Je, tunashuhudia kuanza kwa civil wars huko ulaya kwa vurugu hizi zinazoendele UK?

Je, tunashuhudia kuanza kwa civil wars huko ulaya kwa vurugu hizi zinazoendele UK?

Wazungu masikini ndio wengi, usiseme "ni wazungu masikini tu". Hao ndio wengi, ndio wenye kura nyingi. Unawaitaje "tu" wakati hao ndio wenye nchi?
Uingereza na nchi nyingi za developed nations ni 30-30-40 society.

The main two 30’s are upper and middle classes (comfortable). The 40 of lower income is also split some of those are better of being in employment only a small percentage leave on the verge and on benefits,

Ndio maana hayo maandamano asilimia kubwa ya waandamanaji ni uneducated they don’t know what it takes to run the economy.
 
Uingereza na nchi nyingi za developed nations ni 30-30-40 society.

The main two 30’s are upper and middle classes (comfortable). The 40 of lower income is also split some of those are better of being in employment only a small percentage leave on the verge and on benefits,

Ndio maana hayo maandamano asilimia kubwa ya waandamanaji ni uneducated they don’t know what it takes to run the economy.
That is irrelevant. Ni nchi yao.

Hao ndio walio vote Brexit ingawa ulikuwa uamuzi mbaya kwa uchumi wa Uingereza.
 
That is irrelevant. Ni nchi yao.

Hao ndio walio vote Brexit ingawa ulikuwa uamuzi mbaya kwa uchumi wa Uingereza.

View: https://m.youtube.com/watch?v=wO2lWmgEK1Y&pp=ygUVdGhlIGVjb25vbWlzdCBicmV4aXQg

Ungekuwa unajua kiasi gani biashara zinalalamika na kujutia Brexit usingesema hiyo.

People are sentimental and gullible to politicians misleading national interests. Wafanyabiashara wengi leo ambao trade zao zilikuwa continental wanajuta.

Kuhusu fursa za nchi hiyo nchi wenyeji maskini ni culture kufuata career za wazazi wao. Mimi leo chuo changu as an alumni kila siku kinanitumia e-Mail nikasome masters ambayo ada yake nj kama £12000. But wao watanipa 20% discount, bodi ya elimu itanilipia £7.000, nitapewa hela ya kujikimu elfu £7000 na naweza fanya course online (maana yake naweza fanya kazi full time) ni mitihani tu lazima niende kufanya university.

Lengo ni kukuza professional sehemu nilipo. Hizo fursa ilikuwa kwa wazungu wenyewe hawachsngamkii na eneo linahitaji professional preferred mzungu if not anyone ndio msingi wa kutoa hizo incentives.

Wenyewe wanawaza wakimaliza O’level kujifunza brick laying which pays welll but who is to do the proffesional jobs. Siada za uingereza wazimu, hao wananchi wanaolalamika wengi ni matahira wasio elewa fursa wanazopewa na kutozitumia. Halafu wakitoka hapo wanalalamika.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=wO2lWmgEK1Y&pp=ygUVdGhlIGVjb25vbWlzdCBicmV4aXQg

Ungekuwa unajua kiasi gani biashara zinalalamika na kujutia Brexit usingesema hiyo.

People are sentimental and gullible to politicians misleading national interests. Wafanyabiashara wengi leo ambao trade zao zilikuwa continental wanajuta.

Kuhusu fursa za nchi hiyo nchi wenyeji maskini ni culture kufuata career za wazazi wao. Mimi leo chuo changu as an alumni kila siku kinanitumia e-Mail nikasome masters ambayo ada yake nj kama £12000. But wao watanipa 20% discount, bodi ya elimu itanilipia £7.000, nitapewa hela ya kujikimu elfu £7000 na naweza fanya course online (maana yake naweza fanya kazi full time) ni mitihani tu lazima niende kufanya university.

Lengo ni kukuza professional sehemu nilipo. Hizo fursa ilikuwa kwa wazungu wenyewe hawachsngamkii na eneo linahitaji professional preferred mzungu if not anyone ndio msingi wa kutoa hizo incentives.

Wenyewe wanawaza wakimaliza O’level kujifunza brick laying which pays welll but who is to do the proffesional jobs. Siada za uingereza wazimu, hao wananchi wanaolalamika wengi ni matahira wasio elewa fursa wanazopewa na kutozitumia. Halafu wakitoka hapo wanalalamika.

Hujaelewa somo bado?

Hao ndio wenye nchi yao, hata wakikosea, hilo halibadilishi ukweli kwamba ni nchi yao.

Sisemi kwamba wamepatia. Nasema ni nchi yao.

Hayo ni mambo mawili tofauti.
 
Hujaelewa somo bado?

Hao ndio wenye nchi yao, hata wakikosea, hilo halibadilishi ukweli kwamba ni nchi yao.

Sisemi kwamba wamepatia. Nasema ni nchi yao.

Hayo ni mambo mawili tofauti.
Jukumu la serikali (waendesha nchi) ni kufanya maamuzi ambayo ni best kuliendeleza taifa ili ku-maintain economic advantages na mikakati yao ya security ya nchi ya muda mrefu.

Maamuzi hayo hayataki emotions bali kukubali ukweli na kuufuata. Sio kusikiliza kelele za wananchi ambao hawawezi kusaidia kufikia missions za national security (hivyo ndio mzungu) anavyofikiria.

👋
 
Jukumu la serikali (waendesha nchi) ni kufanya maamuzi ambayo ni best kuliendeleza taifa ili ku-maintain economic advantages na mikakati yao ya security ya nchi ya muda mrefu.

Maamuzi hayo hayataki emotions bali kukubali ukweli na kuufuata. Sio kusikiliza kelele za wananchi ambao hawawezi kusaidia kufikia missions za national security (hivyo ndio mzungu) anavyofikiria.

👋
Unaelezea dunia inavyotakiwa kuwa wakati mimi nakuambia dunia ilivyo.

Hiyo dunia unayoisema ingekuwa ya kweli, Brexit isingewezekana.

Unaelewa hilo?
 
Baada ya wenye nchi kutoka nje kuwawinda wale awazungu njaa ambao wote wamerudi kwenye mashimo yap ya panya, hizi picha za miji ya UK kwa sasa

1723061016402.png

1723061043771.png

1723061177117.png

1723061293731.png

1723061731462.png

1723061862179.png
 
Hasira za nini zezeta wewe, hivi ulishawahi kuona hali halisi wanayopata waafrika waishio Uarabuni au unakariri tu maisha kwa matukio ya hapa na pale? Hivi kuna jamii wabaguzi kwa watu weusi zaidi ya waarab na Wahindi hapa duniani?
Imeisha hiyo wazungu wenye akili wameshatoka kutetea nchi yao dhidi ya wahuni wachache biashara imeisha mzayuni chaliii
 
Hasira za nini zezeta wewe, hivi ulishawahi kuona hali halisi wanayopata waafrika waishio Uarabuni au unakariri tu maisha kwa matukio ya hapa na pale? Hivi kuna jamii wabaguzi kwa watu weusi zaidi ya waarab na Wahindi hapa duniani?
Kwani haya yayanatokea uhindini au uarabuni, umeshawahi kwenda Germany, France, au hata Ukrane walivyo onyesha jinsi mtu mweusi hana thamani kuzidi wao wakati wanakula kichapo cha mrusi
Unaonekana umewekwa ndani na kibabu cha kizungu, huambiwi wala husikii
Leo hii hao wagalatia wenzako weupe walikuwa wapi kumtetea huyo mweusi kichapo
 
Sijakuelewa, yaani nikae tu nikusubiri.....nisijishughulishe na lolote lile maishani niende kushinda misikitini na kupiga majungu mwisho wa siku nije kuwarushia watu wajini? Sifanyi ujinga huo hata iweje.
Yako wapi hayo maandamano leo.

Chura kwenye kisima, watanzania wanadhani U.K. inaendesshwa kipuuzi kama ilivyo Tanzania.

Imepigwa coordinate attack ya siku tatu sijui nne; hakuna mtu anaetaka kuandamana.

Sasa hayo matahira ya Tanzania ukiyaambia usalama wa taifa na jeshi la polisi ukiyaambia ulinzi wa ndani kazi kubwa ipo kwenye propaganda hayaelewi.

Kwa tunaowlewa siasa za U.K. ndio maana hata atukustuka na hao wapuuzi. Ukiona mambo kama hayo yanatokea U.K. ni kwamba serikali imetaka yatokee kukumbusha tu ni nchi ya wazungu,

Iła upumbavu ukizidi wana plan tayari ya kuuzima huo upumbavu dakika moja tu za coordinated attacks.

Uingereza aingozwi na wajinga bali mijitu yenye akili balaa.

Usalama wa taifa ni mchezo wa watu wenye akili, hivyo ndivyo ilivyo kwa wazungu. Hakuna mapoyoyo huko.
 
Yako wapi hayo maandamano leo.

Chura kwenye kisima, watanzania wanadhani U.K. inaendesshwa kipuuzi kama ilivyo Tanzania.

Imepigwa coordinate attack ya siku tatu sijui nne; hakuna mtu anaetaka kuandamana.

Sasa hayo matahira ya Tanzania ukiyaambia usalama wa taifa na jeshi la polisi ukiyaambia ulinzi wa ndani kazi kubwa ipo kwenye propaganda hayaelewi.

Kwa tunaowlewa siasa za U.K. ndio maana hata atukustuka na hao wapuuzi. Ukiona mambo kama hayo yanatokea U.K. ni kwamba serikali imetaka yatokee kukumbusha tu ni nchi ya wazungu,

Iła upumbavu ukizidi wana plan tayari ya kuuzima huo upumbavu dakika moja tu za coordinated attacks.

Uingereza aingozwi na wajinga bali mijitu yenye akili balaa.

Usalama wa taifa ni mchezo wa watu wenye akili, hivyo ndivyo ilivyo kwa wazungu. Hakuna mapoyoyo huko.
Well said mkuu, agizia supu ya pweza hapo ulipo, nakuletea ndimu na pilipili fasta.
 
Back
Top Bottom