Je, tumekubali na tutahudhuria Sherehe za Uhuru za mwaka huu wa 2019 kama Mgeni Rasmi kwakuwa zitafanyika Mwanza au?

Je, tumekubali na tutahudhuria Sherehe za Uhuru za mwaka huu wa 2019 kama Mgeni Rasmi kwakuwa zitafanyika Mwanza au?

Kwanini na mwaka huu pia Pesa za Sherehe za Uhuru nazo zisipelekwe/zisielekezwe katika Miradi mikubwa ya Maendeleo ya Wananchi badala yake kwa mwaka huu Sherehe zipo, Mhudhuriaji Mkuu nae atahudhuria ambapo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza?

Nasubiri majibu yenu Wakuu.

Nadhani hilo swali ungemuuliza huyo muhusika ndo angejibu kwa nni safari hii hataki kutumia hizo pesa kwa miradi mingine, maana maamuzi hutoa yeye, pia ukumbuke anapo ahilisha huwa kuna watu humu pia hulalamika kwa nini aahilishe swala ambalo lipokisheria? Pia umshauri ni lipi jema afanye kati ya kuahilisha na kusherekea.
 
Wakiwa wengi huko pia tatizo liko wapi? Halafu nakupa ' Assignment ' ndogo nenda kafanye Utafti wako kisha njoo uniambie kama ni kweli huko TISS kumejaa Watu wa Mkoani Mara ( Musoma ) hivi kuna Makabila ambayo yanaongoza ' Kujazana ' huko TISS kama Wahehe ( Iringa ), Wawambwe ( Rukwa ), Wanyakyusa ( Mbeya ), Wadigo ( Tanga ) na Wapemba / Waunguja ( Zanzibar ) Mkuu?

Nasubiri unibishie katika hili.
Hilo la TISS jamaa amekurupuka 😁.
 
Hakuna binadamu anayeweza kufanya mambo Kwa usawa , kuna kitu huwa kinamcontrol mtu na ni ngumu kupingana nacho , nacho ni ubinafsi , anaanza kujiangalia yeye kama yeye, inafata familia yake , unafata ukoo, kisha kabila na kisha taifa , na hatimaye bara , na vipo Kwa mfuatano huwez kuruka kimoja et upendelee kinachofata, mfano uache kunufaisha familia ili unufaishe taifa ni ngumu Sana, Nyerere pamoja na utaifa wake lakn jeshi lilijaa watu wa Mara .
Hapo kwenye jeshi samahani kidogo. Hii ilianza tangu wakati wa ukoloni ambao walikuwa na vipaumbele vyao. Baada ya vita kuu ya pili wote waliopigana na kurudi salama waliajiria KAR, POLICE NA PRISONS bila kujali walitkea wapi ingawaje wengi wao walitokea Mara. Hali hii ilianza kurekebishwa Zaidi baada ya uhuru. Hata wafupi nao wakaanza kupokelewa jeshini, polisi na magereza. Hata hivyo sidhani kama ulitegemea waishe mara. Pamoja na yote watu wa Mara wanapenda kazi za 'GESHI' kama ambavyo makabila mengine yanapenda uvuvi, kazi za ofisini, ngoma, biashara nk
 
Na kwanini mwaka huu zinafanyika na mwaka ujao hazifanyiki? Hii Kwako Wewe ni Akili au Matope? Nasubiri Majibu yako tafadhali.
Una uhakika gani mwakani hazitafanyika?....,si usubir mwakani ndo ufungue Au ufunge mdomo wako huo...we ulijua kama zitafanyika mwaka huu...
 
Narudia tena kukwambia usikariri maisha. Sherehe zisipofanyika mwaka huu basi subiri kuziona mwakani zikifanyika.

Ni maamuzi ya rais kufanyika au kutofanyika kwa sherehe hizo. Kama una hamu sana kuona zikifanyika basi jaza MB kwenye laptop au simu yako halafu ingia youtube utakutana nazo kwa wingi tu.
Dah!🤔una umri gani!?tuanzie hapo kwanza.
 
Mwakani yakitakiwa Kufanyika Mkoani Kilimanjaro au Arusha yatakubalika na atakubali kuwa Mgeni Rasmi? Na kwanini kwa mwaka huu yasifutwe tena ili Pesa zielekezwe katika Miradi ya Kimaendeleo? au Shida zinazohitaji Pesa ili Kuzitatua kwa Watanzania zimeisha na kwamba Tanzania sasa ni Paradiso Mkuu?
Zikifutwa kila mwaka kwa miaka mingi mfululizo zitakosa maana na kusahaulika.. kumbuka katk miaka minne iliyopita zimefanyika mara mbili tu!!
 
Natokea Kanda ya Ziwa ( anakotoka Yeye Mr. Kujimwambafai Daima ) na sina Desturi ya Unafiki ambao nakuona unao na unaudumisha hapa. Ukweli ni kwamba Mheshimiwa anaendekeza Ukabila na Kupendelea mno Mkoa au Maeneo atokayo kitu ambacho ni Hatari na Kibaya kwa Ustawi wa Umoja wetu kama Watanzania. Kwakuwa una IQ za ' Punje za Mchele ' hutoweza Kunielewa katika hili ila ukituliza vyema Akili zako utanielewa.

Tena kama Mimi ndiyo ningekuwa Yeye Mheshimiwa katika ' Kuwazuga ' Watanzania kuwa sina ' Ukabila ' ningekataa Kushiriki Sherehe za mwaka huu ambazo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza ambako ana DNA nako ' Kiukabila ' na badala yake ningekuwa wa Kwanza Kukubali Kushiriki kama zingefanyika Kisiwani Pemba au Mkoani Singida au Lindi.

Katika hili hata mumtee vipi au mjitetee vipi hii Hisia ya ' Ukabila ' na ' Ukanda ' wake haiwezi Kufutika ndani Vichwa vya Watanzania wenye IQ's Kubwa ambao kila Kukicha ndiyo wanazidi tu Kuongezeka hapa nchini Tanzania. Namalizia kwa Kusisitiza bila haya, uwoga wala aibu kuwa Mheshimiwa apunguze Ukabila na Ukanda ataiharibu hii nchi.

Nimemaliza.
Magufuli anaendekeza ukabila hilo tunakubali.. lkn sio katika jambo hili la sherehe za Uhuru.. kwanza kabisa kila mji nchi hii una haki ya kuhost sherehe hizo... kwa hiyo mwanza ikihost hakuna tatizo.. rejea mara ya mwisho sherehe hizo kufanyika mwanza ni lin? Sherehe kubwa kufanyika mwanza ilikua mei mosi ya kikwete toka hapo mwanza haijapokea sherehe yyte kubwa ya kitaifa!! KUHUSU KUBANA PESA ZA MATUMIZ..kumbuka pesa za mwaka jana zaid ya miliion900 zilitumika kujenga hospital ya watu wa dodoma(Uhuru). Lkn pia hiz sherehe hazitakiwi kuahirishwa mara kwa mara na kwa mfululizo..zitapoteza maana yake kama zikiahirishwa kwa mfululizo
 
Natokea Kanda ya Ziwa ( anakotoka Yeye Mr. Kujimwambafai Daima ) na sina Desturi ya Unafiki ambao nakuona unao na unaudumisha hapa. Ukweli ni kwamba Mheshimiwa anaendekeza Ukabila na Kupendelea mno Mkoa au Maeneo atokayo kitu ambacho ni Hatari na Kibaya kwa Ustawi wa Umoja wetu kama Watanzania. Kwakuwa una IQ za ' Punje za Mchele ' hutoweza Kunielewa katika hili ila ukituliza vyema Akili zako utanielewa.

Tena kama Mimi ndiyo ningekuwa Yeye Mheshimiwa katika ' Kuwazuga ' Watanzania kuwa sina ' Ukabila ' ningekataa Kushiriki Sherehe za mwaka huu ambazo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza ambako ana DNA nako ' Kiukabila ' na badala yake ningekuwa wa Kwanza Kukubali Kushiriki kama zingefanyika Kisiwani Pemba au Mkoani Singida au Lindi.

Katika hili hata mumtee vipi au mjitetee vipi hii Hisia ya ' Ukabila ' na ' Ukanda ' wake haiwezi Kufutika ndani Vichwa vya Watanzania wenye IQ's Kubwa ambao kila Kukicha ndiyo wanazidi tu Kuongezeka hapa nchini Tanzania. Namalizia kwa Kusisitiza bila haya, uwoga wala aibu kuwa Mheshimiwa apunguze Ukabila na Ukanda ataiharibu hii nchi.

Nimemaliza.
Nchi haiwezi haribika kwa sherehe za Uhuru kufanyika mkoani Mwanza,ebu muwe na akili basi.
 
Kwanini na mwaka huu pia Pesa za Sherehe za Uhuru nazo zisipelekwe/zisielekezwe katika Miradi mikubwa ya Maendeleo ya Wananchi badala yake kwa mwaka huu Sherehe zipo, Mhudhuriaji Mkuu nae atahudhuria ambapo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza?

Nasubiri majibu yenu Wakuu.
Hivi ni lazima kuhoji kila jambo
 
Kwanini na mwaka huu pia Pesa za Sherehe za Uhuru nazo zisipelekwe/zisielekezwe katika Miradi mikubwa ya Maendeleo ya Wananchi badala yake kwa mwaka huu Sherehe zipo, Mhudhuriaji Mkuu nae atahudhuria ambapo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza?

Nasubiri majibu yenu Wakuu.

Ubinafsi ni kitu kibaya sana
rich-powerful-businessman-lies-conquers.jpg
 
Kwanini na mwaka huu pia Pesa za Sherehe za Uhuru nazo zisipelekwe/zisielekezwe katika Miradi mikubwa ya Maendeleo ya Wananchi badala yake kwa mwaka huu Sherehe zipo, Mhudhuriaji Mkuu nae atahudhuria ambapo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza?

Nasubiri majibu yenu Wakuu.
Mkuu ule ulikuwa mkwara tu...maadhimisho yote aliyopiga maruguku siku hizi yamerudi!
 
heshima yako mkuu wewe na watu wa mara kwa utulivu nilioupata mpaka nikaandika comment yangu ...

GENTAMYCINE


Una uhakika wa 100% kwa wakati wa Awamu ya Kwanza ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere Jeshi lilijaa Watu kutoka Mkoani Mara? Labda kwa Kukusaidia tu na tena yakupasa Ushukuru ni kwamba Tanzania nzima hakuna Wanamume wa kweli kama watokao Mkoani Mara ( Musoma ) na unavyoona nchi hii imetulia hasa Kiusalama na Kijeshi jua ni kwasababu ya Wanamume wa Mkoani Mara hivyo unatakiwa uwashukuru sana tu.

Kwahiyo ulitaka Jeshi lisiwe na Watu wengi kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) na liwe na Watu wengi kutoka Mkoani Kagera, Singida, Kigoma, Kondoa Dodoma na Ukerewe Mwanza Mkuu? Tena ukiendelea Kuwasema vibaya Watu ( Wanamume ) kutoka Mkoani Mara tutaacha Kuwalindeni Watanzania kisha mpigwe vizuri na Rwanda, Malawi na Kenya ndipo mtuheshimu na mjue Umuhimu wetu.

Jamani hiyo Mikoa niliyoitaja hapo na maeneo yake ni ya Watani zangu Wakubwa na huwa napenda Kuwatania / Kuwacharura mno.
 
Natokea Kanda ya Ziwa ( anakotoka Yeye Mr. Kujimwambafai Daima ) na sina Desturi ya Unafiki ambao nakuona unao na unaudumisha hapa. Ukweli ni kwamba Mheshimiwa anaendekeza Ukabila na Kupendelea mno Mkoa au Maeneo atokayo kitu ambacho ni Hatari na Kibaya kwa Ustawi wa Umoja wetu kama Watanzania. Kwakuwa una IQ za ' Punje za Mchele ' hutoweza Kunielewa katika hili ila ukituliza vyema Akili zako utanielewa.

Tena kama Mimi ndiyo ningekuwa Yeye Mheshimiwa katika ' Kuwazuga ' Watanzania kuwa sina ' Ukabila ' ningekataa Kushiriki Sherehe za mwaka huu ambazo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza ambako ana DNA nako ' Kiukabila ' na badala yake ningekuwa wa Kwanza Kukubali Kushiriki kama zingefanyika Kisiwani Pemba au Mkoani Singida au Lindi.

Katika hili hata mumtee vipi au mjitetee vipi hii Hisia ya ' Ukabila ' na ' Ukanda ' wake haiwezi Kufutika ndani Vichwa vya Watanzania wenye IQ's Kubwa ambao kila Kukicha ndiyo wanazidi tu Kuongezeka hapa nchini Tanzania. Namalizia kwa Kusisitiza bila haya, uwoga wala aibu kuwa Mheshimiwa apunguze Ukabila na Ukanda ataiharibu hii nchi.

Nimemaliza.
Acha nongwa mkuu ukanda upi !hoja dhaifu kabisa hii !au tatizo ni mwanza kwasababu mkuu anatoka kanda ya ziwa! Mambo mengine nikutaka kuyafanya yawe na uzito angali kwa kuangalia kwa umakini hayana ukweli wowote
 
Natokea Kanda ya Ziwa ( anakotoka Yeye Mr. Kujimwambafai Daima ) na sina Desturi ya Unafiki ambao nakuona unao na unaudumisha hapa. Ukweli ni kwamba Mheshimiwa anaendekeza Ukabila na Kupendelea mno Mkoa au Maeneo atokayo kitu ambacho ni Hatari na Kibaya kwa Ustawi wa Umoja wetu kama Watanzania. Kwakuwa una IQ za ' Punje za Mchele ' hutoweza Kunielewa katika hili ila ukituliza vyema Akili zako utanielewa.

Tena kama Mimi ndiyo ningekuwa Yeye Mheshimiwa katika ' Kuwazuga ' Watanzania kuwa sina ' Ukabila ' ningekataa Kushiriki Sherehe za mwaka huu ambazo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza ambako ana DNA nako ' Kiukabila ' na badala yake ningekuwa wa Kwanza Kukubali Kushiriki kama zingefanyika Kisiwani Pemba au Mkoani Singida au Lindi.

Katika hili hata mumtee vipi au mjitetee vipi hii Hisia ya ' Ukabila ' na ' Ukanda ' wake haiwezi Kufutika ndani Vichwa vya Watanzania wenye IQ's Kubwa ambao kila Kukicha ndiyo wanazidi tu Kuongezeka hapa nchini Tanzania. Namalizia kwa Kusisitiza bila haya, uwoga wala aibu kuwa Mheshimiwa apunguze Ukabila na Ukanda ataiharibu hii nchi.

Nimemaliza.
Je unajuw Nyerere alisha wataadharisha juu ya mabila fulani?
 
Ila jamani tuache upambe wale tuna mpenda MH Rais. Ukabila upo Yani kiukweli Wala tusijitoe mshipa wa aibu.
Sitaki kuorodhesha ila upo na pia wakaska wanakoma japo ameshindwa amisha mlima kupeleka chato.
 
Hakuna binadamu anayeweza kufanya mambo Kwa usawa , kuna kitu huwa kinamcontrol mtu na ni ngumu kupingana nacho , nacho ni ubinafsi , anaanza kujiangalia yeye kama yeye, inafata familia yake , unafata ukoo, kisha kabila na kisha taifa , na hatimaye bara , na vipo Kwa mfuatano huwez kuruka kimoja et upendelee kinachofata, mfano uache kunufaisha familia ili unufaishe taifa ni ngumu Sana, Nyerere pamoja na utaifa wake lakn jeshi lilijaa watu wa Mara .


I thought hii ya watu wa MARA ni tokea Mkoloni ?
 
Kwanini na mwaka huu pia Pesa za Sherehe za Uhuru nazo zisipelekwe/zisielekezwe katika Miradi mikubwa ya Maendeleo ya Wananchi badala yake kwa mwaka huu Sherehe zipo, Mhudhuriaji Mkuu nae atahudhuria ambapo Kitaifa zitafanyika Mkoani Mwanza?

Nasubiri majibu yenu Wakuu.

Uhuru wa nchi gani vile?
 
Back
Top Bottom