Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Hakuna kibaya alifanya Magufuri zaid ya kutuletea maendeleo,huyu Bibi wenu anatupeleka kubaya...Magufuli naye si aliiba, aliteka, alitesa, na kuua.
..Na mambo yake machafu kabisa yalikuwa yakisimamiwa na watu wa kwao.
..Kwa mfano, wizi wa fedha ulisimamiwa na mpwa wake.
..Kubambika watu makesi ya uongo msimamizi alikuwa mtu wa kwao.
..Bahati mbaya nyinyi mnaolalamika sasa hivi hamkuwakemea ndugu zenu kwamba matendo yao yanaweza kusababisha lawama kwa jamii nzima.
Raisi Samia hivi Hajiskii ata Aibu kuona viongozi tena walio chini yake wanamsema vibaya mtangulizi wake?.Tunaubiri Amani huku tumeficha Mapanga...Mheshimiwa Tabasamu akana uwepo wa Sukuma Gang.
Yeah,ivoivo yaanWatu wote hao hawawezi kuwa wrong
Kila mmoja anayajua yaliyotokea na tutakaa nayo moyoni
Yale mazuri na mabaya pia kwani ndio Dunia ilivyo
Kuna watu hawaamini ukimwi mpaka leo wakisema ni myth
Wengine wanasema Holocaust ilitengenezwa na wanaamini hivyo
Kwa kweli kuna vijana wengine wanasema vita ya kwanza haikutokea
Sasa acha na mimi niamini ninachoamini
Unaona sasa? ndio maana nakwambia hiyo hoja ya kwamba et walikwenda kuangalia kama alikufa kweli ni hoja ya kupumbavu.Walipoteza maisha si kwa ujinga wao kwenda kushuhudia mzoga wa dhalim? Mimi huyo niache kupumzika nyumbani nikaangalie upuuzi, niliona tu kwenye TV na mitandaoni.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wewe mwenyewe mpumbavu naamua kukupuuza tu. Unataka tubishanie mzoga.Unaona sasa? ndio maana nakwambia hiyo hoja ya kwamba et walikwenda kuangalia kama alikufa kweli ni hoja ya kupumbavu.
Unayebisha ni wewe ndio unaleta ubishani wa kijinga kisa hizo chuki zako kwa mtu ambaye hayupo tena, yani unatesela bure.Wewe mwenyewe mpumbavu naamua kukupuuza tu. Unataka tubishanie mzoga.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wewe Mhutu kutesela ndiyo kitu gani?Unayebisha ni wewe ndio unaleta ubishani wa kijinga kisa hizo chuki zako kwa mtu ambaye hayupo tena, yani unatesela bure.
Certified FoolHakuna kibaya alifanya Magufuri zaid ya kutuletea maendeleo,huyu Bibi wenu anatupeleka kubaya.
Wasukuma ni WASHAMBARaisi Samia hivi Hajiskii ata Aibu kuona viongozi tena walio chini yake wanamsema vibaya mtangulizi wake?.Tunaubiri Amani huku tumeficha Mapanga.
Ushamba ni sunnah mzee,wewe mjanja mbona umeingia kwenye ushoga?.Wasukuma ni WASHAMBA
Hachana na mm,nshaoa chiefCertified Fool
Wanabodi,
Swali la leo ni kuhusu kuibuka na kuchipuka kwa viji sentiments vya viashiria vya ubaguzi wa udini, ukanda na ukabila, sasa jee ni tuunganishe nguvu kukemea au tuache tuu ukiisha ota na kukomaa ndipo tuukate?. Ubaguzi Ubaguzi huu wa kisasa unafanywa kwa viji neno neno vya kibaguzi, je neno "Sukuma Gang", sio neno la kibaguzi?. ni neno tuu la kawaida tuliache au ni neno la kibaguzi linalostahili kukemewa?. Je mnaonaje kama Watanzania tukiungana kukemea vijineno neno vyenye viashiria vya Ubaguzi wa aina yowote kwa jina lolote?
Na katika hili naomba na mimi nijiunge kwenye kukemea hii sumu ya ubaguzi mbaya kabisa ya kuwabagua Wasukuma kwa kisingizio cha Sukuma Gang, na naomba kutamka kama kuna Msukuma yoyote popote ameadhibiwa au kubaguliwa kwa kisingizio ni member wa the Sukuma Gang, then dhambi hiyo ya ubaguzi, itawatafuna wabaguzi hao kupitia kitu kinachoitwa karma! Karma haina mswalie Mtume wala haijali nani ni nani!
Paskali
Usiwe na wasiwasi kabisa na Wasukuma Tuhuma za Ukabila: Wasukuma si Miongoni mwa Makabila yenye Ukabila, tatizo ndio walio wengi!Mwl Nyerere, ila leo kunakitu. Jambo hili la ukabila Mwl alikemea sana; dalili au viashiria vyake, hongera Mwl. Leo hii tena baada ya miaka mingi kuna hisia za viongozi kutaka kupanda mbegu za ukabila. Tunaona kanda ya Wasukuma inaonesha bila wao, CCM itashindwa; viongozi wanahonga vyeo Wasukuma ili waichague CCM, jamani!
Uteuzi wa Biteko Doto, juzi uteuzi wa Makonda kisa ili Wasukuma wajue kuwa wao bado miamba hii kweli kwa Watanzania ni dhana mpya ili kujenga element za ukabila. Tunajifunza, Mwl alichaguliwa na Watanzania akiwa anatokea kwenye kabila dogo sana, Wazanaki; pia Mkapa kwa Wa Makua na Kikwete Wakwele. Hatujawahi taifa hili kuwaogopa Wasukuma.
Ikitokea Watanzania wakajua hili, ukabila uko njiani; kesho Wanyakyusa wataanza nao kuogopwa. Niliombee taifa letu, sisi tayari tumeshaunganishwa, hatuna ukabila.
Wanabodi,
Swali la leo ni kuhusu kuibuka na kuchepua kwa viji sentiments vya viashiria vya ubaguzi wa udini, ukanda na ukabila, sasa jee ni tuunganishe nguvu kukemea au tuache tuu ukiisha ota na kukomaa ndipo tuukate?. Ubaguzi huu wa kisasa unafanywa kwa viji neno neno vya kibaguzi, je neno Sukuma Gang, sio neno la kibaguzi?. ni neno tuu la kawaida tuliache au ni neno la kibaguzi linalostahili kukemewa?. Je mnaonaje kama Watanzania tukiungana kukemea vijineno neno vyenye viashiria vya Ubaguzi wa aina yowote kwa jina lolote?
Na katika hili naomba na mimi nijiunge kwenye kukemea hii sumu ya ubaguzi mbaya kabisa ya kuwabagua Wasukuma kwa kisingizio cha Sukuma Gang, na naomba kutamka kama kuna Msukuma yoyote popote ameadhibiwa au kubaguliwa kwa kisingizio ni member wa the Sukuma Gang, then dhambi hiyo ya ubaguzi, itawatafuna wabaguzi hao kupitia kitu kinachoitwa karma! Karma haina mswalie Mtume wala haijali nani ni nani!
Paskali
Huu ni ubaguzi!.Sukuma Gang.