Toka kuanza kwa vita ya Gaza Dunia imeshuhudia mtikisiko mkubwa unaotishia ustaarabu wa jamii za asili za mataifa ya magharibi ambao kimsingi unatokana na ushawishi wa ukiristo.
Siku za karibuni kabisa matukio makubwa yamekuwa Maandamano ya wanafunzi wa Vyuo Vikuu kule Marekani na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Uingereza ambapo Waislam wakiongozwa na Meya wa London (Sadiq Khan) wameshinda viti vya Umeya vya Miji Saba: London, Birmingham, Leeds, Blackburn, Sheffield, Oxford, Luton, Wouldham na Rochdale.
Ktk mitikisiko yote hii kinachowaumiza vichwa wafuatiliaji wa masuala ya Kisiasa ni kuwa ushawishi wa uislam siyo tu umeathiri wahamiaji wa asili ya nchi za kiislam (toka mashariki ya kati, Asia na Afrika) bali pia wazungu wenye mrengo wa kisoshalisti na kiliberali.
Ktika vurugu hizo waandamanaji wanaimba death to Israel, America na kuchoma bendera za Israel America na UK. Kule America tumeshuhudia Vijana wakipigishwa Sala za Kiislam na wao wakishiriki na kuonama kushujudu.
Aidha, kotekote katika nchi hizo pamoja na nchi Washirika wao (Ujerumani, Canada, France Australia)tumesikia Waislam wakiwapigisha waandamanaji ile swala inayoashiria kufanyika kwa tukio baya ya ALLAHU AKBARU!! na pia mfano kufuatia Ushindi wa Mameya nchini Uingereza tumesikia Waislam wakijitapa kuwa sasa wanaona njia iko nyeupe ya kuanza kutekeleza SHARIA LAW.
Je matukio yote haya ni kwa bahati mbaya tu?? LAHASHA. Yote haya yanatokana na Mipango ya Siri ya MUSLIM BROTHERHOOD (MB)Taasisi hii ya SIRI inayojificha ndani ya Taasisi nyingi za Kiislam za kutoa Huduma kwa Jamii na Taasisi za Kielimu ilianzishwa 1928 na Mmisri anaitwa Hassan Al Banna. Baada ya kupata kibano cha Rais Abdel Nasser, taasisi hii walikimbilia mafichoni Saudia.
Mwanzoni mwa 1960s dunia ilishuhudia kuibuka kwa Wahhabi kule Saudi ambao wakawa na Agenda moja na MB ya islimization of the world community. Kwenye miaka 60 waislam wakaanza kuhamia marekani na nchi nyingine za ulaya magharibi kwa wingi. MB wakatumia nafasi hiyo kuhakikisha wana recruit wafuasi wa kufanya DAWA na pia kuanzisha Taasisi nyingi za Kiislam za kutoa Huduma kwa Jamii
TAASISI KAMA:
1. Muslim World League Taasisi mama kule Mecca
2. Muslim Students Association- US
3. Council on American Islamic Relations- CAIR
4. Muslim Legal Fund of Amarica
5. Islamic Society of North America ISNA
Dunia imeshuhudia ufanyaji wa DAWA nchini marekani na hasa pale Speakers Corner Uingereza. Siku za Karibuni wakiristo wakasituka na wao wakaanza ku counter mafundisho hayo ya waislam ( pale speakers corner, kule Balboa Park USA
Licha ya Jitihada zote hizi za Wakristo ku counter MB influence, matukio haya ya karibuni yanaweza kumfadhaisha sana Mkirito wa nchi hizo na hata kuingine Duniani; mkiristo anaweza sema duuu inaonekana Islimization cannot be stopped, just as themselves muslims brag.
NATAKA NIWAKUMBUSHE KITU KIMOJA
Ktk 2 Mambo ya Nyakati 20:15 “Akasema: “Sikilizeni kwa makini, enyi watu wote wa Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu na Mfalme Yehoshafati! Yehova anawaambia hivi: ‘Msiogope wala msihofu kwa sababu ya umati huu mkubwa, KWA MAANA VITA SI VYENU, BALI NI VYA MUNGU”
Haya tunayoyaona inazidi thibitisha kuwa yule Mungu wao, ALLAH anahasira za mwisho mwisho akijua wakati wake wa kuangamizwa upo karibu sana Revelation 12:9-12. Tukiwa tunakaribia zaidi ule mwaka wa 2000 ( yaani 2029) tangu Yesu abatizwe na kutambulika Rasmi kama Messiah tutashuhudia mambo mengi zaidi. Lakini Muwe na Imani yenye Nguvu.
Mnamkumbuka Mohamed Morsi? Yule Rais wa kwanza kabisa wa Chama Mshirika wa Muslim Brotherhood kule Misri? Dunia yote na Israel ilizizima alipoingia Madarakani. Yule angeendelea leo hii sijui Israel ingekuwa inazungumza Lugha GANI. Lakini MUNGU WA KWELI kama alivyosema ktk 2Ch. 20:15 vita siyo vyenu ni vyake. Alimnyanyua mmoja miongoni mwao kusitisha Mipango ya Hila ya Muslim Brotherhood.
Pia je mlipata kujua kuwa Marekani na Uingereza licha ya Umwamba wao wote hawaja iweka MB kama moja ya Terrorist Organization?!!
Badala yake MUSLIM BROTHERHOOD IT HAS BEEN DECLEARED AS A TERTORIST ORGANIZATION BY
1. Saudi Arabia
2. Egypt
3. UAE-Dubai
4. Russia
Mataifa yanayo sponsor MB kwa sasa ni:
1. Qatar
2. Iran
3. Turkey
Pamoja na bandiko hili nawawekea tweet za kuonyesha waislam wanavyotikisha western civilization
Siku za karibuni kabisa matukio makubwa yamekuwa Maandamano ya wanafunzi wa Vyuo Vikuu kule Marekani na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Uingereza ambapo Waislam wakiongozwa na Meya wa London (Sadiq Khan) wameshinda viti vya Umeya vya Miji Saba: London, Birmingham, Leeds, Blackburn, Sheffield, Oxford, Luton, Wouldham na Rochdale.
Ktk mitikisiko yote hii kinachowaumiza vichwa wafuatiliaji wa masuala ya Kisiasa ni kuwa ushawishi wa uislam siyo tu umeathiri wahamiaji wa asili ya nchi za kiislam (toka mashariki ya kati, Asia na Afrika) bali pia wazungu wenye mrengo wa kisoshalisti na kiliberali.
Ktika vurugu hizo waandamanaji wanaimba death to Israel, America na kuchoma bendera za Israel America na UK. Kule America tumeshuhudia Vijana wakipigishwa Sala za Kiislam na wao wakishiriki na kuonama kushujudu.
Aidha, kotekote katika nchi hizo pamoja na nchi Washirika wao (Ujerumani, Canada, France Australia)tumesikia Waislam wakiwapigisha waandamanaji ile swala inayoashiria kufanyika kwa tukio baya ya ALLAHU AKBARU!! na pia mfano kufuatia Ushindi wa Mameya nchini Uingereza tumesikia Waislam wakijitapa kuwa sasa wanaona njia iko nyeupe ya kuanza kutekeleza SHARIA LAW.
Je matukio yote haya ni kwa bahati mbaya tu?? LAHASHA. Yote haya yanatokana na Mipango ya Siri ya MUSLIM BROTHERHOOD (MB)Taasisi hii ya SIRI inayojificha ndani ya Taasisi nyingi za Kiislam za kutoa Huduma kwa Jamii na Taasisi za Kielimu ilianzishwa 1928 na Mmisri anaitwa Hassan Al Banna. Baada ya kupata kibano cha Rais Abdel Nasser, taasisi hii walikimbilia mafichoni Saudia.
Mwanzoni mwa 1960s dunia ilishuhudia kuibuka kwa Wahhabi kule Saudi ambao wakawa na Agenda moja na MB ya islimization of the world community. Kwenye miaka 60 waislam wakaanza kuhamia marekani na nchi nyingine za ulaya magharibi kwa wingi. MB wakatumia nafasi hiyo kuhakikisha wana recruit wafuasi wa kufanya DAWA na pia kuanzisha Taasisi nyingi za Kiislam za kutoa Huduma kwa Jamii
TAASISI KAMA:
1. Muslim World League Taasisi mama kule Mecca
2. Muslim Students Association- US
3. Council on American Islamic Relations- CAIR
4. Muslim Legal Fund of Amarica
5. Islamic Society of North America ISNA
Dunia imeshuhudia ufanyaji wa DAWA nchini marekani na hasa pale Speakers Corner Uingereza. Siku za Karibuni wakiristo wakasituka na wao wakaanza ku counter mafundisho hayo ya waislam ( pale speakers corner, kule Balboa Park USA
Licha ya Jitihada zote hizi za Wakristo ku counter MB influence, matukio haya ya karibuni yanaweza kumfadhaisha sana Mkirito wa nchi hizo na hata kuingine Duniani; mkiristo anaweza sema duuu inaonekana Islimization cannot be stopped, just as themselves muslims brag.
NATAKA NIWAKUMBUSHE KITU KIMOJA
Ktk 2 Mambo ya Nyakati 20:15 “Akasema: “Sikilizeni kwa makini, enyi watu wote wa Yuda nanyi wakaaji wa Yerusalemu na Mfalme Yehoshafati! Yehova anawaambia hivi: ‘Msiogope wala msihofu kwa sababu ya umati huu mkubwa, KWA MAANA VITA SI VYENU, BALI NI VYA MUNGU”
Haya tunayoyaona inazidi thibitisha kuwa yule Mungu wao, ALLAH anahasira za mwisho mwisho akijua wakati wake wa kuangamizwa upo karibu sana Revelation 12:9-12. Tukiwa tunakaribia zaidi ule mwaka wa 2000 ( yaani 2029) tangu Yesu abatizwe na kutambulika Rasmi kama Messiah tutashuhudia mambo mengi zaidi. Lakini Muwe na Imani yenye Nguvu.
Mnamkumbuka Mohamed Morsi? Yule Rais wa kwanza kabisa wa Chama Mshirika wa Muslim Brotherhood kule Misri? Dunia yote na Israel ilizizima alipoingia Madarakani. Yule angeendelea leo hii sijui Israel ingekuwa inazungumza Lugha GANI. Lakini MUNGU WA KWELI kama alivyosema ktk 2Ch. 20:15 vita siyo vyenu ni vyake. Alimnyanyua mmoja miongoni mwao kusitisha Mipango ya Hila ya Muslim Brotherhood.
Pia je mlipata kujua kuwa Marekani na Uingereza licha ya Umwamba wao wote hawaja iweka MB kama moja ya Terrorist Organization?!!
Badala yake MUSLIM BROTHERHOOD IT HAS BEEN DECLEARED AS A TERTORIST ORGANIZATION BY
1. Saudi Arabia
2. Egypt
3. UAE-Dubai
4. Russia
Mataifa yanayo sponsor MB kwa sasa ni:
1. Qatar
2. Iran
3. Turkey
Pamoja na bandiko hili nawawekea tweet za kuonyesha waislam wanavyotikisha western civilization