Je, tumekubali na tutahudhuria Sherehe za Uhuru za mwaka huu wa 2019 kama Mgeni Rasmi kwakuwa zitafanyika Mwanza au?


Bado nauona Muendelezo wako tu wa Upopoma katika Kujibu Hoja zako. Ninachoka sasa Kukuelimisha tafadhali Mkuu sawa?
 
Logic question
 
Narudia tena kukwambia usikariri maisha. Sherehe zisipofanyika mwaka huu basi subiri kuziona mwakani zikifanyika.

Ni maamuzi ya rais kufanyika au kutofanyika kwa sherehe hizo. Kama una hamu sana kuona zikifanyika basi jaza MB kwenye laptop au simu yako halafu ingia youtube utakutana nazo kwa wingi tu.
 

Mpumbavu Mwandamizi yoyote yule duniani huwa ni lazima tu atakuwa anakuja na Majibu ya Kipumbavu kama haya yako.
 
Mpumbavu Mwandamizi yoyote yule duniani huwa ni lazima tu atakuwa anakuja na Majibu ya Kipumbavu kama haya yako.
Mpumbavu ni wewe usiyeyajua mamlaka ya rais yana nguvu kiasi gani kikatiba.

Nimekuuliza kifungu cha katiba kinachonyima rais mamlaka ya kuahirisha sherehe za uhuru bado hujanipatia.

Unaishia kuzunguka tu ukitumia matusi ya rejareja mara popoma mara pumbavu. Nipe kifungu ili nione kweli rais hana mamlaka.
 
Rudi kwenye hoja yako ya msingi. Wewe utakuwa mtani wangu mkurya na sio mnyarwanda kama unavyodanganya watu.

Baada ya Kuona Makombora / Madongo yangu yanazidi Kukumaliza na Kukuumiza sasa umeona ukimbilie katika Kulazimisha Utani wako na Mimi ili unitulize na unipunguze Kasi au? Na bahati mbaya mno Kwako ni kwamba GENTAMYCINE nawajua Watani zangu wote Wapendwa kutoka Makabila ya Wahaya ( Kagera ), Wanyiramba na Wanyaturu ( Singida ), Waha ( Kigoma ), Warangi Kondoa ( Dodoma ) na Wakara Ukerewe ( Mwanza ) ni Watu wenye Akili ( IQ ) Kubwa hivyo acha Kudanganya hapa kwamba nawe ni Miongoni mwa Watani zangu hao Mimi ' Mwamba ' kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) sawa?
 

Mpuuzi kama Wewe ni ngumu Kufundishika na Kuelimika pia.
 
Kasome vizuri historia ya wakurya kuwa wengi jeshini haswa miaka ya 70 na 80. Sifa moja kubwa ya Mwl mbali ya mapungufu yake mengine hakuwa mbinafsi kabisa. Utakuwa unakosea sana kulinganisha ubinafsi wa kiwango cha SGR wa mkuu wa kaya awamu hii na ule wa Mwl.
 
Kuna watu wanawasema Dotto James na Makonda awamu hii wanawasahau Mzee Joseph Butiku na Nyirabu awamu ya kwanza.
Unawataja Butiku na Nyirabu wazee walioitumikia nchi hii kwa uadilifu uliotukuka, wamestaafu na wanaishi kwa mafao yao tena maisha ya kawaida sana. Hakuna kati yao aliyejilimbikizia mali na kujikweza kama hao uliowataja ambao wamegeuka mchwa na kuitafuna nchi hii kama mali yao. Mkuu wa kaya anafanya kazi kwa upendeleo uliotukuka haswa kwa gavana wa DSM na mtunza kasiki la nchi.
 

Nakubaliana nawe kwa 100% Mkuu na umemaliza kila Kitu japo huyo Nyirabu sasa ni Marehemu pamoja na Mkewe na wamebaki Watoto tu.
 
Mimi ni mshubi wa Ngara. Huna makombora tatizo lako ni kujisikia kuliko pitiliza. Una majivuno yasiyo na ulazima.

Aina yako ndio wale wanaingia madukani na kumwambia muuzaji naomba hilo shati la laki moja kumbe linauzwa shilingi elfu ishirini.
 
Naongelea ukaribu wao na rais ulitokana na undugu alionao.

Hakuna rais duniani ambaye hana ndugu anayemuamini katika watu wa karibu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…