GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Hakuna kifungu kwenye katiba kunachomzuia rais asiahirishe sherehe za uhuru. Anachofanya ni kuangalia maslahi muhimu ni yapi kwa taifa.
Mara ya kwanza aliona barabara ya Morocco ni muhimu kwa jiji la Dar na matokeo kila mkazi wa jiji hili anayaona wazi kabisa.
Tatizo letu ni kukariri maisha kudhani kwamba kila rais ni lazima awe na vipaumbele vilivyo ndani ya akili zetu.
Bado nauona Muendelezo wako tu wa Upopoma katika Kujibu Hoja zako. Ninachoka sasa Kukuelimisha tafadhali Mkuu sawa?