Mr Why JF-Expert Member Joined Nov 27, 2019 Posts 2,235 Reaction score 4,252 Dec 17, 2024 #1 Hivi tukifanya Prank hizi kwa wake zetu wa Kiafrica watacheka ama kulia? Tazama Video hii Attachments FDownloader.Net_AQM6moqxlLj7mQNT2k5EGMi_0pCU50-0bH3wB8FPZAVL0ns1_sekUo3QhtGwrQDFwJ7ofrhGDOmC46...mp4 2.4 MB
Nikifa MkeWangu Asiolewe JF-Expert Member Joined Feb 26, 2024 Posts 6,944 Reaction score 14,351 Dec 17, 2024 #2 Kama huna hela alie ili iweje na unajuwa wazi kabisa wanawake wa siku hizi wapo kwako kwa ajiri ya hela ukiishiwa kama luku tu hupati umeme utauonea kwa jirani
Kama huna hela alie ili iweje na unajuwa wazi kabisa wanawake wa siku hizi wapo kwako kwa ajiri ya hela ukiishiwa kama luku tu hupati umeme utauonea kwa jirani