Je, tukemee udini, ukanda na ukabila au? Je, neno Sukuma Gang si neno la kibaguzi? Mnaonaje tukiungana kukemea ubaguzi wowote kwa jina lolote?

Je, tukemee udini, ukanda na ukabila au? Je, neno Sukuma Gang si neno la kibaguzi? Mnaonaje tukiungana kukemea ubaguzi wowote kwa jina lolote?

Sukuma gang na panya road ndiyo magenge ya kihalifu yakukemewa

Nadhani criminology and penology inataka jinai ikemewe na jamii ione hakuna manufaa kwa kuwa muhalifu au kushiriki uhalifu

Kuwa mualifu ni kufanya, kusaidia na kuchochea

Kushiriki nikuwa a part of transaction au ku-conspire

Now, Sukuma gang ni watu sadist, wanaopenda kuona wenzao wanaishi kama mashetani, kwa kutenda jinai, malicious prosecutions eventually kula hela za plea bargain.

Wamepoteza 1.5 Trillion, wamefanya upigaji kwenye manunuzi ya ndege na miradi mikubwa ya kipigaji

Hao ni watu hatari kuliko panya road, tuwakemee kwa nguvu zetu zote

Hakuna mtu mwenye matatizo na wasukuma, bali sukuma gang
Na ndiyo wanapiga vita maridhiano wanatamani kila siku tuokote maiti kwenye sandarusi

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
S
Na kwenye nafasi za ubunge wa kuteuliwa ndani ya CHADEMA ni wanapewa wamama wa Kichagga tu kwa kuwa 'wamesoma' sana na hao wamama wengine wanaokipigania chama wao waendelee kuimba Peoples Power tu [emoji848]
ij embu taja kati kundi la akina Mdee na wenzake 18 wachagga ni nani na nani.
 
Kwahiyo hiyo inahalalisha ubaguzi kwa wasukuma?
Ndio kwa ushamba wenu yafaa mutengwe kwa maana hamna akili, mkipewa madaraka mnadhani hii nchi ni USUKUMANI. Hamna akili kichwani, washamba, wajinga na kila aina ya ubaya mnao nyie Mbuzi wakubwa nyie.
 
Kwanini litumike neno la sukuma ikiwa hamna tatizo na wasukuma? Hivi leo hii mashoga wote niwape jina la Wapemba gang halafu niseme kwamba sina tatizo na wapemba si kwamba wapemba wote ni mashoga je nitaeleweka?
Kuna uhusiano wa karibu kati ya hao watu na wasukuma, hili halikwepeki.
 
S

ij embu taja kati kundi la akina Mdee na wenzake 18 wachagga ni nani na nani.
Achana na hawa walioingia baada ya sintofahamu ndani ya Chama.Rudi nyuma kuanzia 2005-2020,angalia wabunge wa kuteuliwa ndani ya CDM
 
Vita itatokea hatutokubali ujinga yaani hata chadema kushika madaraka haikubaliki na Mungu mpaka leo anatunusuru hawajashika na hawana dalili[emoji23][emoji23]
Jiandaeni,Baba wa Taifa hili kuwa Edwin Mtei.Hawanaga aibu hao hata kumnyang'anya hadhi yake Nyerere[emoji3][emoji3]
 
Nafsi zip za kupewa ? Mramba ,kimei, hao wachache waliharibu kila kitu kwa kujaza ndugu zao wabaki makwao basi.
Watu wamebaki kuwaona Kimei na Mramba. Kimei ndio success behind CRDB.
Huyo Mengi ni nguvu ya Nyerere kupromote wazawa ndo akapewa fursa ya na kusapotiwa kuwa tajiri...Wachaga wanawazidi wapi wahaya kwa elimu?
Mengi katika kitabu chake analalanika jinsi alivyokataliwa kuwekeza na serikali ya Nyerere na badala yake nafasi akapewa mhindi.
Ubaguzi ndo ngao yao nenda kanunue ardhi huko kwao uone balaa au anzisha biashara kwao..
Hata wachagga wenyewe ni vigumu kupata ardhi Kilimanjaro kutokana na ardhi yote kutumika na ndio maana wachagga wamekimbilia nje ya Kilimanjaro. Unaona hoja zako zisivyo na ukweli?!
Bahati nzuri hWana mji unaovutia hata ndo maana population ni ndogo wanakimbia maana hata wenyewe kwa wenyewe wanagombana .
Ndio waendelezaji wa miji mingine yote bila ubaguzi wanajenga maghorofa popote bila kujali ni mkoa wao au la. Wangekuwa wakabila si wangeendeleza Moshi tu?
 
Minja ila nyinyi ule ubaguzi wenu wa enzi za Mramba waziri wa Fedha,wizara yote 80% Wachaga,Kitillya C.General TRA 80% Wachaga,Kimei CRDB,80% Wachaga huioni? Ukiamua kukemea ukabila kemea kweli kweli na uanze na kutoa boriti kwenye jicho lako kwanza.Makabila mengine walau wanaweza kuongea kuhusu ukabila lakini siyo Wachaga maana tuna mifano halisi pia.
Unachokisema hakina ushahidi wa moja kwa moja badala yake ni falacy.Kwanza nikukumbushe tu hao unaowataja na kabila lao hata siku moja hawajawahi kupewa nchi kwa vyeo vikubwa kama U rais,waziri mkuu na hata makamo.Huo upendeleo unaousema waliofanya tungeuona wangeufanya direct kama wanaofanya viongozi wengine walio katika hizo ngazi za juu especially Jiwe MaSwali langu kwako #Nyamizi#
Je kulikuwa kuna haja gani ya kuteua WASUKUMA kwenye kila idara ingawa Marais waliopita hawakuwa na dhambi ya ubaguzi kama hyo? Ingawaje kweli na nyie ni watu na pia watanzania wenzetu lkn huoni ilikuwa Double Standard?
Je kwa upendeleo ule wa kuchagua kina Bangosha kila kona kama vile TPA,BRELA,JESHINI, TRA,TISS, TPDC, BOT, HAZINA WIZARA, na Vitengo nyeti vya serikali ni kwamba makabila mengine yalikuwa hayana weledi na uzalendo wa kuwa viongozi?
Je kulikuwa na haja gani ya kutimua baadhi ya watu kutoka makabila mengine Jiwe aloyakuta licha ya wao pia kuwa Watanzania?
Ukishayaona hayo ndo nambie niondoe kbanzi kilichopo ndani ya Macho yangu. Pia uje na fact za kwa nn msipewe jina la Sukuma Gang na kama hamkustahili
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala hizi za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo hizileta kwa mfumo wa swali fikirishi na mimi kutoa tuu maoni yangu lakini kukupa wewe msomaji fursa ya kufikiri, kushauri na kutoa majibu unayoona yanafaa.

Swali la leo ni kuhusu kuibuka na kuchopuka kwa viji sentiments vya viashiria vya ubaguzi wa udini, ukanda na ukabila, sasa jee ni tuunganishe nguvu kukemea au roache tuu ukiisha ota na kukomaa ndipo tuukate?. Ubaguzi Ubaguzi huu wa kisasa unafanywa kwa viji neno neno vya kibaguzi, je neno Sukuma Gang, sio neno la kibaguzi?. ni neno tuu la kawaida tuliache au ni neno la kibaguzi linalostahili kukemewa?. Je mnaonaje kama Watanzania tukiungana kukemea vijineno neno vyenye viashiria vya Ubaguzi wa aina yowote kwa jina lolote?

Nimeileta hoja hii kufuatia as days goes by, hizi issues za hii kitu inayoitwa Sukuma Gang is escalating to the point of unbecoming!. Sukuma gang ni itikadi siyo kabila

The Mkuu Sexless , kwanza nikupongeze kuileta hoja hii, pili japo ni kweli neno Sukuma Gang ni itikadi tuu, lakini si kweli kuwa iliasisiwa na Magufuli!. Tumwacheni Magufuli apumzike kwa amani!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Neno Sukuma Gang ni a fictitious Group that doesn't exist in reality lililobiniwa na yule Kigogo wa Twitter na watu wajinga wajinga wenye akili fupi wakaamini hili kundi ni kweli lipo!. Kiukweli kabisa Sukuma Gang sio kundi la kweli, halipo popote and don't exist anywhere in reality except ndani ya vichwa vya watu waliofilisika kisiasa!

Pia sii kweli! bali baada ya Kigogo wa Twitter kuliasisi kundi hili fictitious, akatumia nguvu kubwa kulifanyia indoctrination kuwa hili kundi does real exist, hivyo wale watu wa Magufuli na watu wote wanaomsupport Magufuli wakawa pointed kuwa ni members wa Sukuma Gang, hata mimi ni Msukuma, na namsupport Magufuli na sio Sukuma Gang!

Hakuna kitu kama hiki, ila kwa vile indoctrination ya existence ya uwepo wa kundi hili imefanyika na watu wenye akili fupi waliofilisika kisiasa wakaamini', kama na wewe unaamini kuwa kundi la Sukuma Gang kweli lipo and does exist in reality, ujijue ni akili fupi and muflis kisiasa kama wale muflis wengine wote wanaoamini ujinga huu!

Hapa nakuunga mkono!

Kumchukia mtu yoyote kwasababu yoyote sio jambo jema! Dini zinatufunza hata adui mpende!. Hivyo it's not right kumchukia mtu yoyote!

Japo hii shana ya the existence of the Sukuma Gang ni dhana tuu, na the Sukuma Gang ni just a fictitious Group that doesn't exist in reality, lakini kufuatia indoctrination iliyofanywa na yule Kigogo wa Twitter, watu wenye akili ndogo, akili fupi na waliofilisika ki fikra, wakaamini, hivyo chuki dhidi ya Wasukuma is real!. Hili sio jambo jema!.

Kufuatia kabila la Wasukuma kuwa ndilo kabila kubwa Tanzania kuliko makabila yote, zikitokea nafasi zozote za uongozi, na watu wote wako huru kugombea, obviously Wasukuma pia lazima watakuwepo.

Kulitokea nafasi fulani za uongozi ndani chama fulani, wakajitokeza wagombea 186 kugombea nafasi 8 aa uongozi. Miongoni mwa waliojitokeza walikuwepo Wasukuma wengi tuu ila mimi nawajua kulikuwa na Wasukuma wawili ambao kama wangepitishwa wangetupatia wawakilishi wazuri the best of the best.

Ikasemekana kuwa mmoja kati ya hao Wasukuma wawili ni member wa the Sukuma Gang!. Then kwenye mchujo ikaelezwa kuwa wamepewa maelekezo hatua ya kwanza kabisa ni kuwakata Wasukuma wote waliojitokeza!. Na kweli Wasukuma woote tukakatwa eti ni Sukuma Gang! This is not fair at all! Taifa linakosa uwakilishi wa watu wazuri kwa ubaguzi wa kijinga kabisa!

Na katika hili naomba na mimi nijiunge kwenye kukemea hii sumu ya ubaguzi mbaya kabisa ya kuwabagua Wasukuma kwa kisingizio cha Sukuma Gang, na naomba kutamka kama kuna Msukuma yoyote popote ameadhibiwa au kubaguliwa kwa kisingizio ni member wa the Sukuma Gang, then dhambi hiyo ya ubaguzi, itawatafuna wabaguzi hao kupitia kitu kinachoitwa karma! Karma haina mswalie Mtume wala haijali nani ni nani!

Paskali
Mkuu Pascal Mayalla yaani naandika huku nataka kutokwa na machozi. Sijui kwa nini Rais Dkt Samia au TISS wameachia huu ujinga na upumbavu kuendelea. Nina kuhakikishia watu wana hasira sana na serikali ya Rais Dkt Samia ila hawana pa kusemea, na ikitokea watu waanze kuuana basi ujue mtu ataulizwa wewe sukuma gang au siyo na hicho ni kigezo cha kuchinjana. Nina uhakika hizi propaganda zimedumu sana na kibaya Dkt Magufuli hakuwa hata anataka kuwa rais bali mfumo ulimlazimisha ili aiokoe CCM kushindwa uchaguzi, leo hii ndiyo eti kageuka kuwa mbaya na kudhihakiwa tena TISS nao wapo kimya tu badala hata kupiga marufuku neno ambalo linamdhalilisha mwana mapinduzi wetu na mzalendo. Ila yana mwisho ipo siku!
 
Achana na hawa walioingia baada ya sintofahamu ndani ya Chama.Rudi nyuma kuanzia 2005-2020,angalia wabunge wa kuteuliwa ndani ya CDM
Leta uwiano kama unao. Kwa hiyo Mbowe (CDM), Mbatia (NCCR), Mrema (TLP), Kyara (CHAUSTA), na etc ni ukabila? Hata walivyojipanga Kariakoo ni ukabila au juhudi zao tu?
 
Kama kutakuja kuwa na ukabila mkubwa nchi hii, basi wasukuma ndio watakaokuwa sababu kubwa ya jambo hilo. Kwa muda mfupi tu tangu 2015 nafasi nyingi sana serikalini zilichukuliwa na wasukuma. Na kumekuwa na trend ya kujiona ndio wanastahili na pia kuendekeza ubaguzi dhidi ya wengine. Nitamlaumu JPM sana kwa kuleta balaa hili kwa makusudi kabisa.

Siku inakuja ukabila utakuwa synonymous to Sukuma.
Wewe Jamaa leo nione Hapa Makumbusho tukapate Sekela na Mirinda nyeusi kwa mhindi mamaee
 
Huyo anachuki na wasukuma! Japo wengi tu wanamzidi exposure na fedha!
Wasukuma wengi mjitahidi sasa kupata hela kwa kutumia akili na sio ndagu manake nimeona sana ndagu zikitumika kwa kabila hili kuanzia JPM, Musukuma na wengine wengi.
 
Unachokisema hakina ushahidi wa moja kwa moja badala yake ni falacy.Kwanza nikukumbushe tu hao unaowataja na kabila lao hata siku moja hawajawahi kupewa nchi kwa vyeo vikubwa kama U rais,waziri mkuu na hata makamo.Huo upendeleo unaousema waliofanya tungeuona wangeufanya direct kama wanaofanya viongozi wengine walio katika hizo ngazi za juu especially Jiwe MaSwali langu kwako #Nyamizi#
Je kulikuwa kuna haja gani ya kuteua WASUKUMA kwenye kila idara ingawa Marais waliopita hawakuwa na dhambi ya ubaguzi kama hyo? Ingawaje kweli na nyie ni watu na pia watanzania wenzetu lkn huoni ilikuwa Double Standard?
Je kwa upendeleo ule wa kuchagua kina Bangosha kila kona kama vile TPA,BRELA,JESHINI, TRA,TISS, TPDC, BOT, HAZINA WIZARA, na Vitengo nyeti vya serikali ni kwamba makabila mengine yalikuwa hayana weledi na uzalendo wa kuwa viongozi?
Je kulikuwa na haja gani ya kutimua baadhi ya watu kutoka makabila mengine Jiwe aloyakuta licha ya wao pia kuwa Watanzania?
Ukishayaona hayo ndo nambie niondoe kbanzi kilichopo ndani ya Macho yangu. Pia uje na fact za kwa nn msipewe jina la Sukuma Gang na kama hamkustahili
Minja umeongea mambo mengi mno lakini umeshindwa kuukataa uhalisia kuwa nyie Wachagga ni vinara wa ubaguzi hapa Nchini.Unasema hao tuliowataja hawajawahi kupewa nyadhifa kubwa lakini unashindwa kuelewa ukubwa wa TRA au Wizara ya Fedha hapa Nchini na madhara yake kwa viongozi wakuu wa hizo Taasisi kuendekeza ukabila.

Siku Mramba,Kimei or Kitillya wangekalia Ikulu hali ingekuwa mbaya zaidi kwakuwa uhalisia wa ubaguzi wao waliuonyesha kwenye Taasisi walizopewa kuziongoza.

Makabila mengine wanaweza kuongelea swala la ubaguzi lakini siyo nyinyi Wachagga.
 
Back
Top Bottom