Je, tukemee udini, ukanda na ukabila au? Je, neno Sukuma Gang si neno la kibaguzi? Mnaonaje tukiungana kukemea ubaguzi wowote kwa jina lolote?

Sasa ukimweka mkeo madarakani,mwanao madarakani,shemejio madarani tena vyeo vya juu si tayari ushafanya ukabira mkuu?
 
Kuna watu wanamtetea kikwete hakuweka ndugu zake madarakani,ni sawa ila aliweka waizi wengi madarakani just imagine mtu anaiba mpaka Twiga na anaipakia kwenye ndege ?.
Tukiongea tuongee huku tunajua tunaongea nini na ujue kuna watu wanapoint za kupingana na za kwako.
 
Sina uhakika kama Dr.JPM alikuwa msukuma. Serikali yetu Tanzania indeed ukabila. Lugha ya kingereza na kiswahili zitumike kwenye mikokusanyika,barabarani, taasisi mtu yeyote akikamtwa anaongea kilugha jela miaka 5.
 
Sina uhakika kama Dr.JPM alikuwa msukuma. Serikali yetu Tanzania indeed ukabila. Lugha ya kingereza na kiswahili zitumike kwenye mikokusanyika,barabarani, taasisi mtu yeyote akikamtwa anaongea kilugha jela miaka 5.
Yule alikuwa Mhutu toka Burundi aliingia Tanzania akiwa na miaka saba

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Anzisha nyuzi tumseme maana hata yeye alisemwa mno ila alikuwa kiasi ana utu hatukuona mauaji ya kiwango cha Magufuli cha wapinzani wake
 
Bwana Paskali: with due respect, Nji hii ni ya Nyerere na Karume. Haina ukabila wala ukanda na haiwezi kuwa navyo. Hii ni sera ya CHADEMA, chama cha kikabila asili yake, kikaongeza ukanda na Diaspora wao wakifadhili mijini? Ila hakitafanikiwa.

Tembea kote, tangu Mikindani Holili Kyaka Same Chunya Ushirombo kote ni shwari utalala na kusali au kuswali kwa amani na utawakuta Watanzania wote kwa ujumla wao. Tuna Rais mwanamke leo, Islam, tena Mzenj, tungekuwa na ukabila au ukanda asingekuwa hapo.

Hili mnapoliongelea kwa ujumla wake sana sana mnawasafisha Wakabila CHADEMA ionekane kuwa ni issue ya wote kumbe ni yao tu.

Sasa wanataka wakuu wa mikoa wachaguliwe, uliona wapi hili kama si Ukabila? Unamfahamu James Orengo, their role model in Kenya? Typical CHADEMA stuff - ni Senior Counsel (judiciary), ni Senator, Rais wa Wajaluo (Executive), Mbunge wa kawaida (Legislature).

Hayo sisi hatuna labda CHADEMA tukiwachekea ipitie mlango wa nyuma "maridhiano". Kule kwetu nakumbuka wakati wa Uhuru mkuu wa mkoa alikuwa Klerruu Mchagga Waziri wa Kilimo George Kahama Mhaya Askofu Komba Mngoni na REO Uli Mwambukukutu Mnyakyusa? CHADEMA vipi leo waseme eti hawa ni CCM mfumo mbaya hawakuchaguliwa eti hawana uchungu na watu uchungu wao ni Samia?

Hivi huyaoni ya Kenya? Si wana tumehuru, Majimbo na mahakama huru (kumbe mashoga), kweli huoni utofauti wetu? Huoni Raila anataka zaidi na zaidi kila wakimchekea, na CHADEMA ni hivyo hivyo.

Nchi yetu iko sawa Kaka, subiri kura 2025, don't worry. Tell CHADEMA, wao ndiyo waache ukabila na ukanda. Si umeona wako tayari hata kumwingiza Askofu?
 
Anzisha nyuzi tumseme maana hata yeye alisemwa mno ila alikuwa kiasi ana utu hatukuona mauaji ya kiwango cha Magufuli cha wapinzani wake
Huna unachokijua ww nyamaza hatuko humu kutaja nani kaua nani au flani kaua nani?.
Tunachokisema hawamu ya kikwete wizi ulikuwa mkubwa sana.
 
Huna unachokijua ww nyamaza hatuko humu kutaja nani kaua nani au flani kaua nani?.
Tunachokisema hawamu ya kikwete wizi ulikuwa mkubwa sana.
Hivi katika watu wenye ufahamu na wewe unajiona umo?
Na awamu ya shetani Magufuli mauaji yalikuwa makubwa sana
 
Kama kwenu mlikuwa wezi acha awaue.Na ww angekua maana unaleta tu story za uchoko humu.
Na ndio maana tunamsema muasisi wa sukumagang na wajinga wafuasi wake mnaolialia baada ya yeye kupelekwa kuzimu, MUNGU BABA fundi katuondolea laana juu ya nchi
 
Wewe pia uliacha shughuli zako na kwenda kuthibitisha kama hao wengine? Hoja haina mashiko kabisa. Watu wamepoteza hadi maisha halafu unakoja na hoja ya kuthibitisha.
Walipoteza maisha si kwa ujinga wao kwenda kushuhudia mzoga wa dhalim? Mimi huyo niache kupumzika nyumbani nikaangalie upuuzi, niliona tu kwenye TV na mitandaoni.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Usiwalinganishe Wanyakyusa na hayo makabila ya ajabu ajabu. Wanyakyusa ni wastaarabu pengine kuliko makabila yote duniani
 
Mzee uliibiwa pumbu zako? Yule mwehu, KICHAA, BANYAMULENGE, MHUTU, SHEITWANI, BANDIT muda huu yuko MOTONI.
Mashoga ndo wanakuwaga na maneno haya mdomoni,ushachafukwa matakoni na kichwani naona taratubu zinatririka kulekea huko kichwani....Mm na mashoga haramu kabsaa....so tuliza shimo hilo.
 

..Magufuli naye si aliiba, aliteka, alitesa, na kuua.

..Na mambo yake machafu kabisa yalikuwa yakisimamiwa na watu wa kwao.

..Kwa mfano, wizi wa fedha ulisimamiwa na mpwa wake.

..Kubambika watu makesi ya uongo msimamizi alikuwa mtu wa kwao.

..Bahati mbaya nyinyi mnaolalamika sasa hivi hamkuwakemea ndugu zenu kwamba matendo yao yanaweza kusababisha lawama kwa jamii nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…