Je, tukemee udini, ukanda na ukabila au? Je, neno Sukuma Gang si neno la kibaguzi? Mnaonaje tukiungana kukemea ubaguzi wowote kwa jina lolote?

Je, tukemee udini, ukanda na ukabila au? Je, neno Sukuma Gang si neno la kibaguzi? Mnaonaje tukiungana kukemea ubaguzi wowote kwa jina lolote?

Wasukuma 95% ni washamba uwe umesoma au hujasoma, by the way mmeturudisha nyuma sana kama Nchi.
Ulikuwa wapi na umerudishwa wapi?
SGR ni kurudi nyuma?
Tanzanite bridge ni kurudi nyuma?
Terminal 3 JNIA ni kurudi nyuma?
MW 2105 za JNHPP ni kurudi nyuma?
Uendelezaji wa makao makuu Dodoma ni kurudi nyuma?
EACOP(kama unajua) ni kurudi nyuma?
Kama wewe au ndugu yako au mzazi wako alikuwa na cheti feki, sio kosa la JPM. Ni kosa lake kutokuwa na cheti chake halisi.
 
Unachokisema hakina ushahidi wa moja kwa moja badala yake ni falacy.Kwanza nikukumbushe tu hao unaowataja na kabila lao hata siku moja hawajawahi kupewa nchi kwa vyeo vikubwa kama U rais,waziri mkuu na hata makamo.Huo upendeleo unaousema waliofanya tungeuona wangeufanya direct kama wanaofanya viongozi wengine walio katika hizo ngazi za juu especially Jiwe MaSwali langu kwako #Nyamizi#
Je kulikuwa kuna haja gani ya kuteua WASUKUMA kwenye kila idara ingawa Marais waliopita hawakuwa na dhambi ya ubaguzi kama hyo? Ingawaje kweli na nyie ni watu na pia watanzania wenzetu lkn huoni ilikuwa Double Standard?
Je kwa upendeleo ule wa kuchagua kina Bangosha kila kona kama vile TPA,BRELA,JESHINI, TRA,TISS, TPDC, BOT, HAZINA WIZARA, na Vitengo nyeti vya serikali ni kwamba makabila mengine yalikuwa hayana weledi na uzalendo wa kuwa viongozi?
Je kulikuwa na haja gani ya kutimua baadhi ya watu kutoka makabila mengine Jiwe aloyakuta licha ya wao pia kuwa Watanzania?
Ukishayaona hayo ndo nambie niondoe kbanzi kilichopo ndani ya Macho yangu. Pia uje na fact za kwa nn msipewe jina la Sukuma Gang na kama hamkustahili
Hiyo ni dhana ambayo umeitengeneza Magu kamteua Mama samia huyu ni msukuma? Waziri mkuu kassim Majaliwa ni msukuma? Mwanasheria wa serikali ni msukuma?
 
Leta uwiano kama unao. Kwa hiyo Mbowe (CDM), Mbatia (NCCR), Mrema (TLP), Kyara (CHAUSTA), na etc ni ukabila? Hata walivyojipanga Kariakoo ni ukabila au juhudi zao tu?
Achana kwanza na kina NCCR,hapa nimekwambia leta uwiano wa Wabunge wa kuteuliwa ndani ya CDM 2005-2020.Unajaribu kudivert point tuliyokuwa tunabishania kwakuwa unaujua uhalisia wa jinsi gani mambo yanavyopelekwa ndani ya Chama chetu pendwa.
 
Wasukuma wengi mjitahidi sasa kupata hela kwa kutumia akili na sio ndagu manake nimeona sana ndagu zikitumika kwa kabila hili kuanzia JPM, Musukuma na wengine wengi. Mlimaliza albino kabla ya 2015 na tulichokipata nchi hii ndio huyo dikteta uchwara.
 
Achana kwanza na kina NCCR,hapa nimekwambia leta uwiano wa Wabunge wa kuteuliwa ndani ya CDM 2005-2020.Unajaribu kudivert point tuliyokuwa tunabishania kwakuwa unaujua uhalisia wa jinsi gani mambo yanavyopelekwa ndani ya Chama chetu pendwa.
Leta uwiano huo. Hakuna kabila lililochangia kuuwa ukabila kama wachagga! Walitapakaa nchi nzima na kuoa kila kabila na kufanya kazi au biashara huko.
 
Wasukuma wengi mjitahidi sasa kupata hela kwa kutumia akili na sio ndagu manake nimeona sana ndagu zikitumika kwa kabila hili kuanzia JPM, Musukuma na wengine wengi.
Tayari mada ishakuzidi uwezo unaanza kutatarika kama mahindi ya bisi ndani ya kikaango.Rudi kwenye mada [emoji3]
 
Tayari mada ishakuzidi uwezo unaanza kutatarika kama mahindi ya bisi ndani ya kikaango.Rudi kwenye mada [emoji3]
Unajua nini hufanya ukabila kuwepo na tena kuwa na nguvu sana? Nu u-primitive au primitivism. Msukuma hawezi kumwamini mtu wasiyeongea naye kisukuma sawa ba mmasai ni ngumu.
 
Minja umeongea mambo mengi mno lakini umeshindwa kuukataa uhalisia kuwa nyie Wachagga ni vinara wa ubaguzi hapa Nchini.Unasema hao tuliowataja hawajawahi kupewa nyadhifa kubwa lakini unashindwa kuelewa ukubwa wa TRA au Wizara ya Fedha hapa Nchini na madhara yake kwa viongozi wakuu wa hizo Taasisi kuendekeza ukabila.

Siku Mramba,Kimei or Kitillya wangekalia Ikulu hali ingekuwa mbaya zaidi kwakuwa uhalisia wa ubaguzi wao waliuonyesha kwenye Taasisi walizopewa kuziongoza.

Makabila mengine wanaweza kuongelea swala la ubaguzi lakini siyo nyinyi Wachagga.
Kwa hyo wewe unaowajua ni Mramba, Kitilya na Kimei sasa who are they by the way? Mbona kwanza walikua ni watu wadogo sana kwenye hili Taifa hivi hao mnaowataja bila ya kuwa na locuss wala impact kwenye hili taifa tena vidagaa wadogo unadhani waweza mlinganisha na Impact ya MAGU? nani asiyejua Magu alimweka Biswalo DPP kutoka kwao AG.Kilangi, nenda BRELA nenda TRA nasema hivyo hao watu nimefanya nao kazi yani kama sehemu nyingine sitaki kusema hata madhambi yao ila mtashughulikiwa tu ilikuwa hupati huduma mpaka uongee KISUKUMA Shamee!!
 
Jiandaeni,Baba wa Taifa hili kuwa Edwin Mtei.Hawanaga aibu hao hata kumnyang'anya hadhi yake Nyerere[emoji3][emoji3]
😂😂Hyo vita haya maduka yao yote yatachomwa moto ...watarudi kwao hatuwezi kukubali kuongozwa na hao watu
 
Mkuu Pascal Mayalla yaani naandika huku nataka kutokwa na machozi. Sijui kwa nini Rais Dkt Samia au TISS wameachia huu ujinga na upumbavu kuendelea. Nina kuhakikishia watu wana hasira sana na serikali ya Rais Dkt Samia ila hawana pa kusemea, na ikitokea watu waanze kuuana basi ujue mtu ataulizwa wewe sukuma gang au siyo na hicho ni kigezo cha kuchinjana. Nina uhakika hizi propaganda zimedumu sana na kibaya Dkt Magufuli hakuwa hata anataka kuwa rais bali mfumo ulimlazimisha ili aiokoe CCM kushindwa uchaguzi, leo hii ndiyo eti kageuka kuwa mbaya na kudhihakiwa tena TISS nao wapo kimya tu badala hata kupiga marufuku neno ambalo linamdhalilisha mwana mapinduzi wetu na mzalendo. Ila yana mwisho ipo siku!
Nyie BANYAMULENGE, acheni ushamba, Magufuli alikuwa muuaji, Mungu ameamua ugomvi maana tungeandamana na tungemuondoa kwa lazima tu.
 
Watu wamebaki kuwaona Kimei na Mramba. Kimei ndio success behind CRDB.

Mengi katika kitabu chake analalanika jinsi alivyokataliwa kuwekeza na serikali ya Nyerere na badala yake nafasi akapewa mhindi.

Hata wachagga wenyewe ni vigumu kupata ardhi Kilimanjaro kutokana na ardhi yote kutumika na ndio maana wachagga wamekimbilia nje ya Kilimanjaro. Unaona hoja zako zisivyo na ukweli?!

Ndio waendelezaji wa miji mingine yote bila ubaguzi wanajenga maghorofa popote bila kujali ni mkoa wao au la. Wangekuwa wakabila si wangeendeleza Moshi tu?
Hyo ni uongo...Eti analala wakati palikuwa na sera za mzawa.


Hakuna tajiri tunajua hapa bongo matajiri ni wahindi na waarabu ndo kukuta njaa kali wachache.

Sasa kushika nchi haiwezi kutokea labda kama mntaka machafuko jaribu muone kama hamtakimbia nchii hii .

Ubaguzi utakuwa mkubwa kama mchaga akishika nchi na kusema mtei ni amesababisha crdb iwe successful ni uongo hata angekuwa Nan ingefika pale na hayupo still inasonga ndo unashare kubwa mpaka sasa...Jazaneni hatuna time ila kushika nchi mtu mlevi haiwezekani ng'o
 
Mkuu Pascal Mayalla yaani naandika huku nataka kutokwa na machozi. Sijui kwa nini Rais Dkt Samia au TISS wameachia huu ujinga na upumbavu kuendelea. Nina kuhakikishia watu wana hasira sana na serikali ya Rais Dkt Samia ila hawana pa kusemea, na ikitokea watu waanze kuuana basi ujue mtu ataulizwa wewe sukuma gang au siyo na hicho ni kigezo cha kuchinjana. Nina uhakika hizi propaganda zimedumu sana na kibaya Dkt Magufuli hakuwa hata anataka kuwa rais bali mfumo ulimlazimisha ili aiokoe CCM kushindwa uchaguzi, leo hii ndiyo eti kageuka kuwa mbaya na kudhihakiwa tena TISS nao wapo kimya tu badala hata kupiga marufuku neno ambalo linamdhalilisha mwana mapinduzi wetu na mzalendo. Ila yana mwisho ipo siku!
Usisahau jamani jinsi JPM alivyotesa watu nchi hii tena akiwatarget wafanyabiashara wa mikoa flani ambayo aliwachukia kwa nguvu zote kama vile ndio waliomlisha sumu akiwa waziri.
 
Unajua nini hufanya ukabila kuwepo na tena kuwa na nguvu sana? Nu u-primitive au primitivism. Msukuma hawezi kumwamini mtu wasiyeongea naye kisukuma sawa ba mmasai ni ngumu.
Sasa unarudi kwenye mada na walau unaanza kuwa neutral na siyo huko mwanzo ulianza kwa kasi kubwa ya kuwashambulia Wasukuma
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala hizi za "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo hizileta kwa mfumo wa swali fikirishi na mimi kutoa tuu maoni yangu lakini kukupa wewe msomaji fursa ya kufikiri, kushauri na kutoa majibu unayoona yanafaa.

Swali la leo ni kuhusu kuibuka na kuchopuka kwa viji sentiments vya viashiria vya ubaguzi wa udini, ukanda na ukabila, sasa jee ni tuunganishe nguvu kukemea au roache tuu ukiisha ota na kukomaa ndipo tuukate?. Ubaguzi Ubaguzi huu wa kisasa unafanywa kwa viji neno neno vya kibaguzi, je neno Sukuma Gang, sio neno la kibaguzi?. ni neno tuu la kawaida tuliache au ni neno la kibaguzi linalostahili kukemewa?. Je mnaonaje kama Watanzania tukiungana kukemea vijineno neno vyenye viashiria vya Ubaguzi wa aina yowote kwa jina lolote?

Nimeileta hoja hii kufuatia as days goes by, hizi issues za hii kitu inayoitwa Sukuma Gang is escalating to the point of unbecoming!. Sukuma gang ni itikadi siyo kabila

The Mkuu Sexless , kwanza nikupongeze kuileta hoja hii, pili japo ni kweli neno Sukuma Gang ni itikadi tuu, lakini si kweli kuwa iliasisiwa na Magufuli!. Tumwacheni Magufuli apumzike kwa amani!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

Neno Sukuma Gang ni a fictitious Group that doesn't exist in reality lililobiniwa na yule Kigogo wa Twitter na watu wajinga wajinga wenye akili fupi wakaamini hili kundi ni kweli lipo!. Kiukweli kabisa Sukuma Gang sio kundi la kweli, halipo popote and don't exist anywhere in reality except ndani ya vichwa vya watu waliofilisika kisiasa!

Pia sii kweli! bali baada ya Kigogo wa Twitter kuliasisi kundi hili fictitious, akatumia nguvu kubwa kulifanyia indoctrination kuwa hili kundi does real exist, hivyo wale watu wa Magufuli na watu wote wanaomsupport Magufuli wakawa pointed kuwa ni members wa Sukuma Gang, hata mimi ni Msukuma, na namsupport Magufuli na sio Sukuma Gang!

Hakuna kitu kama hiki, ila kwa vile indoctrination ya existence ya uwepo wa kundi hili imefanyika na watu wenye akili fupi waliofilisika kisiasa wakaamini', kama na wewe unaamini kuwa kundi la Sukuma Gang kweli lipo and does exist in reality, ujijue ni akili fupi and muflis kisiasa kama wale muflis wengine wote wanaoamini ujinga huu!

Hapa nakuunga mkono!

Kumchukia mtu yoyote kwasababu yoyote sio jambo jema! Dini zinatufunza hata adui mpende!. Hivyo it's not right kumchukia mtu yoyote!

Japo hii shana ya the existence of the Sukuma Gang ni dhana tuu, na the Sukuma Gang ni just a fictitious Group that doesn't exist in reality, lakini kufuatia indoctrination iliyofanywa na yule Kigogo wa Twitter, watu wenye akili ndogo, akili fupi na waliofilisika ki fikra, wakaamini, hivyo chuki dhidi ya Wasukuma is real!. Hili sio jambo jema!.

Kufuatia kabila la Wasukuma kuwa ndilo kabila kubwa Tanzania kuliko makabila yote, zikitokea nafasi zozote za uongozi, na watu wote wako huru kugombea, obviously Wasukuma pia lazima watakuwepo.

Kulitokea nafasi fulani za uongozi ndani chama fulani, wakajitokeza wagombea 186 kugombea nafasi 8 aa uongozi. Miongoni mwa waliojitokeza walikuwepo Wasukuma wengi tuu ila mimi nawajua kulikuwa na Wasukuma wawili ambao kama wangepitishwa wangetupatia wawakilishi wazuri the best of the best.

Ikasemekana kuwa mmoja kati ya hao Wasukuma wawili ni member wa the Sukuma Gang!. Then kwenye mchujo ikaelezwa kuwa wamepewa maelekezo hatua ya kwanza kabisa ni kuwakata Wasukuma wote waliojitokeza!. Na kweli Wasukuma woote tukakatwa eti ni Sukuma Gang! This is not fair at all! Taifa linakosa uwakilishi wa watu wazuri kwa ubaguzi wa kijinga kabisa!

Na katika hili naomba na mimi nijiunge kwenye kukemea hii sumu ya ubaguzi mbaya kabisa ya kuwabagua Wasukuma kwa kisingizio cha Sukuma Gang, na naomba kutamka kama kuna Msukuma yoyote popote ameadhibiwa au kubaguliwa kwa kisingizio ni member wa the Sukuma Gang, then dhambi hiyo ya ubaguzi, itawatafuna wabaguzi hao kupitia kitu kinachoitwa karma! Karma haina mswalie Mtume wala haijali nani ni nani!

Paskali
It was a good thing until it's not. Zama zimepita, zilizokua sifa sasa zimejeuka kejeli, poleni.


Kumbuka hii kutoka Mwananchi

Dar es Salaam. Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imempa onyo Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima baada ya kujiridhisha na kosa la kusambaza kipeperushi na sauti kwa lugha ya kisukuma zenye lengo la kuhamasisha watu kuunda kikundi cha kikabila nchini.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa umma jana, kipeperushi hicho chenye picha ya Rais Rais John Magufuli kimesambaa kwenye mitandao ya kijamii kikiwa na maandishi yanayosomeka kwa lugha ya kisukuma.
Kaimu kamanda wa polisi wa kanda hiyo, Camillius Wambura alisema kabla ya onyo hilo walimhoji Askofu Gwajima na baadaye kumuonya kuacha mara moja vitendo vya kuligawa taifa kwa kutumia vigezo vya ukabila.

 
Ndio kwa ushamba wenu yafaa mutengwe kwa maana hamna akili, mkipewa madaraka mnadhani hii nchi ni USUKUMANI. Hamna akili kichwani, washamba, wajinga na kila aina ya ubaya mnao nyie Mbuzi wakubwa nyie.
Kwanza mie sio msukuma mkuu halafu kusema wasukuma wana kila aina ya ubaya sio kweli, kiongozi wako wa sasa jamii yake inaongoza kwa vitendo vya ushoga na kulawitiana kuliko hao wasukuma hadi wale waliyotakiwa kuwa wakakamavu nao ni mashoga kuonyesha ukubwa wa athari za hilo tatizo kwenye hiyo jamii yake ila yeye ndio kiongozi.
 
Hyo ni uongo...Eti analala wakati palikuwa na sera za mzawa.


Hakuna tajiri tunajua hapa bongo matajiri ni wahindi na waarabu ndo kukuta njaa kali wachache.

Sasa kushika nchi haiwezi kutokea labda kama mntaka machafuko jaribu muone kama hamtakimbia nchii hii .

Ubaguzi utakuwa mkubwa kama mchaga akishika nchi na kusema mtei ni amesababisha crdb iwe successful ni uongo hata angekuwa Nan ingefika pale na hayupo still inasonga ndo unashare kubwa mpaka sasa...Jazaneni hatuna time ila kushika nchi mtu mlevi haiwezekani ng'o
Wasukuma mna potential kubwa sana ila… Katika baadhi ya kazi zangu naajiri wasukuma tu, ila ni wale original wa kijijini wanaweza mambo flani ila wasukuma waliowehuka mjini wanakuwa sio.
 
Back
Top Bottom