Je, tunashuhudia kuanza kwa civil wars huko ulaya kwa vurugu hizi zinazoendele UK?

Kesi ni kiashiria kizuri kwamba kitendo hicho kinafanyika sehemu husika otherwise tutakuwa tunaongelea porojo tu ,numbers dont lie
sehemu zeny ushoga hakuna kesi za kulawitiana maana watu wa jinsia hiyo wapo , huko Arusha ni ulevi , madawa na ugumu wa maisha kumudu kupata mwanamke , ila Zenji ukiwa hata na elf 50 ukasema unahitaj kitundu ni chap tu
 
Megatron, [8/3/24, 7:08 PM]
[🎥 BREAKING:

🇬🇧 Mass and violent protests erupted across Britain after Axel Rudakubana, originally from Rwanda, but born in Britain, stabbed and injured several children in Southport.

The situation was used by Israeli-supported accounts and media on social networks and turned the protests into anti-Islamic and pro-Islamic despite the fact that Rwanda is a Christian country and the attacker did not practice Islam.

Several mutual conflicts also broke out between the two groups that resulted in serious injuries.

Zionism is a dangerous thing and can very easily plunge your country into a civil war.

@Megtron_ron]
BREAKING:

🇬🇧 Mass and violent protests erupted across Britain after Axel Rudakubana, originally from Rwanda, but born in Britain, stabbed and injured several children in Southport.

The situation was used by Israeli-supported accounts and media on social networks and turned the protests into anti-Islamic and pro-Islamic despite the fact that Rwanda is a Christian country and the attacker did not practice Islam.

Several mutual conflicts also broke out between the two groups that resulted in serious injuries.

Zionism is a dangerous thing and can very easily plunge your country into a civil war.

@Megtron_ron
 

Attachments

  • 20240805_045801.jpg
    67 KB · Views: 1
Nilishalisoma kitambo labda kama kuna jipya TLDR: aliuwawa kwa sababu alichora caricature ya prophet muhammad (peace be upon him) anything new?
Ulifuatilia sakata hilo mwanzo mwisho,?au ulikuwa hujazaliwa?
 
sehemu zeny ushoga hakuna kesi za kulawitiana maana watu wa jinsia hiyo wapo , huko Arusha ni ulevi , madawa na ugumu wa maisha kumudu kupata mwanamke , ila Zenji ukiwa hata na elf 50 ukasema unahitaj kitundu ni chap tu
case zikiwa nyingi eneo fulani maana yake tukio husika linapendwa kufanyika eneo hilo
 
Hawa ni mafisi wa kutupwa, walielekezwa maeneo ya chocho wanakimbiana, hata siku moja hawaendi mitaa ya wageni wanajua hawatatoka wazima
Sasa wanapigana wao kwa wao wale mrengo wa kulia na wasiounga mkono ubaguzi wa rangi
Sisi tunaangalia tu
 
Hawa wazungu njaa sio wa kuwakalia kimya
Sasa wote wamekimbia miji baada ya wazee wa kazi kutia timu


View: https://www.youtube.com/watch?v=UNKH0Po1AUQ
View: https://www.youtube.com/watch?v=JkfASM9fs50
Halafu wote wanabeba vyuma hakuna legelege
Niko nao kila leo wanapenda mazoezi sana
Nchi hizi lazima uwe mkakamavu na usioogopa kuonewa maana hawa jamaa wanaweza kukuchokoza hata wakikuomba sigara ukasema sivuti anakutukana wakiwa wengi
Wapo wazungu washari ila ni wachache sana

Ni hawa wabaguzi
Bora kwetu matusi ya mitandaoni tu 😄 🤣
 
Waislamu ulaya hawatakiwai,hasa wale magaidi kama wewe,ukristo unafundisha upendo ndio mana walilwakaribisha hao waisharamu,no vile dini ya shetani ala imejaa chuki ndio mana sasa uvumilivu umewashinda wazungu hawawataki tena ulaya wajaalaana waisharamu.
 
Siwachukii waarabu au uislam ila Kuna baadhi ya vitu na wao wanatakiwa wawe wanaangalia msipende Kiki alafu wenye nchi Yao wakikasirika mnaanza kudai ni ubaguzi
Hapana miezi Kazaa nyuma hapo Montreal canada walienda kusali barabarani sehemu ambayo magari na watu wengi wanapita wanaenda kusali walivyoanza wenye nchi kuongea mengi wakaanza kudai kuwa wanabaguliwa
Toronto wameshageuza kuwa Yao kukosoa watu na Mila zao kuswali sehemu zozote bila kujali wengine
 
To late! Nchi za Ulaya zilimwacha Mungu zikaamua kukumbatia ushenzi sasa ndiyo zinaanza kuhaha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…