Je, tunashuhudia kuanza kwa civil wars huko ulaya kwa vurugu hizi zinazoendele UK?

Je, tunashuhudia kuanza kwa civil wars huko ulaya kwa vurugu hizi zinazoendele UK?

Sema hawa wavaa kubanzi ni washenzi na wafedhuli sana
We fikiria jinsi ilivyo kuwa ngumu kuishi kwenye nchi zao ukiwa ni mtu wa dini nyingine lakini wao wakija kwako wanataka wajitawale mpaka wakutawale na wewe.
Hii dini imekaa ni kama baada ya mungu kuanzisha Christian shetani akachomekea chama chake Muslim kushindana na muweza...
 
Kwanza anza kushauri wamarekani na shoga zao wajenge nchi za watu walizoziharibu huko arabuni
Wakati waarabu wanaingiliwa makwao wazungu walikua wanaona raha kuwaua na kuwabomolea makaazi yao leo wanapiga kelele zanini?
Nashauri waarabu wote wahame makwao wakahamie ulaya hii itaondosha chuki
nchi gan waliharibu ? muwe mnatumia akili asee , mpigane wenyewe kisha mumlaumu anaeuza silaha
 
Kwa yale waliyofanya wazungu kupitia vita, ukoloni haya ndio matunda yake wenda hawakufikiri haya yatatokea au walipuuzia hasara na kuzidogosha kuziona ndogo hazina madhara lakini haya ndio matunda ya kazi ya mikono yao.

Wazungu hawakuvamia tu mataifa na jamii za watu kuanzia maelfu ya miaka bali waliua kila kitu chao kuanzia tamaduni na kila kitu.

Leo wao wanalalamika tamaduni zao kuuawa inashangaza!

Matendo wafanyiwayo wao sasa ni asilimia ndogo sana ya matendo waliyofanya wao.

Wanalalamika waarabu wanao amia kwao ulaya bila sindano wala sururu hata kiwembe hawana wakati wao walivamia na bunduki, mabomu ya kila aina
achen kelele hata China ilitawaliwa ila tamaduni zao bado zipo , bado mzigo wa lawama unabakia kwenu , mliuzana watumwa kisa mpate nguo na vioo , msharikiana na wageni ( waarab , wahindi , wazungu na waasia wa mbali ) dhidi ya jamii zenu za afrika kisa mlitaka muonekane bora ziad ya waafrika wenzenu mkaishia kusaini miakataba iliyoiuza Afrika , mliweka mbele ukabila , uroho wa madaraka , ubinafsi , mkapiga vita uwelevu na kutaka ujinga utawale kwenye jamii zenu ili muendelee kuibia Afrika kwa kushirikiana na wageni


KIUFUPI KILA TULILOPITIA EITHER SISI AU ASIA UNUE MAKOSA NI YETU WENYEWE NA SIO WAZUNGU
 
Uingereza wageni wanamiliki nyumba nyingi kuliko wenyeji,London central nyumba nyingi za waislam,acha wachukie,wao walikuja huku wakapora Mali,kututumikisha,kutuvalisha sketi na blauzi,kutulisha mkate na siagi,kutuhubiria Mungu aliyeshuka asulubiwe ili kutuokoa,zamu yao,watulie
soma uliyoyaandika hayaleti picha , mliwakaribisha na mkashirikiana dhidi ya waafrika wenzenu ( collaborators ) leo tunamuona Sa100 anarudisha njia zile zile na hastuki yeye anajali kubakia madarakani tu ila athari zake zitakuja miaka 20 mpk 50 mbele

halaf baadae mtataka tuwalaumu waarabu kwa uzembe wa viongoz wetu
 
kesi za ulawiti na ushoga ni vitu viwili tofauti , nmeishi Zenj nmeona ushoga ni jambo la kawaida sana , ukiweka laki unamfir@ m
yeyote Zenj
Kesi ni kiashiria kizuri kwamba kitendo hicho kinafanyika sehemu husika otherwise tutakuwa tunaongelea porojo tu ,numbers dont lie
 
nchi gan waliharibu ? muwe mnatumia akili asee , mpigane wenyewe kisha mumlaumu anaeuza silaha
Wala halaumiwi anaeuza silaha silaha kuuza kawaida
Wamevamia afghanistan wamevamia iraq wamevamia libya wakavamia syria
Wakae wawe wapole waarabu na wengine wanao sanaa
 
Sema hawa wavaa kubanzi ni washenzi na wafedhuli sana
We fikiria jinsi ilivyo kuwa ngumu kuishi kwenye nchi zao ukiwa ni mtu wa dini nyingine lakini wao wakija kwako wanataka wajitawale mpaka wakutawale na wewe.
Hii dini imekaa ni kama baada ya mungu kuanzisha Christian shetani akachomekea chama chake Muslim kushindana na muweza...
Imagine
Kwao sharia imewashinda ,wanataka kulazimisha kwingine,siwaelewi kabisa
Washenzi kweli Wala sio uongo
 
Yeah! Thats why kuna makanisa nowdays yanafungisha ndoa za jinsia moja why not? Jesus loves everyone although he "allegedely" destroyed sodom and gomorah.

Christianity has no standards , no limitations /boundaries it flows like water takes shape of whatever it accumulates into
. lost its identity long ago now everyone lives deppends on their whims and desires .
Mkuu; Hutokaa kamwe uweze kuupima upendo wa Mungu kwa vipimo (yard stick au Scales) za kibinadamu. Never - Ever. Mbona unahesabu ndoa za jinsia moja kana kwamba ndo kosa/dhambi kuuubwa sana na unasahau yapo maovu mtambuka e.g. wanaoteka watoto, "wanaopoteza" watu, wanaodhulumu mali za wenzao, wanaoanzisha vita n.k.n.k.
Ukristo ni zaidi ya unavyoufikiria/uchukulia eti uwe na mipaka(Limitations) na kwamba unanyumbulika kama maji huchukua umbile la chombo yalimowekwa.
Hapana. Ukristo unajieleza na kujipambanua wenyewe zaidi kwa matendo ya mtu mhusika. Ukristo unadai Upendo. Anyway, sifanyi kazi ya kuhubiri hapa.
 
China haitaki kabisa kuskia huu ujinga wa waislam
Yeah! China wamefaulu sana "kuwa-contain" hao jamaa hata majengo ya misikiti imebomolewa na misikiti inayojengwa ni lazima ijengwe kwa kuzingatia Tamaduni za Kichina -hakuna vinara na loudspeakers wala adhana. Kama hutaki hivyo; nenda katafute mahali pengine sio China.
 
Mkuu; Hutokaa kamwe uweze kuupima upendo wa Mungu kwa vipimo (yard stick au Scales) za kibinadamu. Never - Ever. Mbona unahesabu ndoa za jinsia moja kana kwamba ndo kosa/dhambi kuuubwa sana na unasahau yapo maovu mtambuka e.g. wanaoteka watoto, "wanaopoteza" watu, wanaodhulumu mali za wenzao, wanaoanzisha vita n.k.n.k.
Ukristo ni zaidi ya unavyoufikiria/uchukulia eti uwe na mipaka(Limitations) na kwamba unanyumbulika kama maji huchukua umbile la chombo yalimowekwa.
Hapana. Ukristo unajieleza na kujipambanua wenyewe zaidi kwa matendo ya mtu mhusika. Ukristo unadai Upendo. Anyway, sifanyi kazi ya kuhubiri hapa.
"IF you don't stand for something, then you will fall for anything "-malcom x

Dini lazima iwe na principles thats why kunakuwa na utofauti baina ya dini na dini. Kama dini inakosa moral autonomy hiyo haina tofauti na uatheism(wakanaMungu) maana wao wanafuata kile wanachokiona na kinachowapa furaha .
 
"IF you don't stand for something, then you will fall for anything "-malcom x

Dini lazima iwe na principles thats why kunakuwa na utofauti baina ya dini na dini. Kama dini inakosa moral autonomy hiyo haina tofauti na uatheism(wakanaMungu) maana wao wanafuata kile wanachokiona na kinachowapa furaha .
Mkuu; Narudia tena kusema na nakuomba usikie " Hakutokaa kuwe na kipimo miongoni mwa vipimo vya kibinadamu vinavyopatikana hapa ulimwenguni, kitakachoweza kuipima Hekima ya Mungu na Upendo wake hata siku moja"
Je, Mungu ana dini gani???
 
Katika siku mbili hizi tumeshuhudia waingereza waliochoshwa na vitendo vya wahamiaji hasa hasa wale wa kiislam, kujichukulia sheria mkononi na kushambulia maeneo ya waislam.

mfano walianzisha moto msikitini na kule Belfast Northern Ireland tumeshudia waprotestant na wakatoliki kuweka tofauti zao kando kwa lengo la kupinga wahamiaji waliokithiri.

Je ndiyo mwanzo wa zile vurugu za Dini, ambazo biblia ktk ufunuo ilitabiri zitapelekea Serikali za Dinia kuungana pamoja kupiga Marufuku Dini? Nini nafasi ya Serikali ya Kidini ya Iran inayoongozwa na Supreme leader Ayatollah Ali Khamenei? Je itabidi ili unabii huu utimie Serikali hiyo iondolewe madarakani kupisha Serikali itakayo endana na Matakwa ya Dunia ya kupiga Dini marufuku?

View: https://x.com/RadioGenoa/status/1819833687745396839

Uislam huku hautakiwi nami naunga mkono kabisa
 
Uislam huku hautakiwi nami naunga mkono kabisa
Wapo Waislam wastaarabu, wametulia na wanafanya shughuli zao na hawana rabsha kwa watu majirani wanaoishi pamoja nao. LAKINI, LAKINI hawa kobaaz type kha! Always these are trouble makers, Disturbance instigators and what have u.
 
Mkuu; Narudia tena kusema na nakuomba usikie " Hakutokaa kuwe na kipimo miongoni mwa vipimo vya kibinadamu vinavyopatikana hapa ulimwenguni, kitakachoweza kuipima Hekima ya Mungu na Upendo wake hata siku moja"
Je, Mungu ana dini gani???
Rhetorically Dini ni nini?
 
Uislam huku hautakiwi nami naunga mkono kabisa
... na wewe hautakiwi huko, ... ni suala la muda tu!
Mfumko wa ummati(population) Duniani, na mdororo wa Uchumi au kufeli kwa Uchumi wa kibepali kwa ujumla wake, TUTASHUHUDIA MAUMIVU MAKALI DUNIA NZIMA! ... labda kwa kulijua hilo binaadam wataweza kulitafutia ufumbuzi, VINGINEVYO ...!
 
Back
Top Bottom