Je, tunaenda sasa kushuhudia kufutika kwa Utawala wa Kiayatollah kule Iran?

Je, tunaenda sasa kushuhudia kufutika kwa Utawala wa Kiayatollah kule Iran?

Hata kuandika haujui at roman wakati nimeweka numerical numbers. Mnachojua ni kuimba kurani tu
Wewe huna kitu kichwani, laiti mngelikua na akili basi msinge tapeliwa kanisani, kiboko ya wachawi kamisi laki tano yako, mpelekee, then eti mnajifanya mnajua, namlivyokua mnampenda hapo kwanza nicheke
 
Hata kuandika haujui at roman wakati nimeweka numerical numbers. Mnachojua ni kuimba kurani tu
Gaidi ni wewe usiye elewa kitabu chako, na hukujui kweli kweli, kimejaa makosa kila upande, kinajipinga Chenyewe , Mungu haja toa kitabu cha bibilia na ndio maana hata wa islael hawa kitambui na hawa kisomi
 
Kinyume chake sasa tutashuhudia taifa feki la Israel linafutwa kwenye ramani.

Huwezi kuonea watu miaka kwa miaka halafu uachwe tu. Ngoja wanyooshwe kidogo na Iran pambafu kabisa
 
Kwa kweli binafsi sifurahii. Nachojiuliza kwa nini Hamas waliwachokoza Wayahudi ile Oct 7, 2024?

Kama wasingefanya ule uchokozi kusingekuwa na haya mauaji yanayoendelea
Waliwachokozaje? Ilihali walienda komboa kijiji kilichopo palestina kilichokaliwa kimabavu na walowezi wa Israel?

Embu nenda kasome maana ya walowezi.... nadhani watu wengi hamuelewi madai ya Hamas na UN.
 
Back
Top Bottom