Je, tukemee udini, ukanda na ukabila au? Je, neno Sukuma Gang si neno la kibaguzi? Mnaonaje tukiungana kukemea ubaguzi wowote kwa jina lolote?


Wasukuma kama Wasukuma ni watu wema sana.

Wasukuma kama Wasukuma ni watu wachapakazi sana.Ni wakulima wazuri,ni wafugaji wazuri.

Wasukuma ni kabila ambalo wanawake wao wanaheshima sana.Wanawake wa kisukuma ni rahisi kuishi na kuolewa na makabila mengine.

Nijuavyo mimi Magufuli hakuwa msukuma alijinasibisha na usukuma ili kutimiza ajenda zake mbaya.

Nadhani itakuwa ni makosa makubwa iwapo siku za usoni msukuma atanyimwa nafasi ya uongozi wa juu kwakutumia kigezo cha uovu wa Magufuli.

Ni kweli tena pasipo shaka kwamba katika Utawala wa Magufuli Wasukuma walipendelewa sana.

Kabila la Wasukuma ni kubwa labda wapo 15 Million lakini waliopata upendeleo hawazidi 200.Sasa kwanini tuwahukumu watu 15 Million kwa hoja ya upendeleo wa watu 200.

Katiba mpya na bora ndio mwarubaini wa kuondoa ukabila & ukanda.
 
1. Kuna maswali nimeuliza wewe umekwenda moja kwa moja kunishutumu kuwa nina chuki.

Nimeuliza kama mhusika alikuwa hajui Kiswahili. Pia nimeuliza kama mhusika alihisi njia bora ya "kumuingia" Jpm ilikuwa kumuongelesha Kilugha.

2. Kwa muonekano wake hakuwa Mama mtu mzima. Hivyo inapunguza uwezekano kuwa hajui Kiswahili.

3. Tukio hilo lilitanguliwa na matukio ya Raisi kuzungumza Kilugha mara kwa mara. Hivyo inaongeza uwezekano wa wananchi kuhisi lugha ya Raisi imerasimishwa.

4. Tukio hilo lilitokea nje ya kanda pendwa ya Raisi Magufuli hivyo lilistaajabisha.

5. Sina kumbukumbu ya Maraisi au Mawaziri Wakuu waliomtangulia Magufuli kuzungumza kwa lugha za makabila yao ktk ziara au shughuli za KISERIKALI.
 
Watu wa pwani akina nani? Yaani mnakemea ubaguzi halafu unaletaubaguzi, mimi mnyamwezi lakini nawachukia sukumagang kwa maana ya wanufaika wa itikadi na matendo ya Magufuli
wigo wa kunufaika kivipi , acheni uhuni sukuma gang ni ushenzi usiokubalika,
 

Bado unajichanganya tu Mkuu,kwa hiyo umri wa mtu ndiyo una determine kama anajua kiswahili au la? Njoo vijijini huko utakuta hata watoto wapo shuleni na bado hawawezi kuongea Kiswahili na hii siyo kwa Wasukuma tu hata makabila mengine pia.

Hao Marais wengine kama hawakupendelea kuongea lugha zao wanapokuwa maeneo waliyotoka ni wao na haimfanyi JPM aliyependelea kuongea Kisukuma akiwa Mwanza kuwa ni mbaguzi.Njoo na hoja nyingine lakini siyo hii ya Magufuli kuongea Kisukuma na watu wa Mwanza.
 
Certified MBWIGA.
 
BANYAMULENGE tuliza mshono

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Magufuli alilichafua sana kabila letu pendwa la Wasukuma, aendelee kuteseka tu huko aliko

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 

..Ni nadra kwa Mtanzania wa umri wa kati kutokujua lugha yetu ya taifa Kiswahili.

..Watanzania wa umri wa kati wana uwezekano mkubwa kuwa waliandikishwa shule na kufundishwa Kiswahili.

..Tukio ninalolizungumzia mimi lilitokea nje ya kanda pendwa, mjini, ambapo mwananchi wa kawaida alizungumza na Mh Rais kwa KILUGHA.

..Kiongozi wa serikali / taifa kuzungumza kilugha ktk shughuli za kiserikali ni jambo lisilokubalika. Sheria zetu zimeelekeza kwamba lugha ya taifa ni KISWAHILI.

..Kuna viashiria vingi ambavyo ukiviangalia kwa ujumla wake utaona Magufuli alikuwa kiongozi aliyepungukiwa uwezo wa kuwaunganisha Watanzania. Wengine wanasema alikuwa kiongozi mbaguzi.

NB:

..Vipi kuhusu kauli ya Rais Magufuli kwamba watu wa kabila fulani hawapaswi kupewa dhamana ya kushika pesa. Je, hiyo haikuwa kauli ya kibaguzi?
 
Samahani mkuu waweza kunitajia Full Ministries achana na Manaibu wa5 tu ambao walikuwa wasukuma kipindi cha JPM ili tulipe uhalali bandiko lako mkuu
1. Leonard Chamuliho Ujenzi
2. Dotto Biteko Madini
3. Medard Kaliman Nishati
4. Elias Kwandikwa Ulinzi
5. Mashimba Ndaki aamaifugo
6. Innocent Bashungwa Habari

Niendelee au umetosheka.
 
'Macho ya Mbowe' umeyaongelea makusudi kama aina ya kejeli, brain game ulichofanya ni kujulisha/kukumbusha kwa makusudi yaani umetukana/umekashifu.
Wapo wengi humu humuita makengeza mara DJ hivyo kutokuwa Msukuma hakujawa kinga, wengine wanamuita Lissu kilema japo ulemavu umesababishwa na utawala wa awamu ya Magu.
Makabila yanayoongoza kupigwa vita/kushambuliwa kwa maneno ni Wachaga na Wahaya, hayo makabila wapambane sana kwani nchi nzima(Wasukuma included) wanayahofia yasishike nafasi za juu za uongozi.
Pamoja na arguments zangu mimi ni muumini wa freedom of speech, watu waseme chochote pasina kutukana, kushawishi jamii fulani ishambuliwe/ifanyiwe fujo yaani kusiwepo na uchochezi wa uvunjifu wa amani au uvunjivu wa sheria.
Wasukuma pamoja na wingi wao ushawishi wao ni mdogo ukiwalinganisha na Wachaga, Wahaya na Wanyakyusa ambao kila nyanja wapo katika nafasi za juu mpaka wanapigiwa kelele.
 
Haya ni mawazo ya kizamani na enzi zile Nyerere alikuwa anajenga nchi,kusema mtu aliyetoka kabila kubwa hafai kuwa Rais nikwasababu hatuna taasisi imara na mifumo inayoeleweka.Yaani Katiba iwe strong,mtu alete upuuzi?
 

Umeandika kwa jazba sana na kujaza nadharia zako.
 
Wasukuma 95% ni washamba uwe umesoma au hujasoma, by the way mmeturudisha nyuma sana kama Nchi.
Washamba kivipi kwanza?
Kuna makabila mengi yaliyo na ushamba kuliko hata wa wasukuma.
Ebu imagine mtu unakula mbwa, panya funza wale wkubwa wanaopatikana kwenye magogo ya miti iliyooza,
Makabila yanayokula vitu hivi yapo mengi huko mikoa ya kati na kusini ya Tanzania ila sisi wasukuma hatulagi au huwa hatuli madudu yenu hayo.
Sasa mpaka hapo mshamba ni nani.
Mnaowashambulia wasukuma kwamba ni washamba ebu jitokezeni na nyinyi mjitaje makabila yenu tuwajue, la sivuo nyinyi ndo wala panya , mbwa , funza nk.
 
Wapi
Wapi nimesema asilimia kubwa ya mashoga Tanzania ni wapemba? Mimi nasema nyie wapemba mnalawitiana toka udogoni huko na mnachificha kesi hizo kwa kuogopa aibu mnaishia kuzimaliza nyumbani mwisho wa siku mnatengeneza mashoga na mnajulikana wapemba kwa kupenda michezo ya kuingiliana kinyume cha maumbile kwa kifupi wazanzibari ni washenzi na ni wabaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…