Je utamaduni wa uoga, unafiki, rushwa na kupenda kutukuzwa aka uchawa ni sababu inayo kwamisha maendeleo yetu. Katiba mpya ambayo ingeleta uchumi imara na demokrasia
Je utamaduni wa uoga, unafiki, rushwa na kupenda kutukuzwa aka uchawa ni sababu inayo kwamisha maendeleo yetu. Katiba mpya ambayo ingeleta uchumi imara na demokrasia
Mtu bwege tu ndia atatumia hizi mahakama zetu kufungua shauri, mahakama zinazopewa maagizo huwezi kuzitumia kudai haki. Mnajisi uhuru wa mahakama kisha mtake watu wawe na uzalendo wa kibwege.