizo zingine ni hasira za kumkosa godfather has nothing to do with wasukuma, Sabaya ni msukuma? Acheni hizo kubalini na reality, mbaguzi kaenda zake
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala hizi za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo hizileta kwa mfumo wa swali fikirishi na mimi kutoa tuu maoni yangu lakini kukupa wewe msomaji fursa ya kufikiri, kushauri na kutoa majibu unayoona yanafaa.

Swali la leo ni kuhusu kuibuka na kuchopuka kwa viji sentiments vya viashiria vya ubaguzi wa udini, ukanda na ukabila, sasa jee ni tuunganishe nguvu kukemea au roache tuu ukiisha ota na kukomaa ndipo tuukate?. Ubaguzi Ubaguzi huu wa kisasa unafanywa kwa viji neno neno vya kibaguzi, je neno Sukuma Gang, sio neno la kibaguzi?. ni neno tuu la kawaida tuliache au ni neno la kibaguzi linalostahili kukemewa?. Je mnaonaje kama Watanzania tukiungana kukemea vijineno neno vyenye viashiria vya Ubaguzi wa aina yowote kwa jina lolote?

Nimeileta hoja hii kufuatia as days goes by, hizi issues za hii kitu inayoitwa Sukuma Gang is escalating to the point of unbecoming!. Sukuma gang ni itikadi siyo kabila

The Mkuu Sexless , kwanza nikupongeze kuileta hoja hii, pili japo ni kweli neno Sukuma Gang ni itikadi tuu, lakini si kweli kuwa iliasisiwa na Magufuli!. Tumwacheni Magufuli apumzike kwa amani!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Neno Sukuma Gang ni a fictitious Group that doesn't exist in reality lililobiniwa na yule Kigogo wa Twitter na watu wajinga wajinga wenye akili fupi wakaamini hili kundi ni kweli lipo!. Kiukweli kabisa Sukuma Gang sio kundi la kweli, halipo popote and don't exist anywhere in reality except ndani ya vichwa vya watu waliofilisika kisiasa!

Pia sii kweli! bali baada ya Kigogo wa Twitter kuliasisi kundi hili fictitious, akatumia nguvu kubwa kulifanyia indoctrination kuwa hili kundi does real exist, hivyo wale watu wa Magufuli na watu wote wanaomsupport Magufuli wakawa pointed kuwa ni members wa Sukuma Gang, hata mimi ni Msukuma, na namsupport Magufuli na sio Sukuma Gang!

Hakuna kitu kama hiki, ila kwa vile indoctrination ya existence ya uwepo wa kundi hili imefanyika na watu wenye akili fupi waliofilisika kisiasa wakaamini', kama na wewe unaamini kuwa kundi la Sukuma Gang kweli lipo and does exist in reality, ujijue ni akili fupi and muflis kisiasa kama wale muflis wengine wote wanaoamini ujinga huu!

Hapa nakuunga mkono!

Kumchukia mtu yoyote kwasababu yoyote sio jambo jema! Dini zinatufunza hata adui mpende!. Hivyo it's not right kumchukia mtu yoyote!

Japo hii shana ya the existence of the Sukuma Gang ni dhana tuu, na the Sukuma Gang ni just a fictitious Group that doesn't exist in reality, lakini kufuatia indoctrination iliyofanywa na yule Kigogo wa Twitter, watu wenye akili ndogo, akili fupi na waliofilisika ki fikra, wakaamini, hivyo chuki dhidi ya Wasukuma is real!. Hili sio jambo jema!.

Kufuatia kabila la Wasukuma kuwa ndilo kabila kubwa Tanzania kuliko makabila yote, zikitokea nafasi zozote za uongozi, na watu wote wako huru kugombea, obviously Wasukuma pia lazima watakuwepo.

Kulitokea nafasi fulani za uongozi ndani chama fulani, wakajitokeza wagombea 186 kugombea nafasi 8 aa uongozi. Miongoni mwa waliojitokeza walikuwepo Wasukuma wengi tuu ila mimi nawajua kulikuwa na Wasukuma wawili ambao kama wangepitishwa wangetupatia wawakilishi wazuri the best of the best.

Ikasemekana kuwa mmoja kati ya hao Wasukuma wawili ni member wa the Sukuma Gang!. Then kwenye mchujo ikaelezwa kuwa wamepewa maelekezo hatua ya kwanza kabisa ni kuwakata Wasukuma wote waliojitokeza!. Na kweli Wasukuma woote tukakatwa eti ni Sukuma Gang! This is not fair at all! Taifa linakosa uwakilishi wa watu wazuri kwa ubaguzi wa kijinga kabisa!

Na katika hili naomba na mimi nijiunge kwenye kukemea hii sumu ya ubaguzi mbaya kabisa ya kuwabagua Wasukuma kwa kisingizio cha Sukuma Gang, na naomba kutamka kama kuna Msukuma yoyote popote ameadhibiwa au kubaguliwa kwa kisingizio ni member wa the Sukuma Gang, then dhambi hiyo ya ubaguzi, itawatafuna wabaguzi hao kupitia kitu kinachoitwa karma! Karma haina mswalie Mtume wala haijali nani ni nani!

Paskali
Jamaa yenu aliwaharibia sana japo wasukuma mnao upendo
 
Kuna usemi wa kiswahili unasema (watendewao.....)
Nchi hii hasa kule Zanzibar Muarabu anaonekana kama ni dosari. Akigombea Uongozi mtu mwenye asili ya Kiarabu utasikia ataleta Utumwa na kuwarudisha waarabu.Kwa kauli hii inamkosesha kuungwa mkono na kupoteza haki yake.
Nakumbuka Dr.Salim Ahmed Salim alipotaka kugombea Uraisi kule ZNZ
Pia nakumbuka. Wawekezaji wakiwa waarabu nchi hii inaonekana kama Dhambi.
na mambo yafananyo na hili.
Huu mbona Tuliunyamazia?
Walivunjiwa nyumba wa Kimara lakini wa Mwanza wakaambiwa wasivunjiwe kwa sababu walimpigia kura na akina Pascal hawajawahi kukemea, haya ndio mambo yanayoleta hizi hisia za kibaguzi pia
 
Back
Top Bottom