Je, tunaweza kuishi kwa amani tukifatisha vitabu vyetu vya dini?

Je, tunaweza kuishi kwa amani tukifatisha vitabu vyetu vya dini?

Kuna sehemu nimelazimisha mtu afuate mitazamo yangu?

Je wewe unaposema ni bora
"kuamini Mungu yupo" usimkute kuliko kumkuta. HUONI kwamba unafosi na kulazimisha mitazamo yako kwa watu wengine?

Hivi kati ya sisi Atheists na nyie wenye dini nani hulazimisha watu kufuata mitazamo yao?

Ninyi wafia dini kila kukicha nyuzi za kumpokea Yesu, Mara kumjua Allah, Mara kusilimu, Mara kupokea wokovu hazi ishi humu JF...

Yani mnalazimisha watu kufuata mitazamo yenu ya uwepo wa Mungu.

Umeivuka kwa kukosa majibu na uthibitisho.

Kwa vile Mungu huyo hayupo na ume amua kukubali fictions.

Imani ni kutokuwa na uhakika (Doubt)

Kitu kikisha fahamika kipo, Hakihitaji imani ya kutambulika kipo.

Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika, Ukweli hauendani na imani.

Ukweli unaendana na uwepo wa facts, evidences, proves na Logic..

Imani ni imaginations just an illusion.

Ndio maana nakwambia imani ni illusion.

Kama Mungu huyo asipo aminiwa Hapungukiwi kitu, Sasa unacho lazimisha aaminiwe ni nini?

Kwa nini Mungu huyo atoe adhabu kwa wasio mwamini, kama Hapungukiwi kitu?

Mungu huyo kama anataka aaminiwe na binadamu wote, Alishindwaje kuumba Binadamu wema tu watakao mwamini siku zote?

Nakwambia hivi 👇

Mungu hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Mmepumbazwa na kujazwa hofu za fiction character asiye kuwepo.
We una akili kweli, nimemlazimisha mtu kuamini imani zangu wapi??

Nikuulize swali, huu uzi na mada uliyoanzishwa kuna uhusiano wowote?? huu uzi ni kwa ajili ya watu wanaoamini katika mungu, wewe huamini, kilichokufanya ulete mada za atheism ni nini?
Alaf unasema tunalazimisha watu kwan tumekuita tukaku force usome uzi(hujasoma heading ya thread), si umejileta mwenyew, yaan unaona thread, unai click, unaisoma yote, then unaona kabisa haihusiani na vitu unavopenda(atheist topics) alaf unajibu vitu irrelevant(havihusiani kabisa na topic) alaf unasema tunakulazimisha uamini, kweli broo??
 
sasa ndugu zetu waislam embu watufafanulie kwanini quran ina maelekezo mengi ya chuki, visasi na mauaji....
pengine mtoa mada umechukua sehemu ndogo ya aya na kupoteza maana halisi ya maelekezo hayo, hvyo tunaomba ndugu zetu waislam watufafanulie maana halisi ya hayo maandiko yao.
Nimesoma hizo aya zote, zote zina maana kama nilivoandika.
 
Nimesoma hizo aya zote, zote zina maana kama nilivoandika.
sasa ule msemo wao kuwa uislam ni dini ya amani walitolea wapi, wakat maelekezo ya quran ni kuwa waue wasioamini?
ila in common sense, Mungu hawezi agiza watu waeneze neno lake kwa upanga, Mungu hujitetea mwenyewe wala hatetewi, kwahyo mafundisho kwamba kuna kuua kwa wasioamini ni mafundisho yasiyotoka kwa Mungu.
 
sasa ule msemo wao kuwa uislam ni dini ya amani walitolea wapi, wakat maelekezo ya quran ni kuwa waue wasioamini?
ila in common sense, Mungu hawezi agiza watu waeneze neno lake kwa upanga, Mungu hujitetea mwenyewe wala hatetewi, kwahyo mafundisho kwamba kuna kuua kwa wasioamini ni mafundisho yasiyotoka kwa Mungu.
Facts
 
We una akili kweli, nimemlazimisha mtu kuamini imani zangu wapi??

Nikuulize swali, huu uzi na mada uliyoanzishwa kuna uhusiano wowote?? huu uzi ni kwa ajili ya watu wanaoamini katika mungu, wewe huamini, kilichokufanya ulete mada za atheism ni nini?
Mwanzoni mwa huu uzi nilichangia kwamba maandiko yote ya kidini ni Stori za kutungwa na hadithi za kusadikika. Ukaja kuni quote ukisema Bora kuamini Mungu yupo usimkute kuliko kumkuta.

Wewe ndiye uliye ingiza habari za Mungu kwa kuni quote ukisema Bora kuamini Mungu huyo.
Alaf unasema tunalazimisha watu kwan tumekuita tukaku force usome uzi(hujasoma heading ya thread), si umejileta mwenyew, yaan unaona thread, unai click, unaisoma yote, then unaona kabisa haihusiani na vitu unavopenda(atheist topics) alaf unajibu vitu irrelevant(havihusiani kabisa na topic) alaf unasema tunakulazimisha uamini, kweli broo??
By the way,

Hii ni Open forum Huwezi kunipangia namna ya kutoa maoni na mimi siwezi kukupangia namna ya kutoa maoni.

Kila mtu yuko huru kuwasilisha maoni yake, Wewe ukiona hoja za mwingine zinakukera kwa nini uhangaike kuzisoma?
 
Mwanzoni mwa huu uzi nilichangia kwamba maandiko yote ya kidini ni Stori za kutungwa na hadithi za kusadikika. Ukaja kuni quote ukisema Bora kuamini Mungu yupo usimkute kuliko kumkuta.

Wewe ndiye uliye ingiza habari za Mungu kwa kuni quote ukisema Bora kuamini Mungu huyo.

By the way,

Hii ni Open forum Huwezi kunipangia namna ya kutoa maoni na mimi siwezi kukupangia namna ya kutoa maoni.

Kila mtu yuko huru kuwasilisha maoni yake, Wewe ukiona hoja za mwingine zinakukera kwa nini uhangaike kuzisoma?
Pita kushoto
 
nyie wenye mada ya Mungu yupo au hayupo mtupishe kwenye huu uzi.
kuhusu mada iliyopo, kwa wakristo ni clear, ukristo ni ufuasi wa kristo na aliyonena na kuyatenda kristo yamewekwa kwenye sehemu ya pili ya biblia yaani AGANO JIPYA, maandiko hayo yanafundisha kupendana, kusameheana, kutohukumiana na kusaidiana, YESU ALIHUBIRI UPENDO WA MUNGU KWETU, na jinsi imetupasa kuoendana kwanza enyewe kwa wenyewe kabla ya kumpenda MUNGU,..

Mathayo 5:43-48 BHN​

“Mmesikia kwamba ilisemwa: ‘Mpende jirani yako, na kumchukia adui yako.’ Lakini mimi nawaambieni, wapendeni maadui zenu na kuwaombea wale wanaowadhulumu nyinyi, ili mpate kuwa watoto wa Baba yenu aliye mbinguni. Kwa maana yeye huwaangazia jua lake watu wabaya na wema, na kuwanyeshea mvua watu wanyofu na waovu. Je, mtapata tuzo gani kwa kuwapenda tu wale wanaowapenda nyinyi? Hakuna! Kwa maana, hata watozaushuru hufanya hivyo! Kama mkiwasalimu ndugu zenu tu, je, mmefanya kitu kisicho cha kawaida? Hata watu wasiomjua Mungu nao hufanya vivyo hivyo. Basi, muwe wakamilifu kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.

1 Yohane 4:20-21 BHN​

Mtu akisema kwamba anampenda Mungu, hali anamchukia ndugu yake, huyo ni mwongo. Maana mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hamwoni. Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.


Maana yake ni kwamba ukristo au kumfuata kristo tunaongozwa na amri za upendo, mpende jirani yako kama nafsi yako na mpende MUNGU wako kwa moyo, nguvu na akili zako zote... hivyo nakiri kwamba ufuasi wa ukristo ni upendo na amani.

sasa ndugu zetu waislam embu watufafanulie kwanini quran ina maelekezo mengi ya chuki, visasi na mauaji....
pengine mtoa mada umechukua sehemu ndogo ya aya na kupoteza maana halisi ya maelekezo hayo, hvyo tunaomba ndugu zetu waislam watufafanulie maana halisi ya hayo maandiko yao.
Biblia takatifu imeeleza vizuri sana.
 
Write your reply...mpaka apo dini ya kweli imejulikana na wazee wa jihad wameeleweka
 
According to the Koran;
Koran 2;191
"Slay the unbelievers wherever you find them."

Koran 3;28
"Muslims must not take the infidels as friends."

Koran 3;85
"Any religion other than Islam is not acceptable."

Koran 5;33
"Maim and crucify the infidels if they criticize Islam."

Koran 8;12
"Terrorize and behead those who believe in scriptures other than the Koran."

Koran 8;60
"Muslims must muster all weapons to terrorize the infidels."

Koran 8;65
"The unbelievers are stupid; urge the Muslims to fight them."

Koran 9;5
"When opportunity arises kill the infidels wherever you find them."

Koran 9;30
"Destroy Jews and Christians."

Koran 9;123
"Make war on the infidels living in your neighborhood."

Koran 22;19
"Punish the unbelievers with garments of fire, hooked iron rods, boiling water, melt their skin and bellies."

Koran 47;4
"Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them."

Bible Matthew 5;43-45
“You have heard that it was said, Love your neighbor and hate your enemy. 44 But I tell you, love your enemies and pray for those who persecute you, 45 so that you may be children of your Father in heaven. For he causes his sun to rise on the evil and the good, and sends rain on the righteous and the unrighteous.

Koran inasema ulimwengu wote umeumbwa na Allah, na binadamu wote, tunaoamini na tusioamini katika uislamu wote tumeumbwa na Allah, maana yake sisi sote ni watoto wa Allah muumba wetu, sasa kwann kwa hekima ya yeye aliye juu kwa kupitia mtume asingetafuta namna au njia nyingine nzuri ya amani ya kutuvuta/kutushawishi sisi tusioamini tuingie kweny uislamu ili tumrudie yeye muweza yote, kuliko kupandikiza chuki na hasira dhidi ya sisi tusioamini, hadi ikafika hatua ya kukataza urafiki kati ya wanaoamini na wasioamini?

Kwanini mwenye hekima yote aamuru mauaji dhidi yetu tusioamini? Ina maana kwa hekima zake sisi tusioamini hatuna haki ya kuishi?

Ina maana ushawishi wake haukuwa mkubwa sana hadi afikie maamuzi ya kufyeka wasiamini kweny uso wa dunia?

Nipo hapa kuelimishwa.
Jana leo comments 30 tu?

Waislamu wa JF wamejipata, hawajajaa upepo [emoji23]
 
Kwa bahati mbaya umekua biased, ungekua mkweli ukaweka na maandiko ya kwenye bible yenye ukakati tungeenda sawa,

Kasome mungu alivyosema 1 samweli 15: 3 ona Mungu wa bible anavyosema, hiyo ni moja tu
Mkuu yako maandiko mengi sana ya ukatili kwenye biblia huwa nawaangalia tu hawa jamaa wanavyochimbaana...

Na vitu alivyoanzisha mtu..
Ili kuwatswala
 
According to the Koran;
Koran 2;191
"Slay the unbelievers wherever you find them."

Koran 3;28
"Muslims must not take the infidels as friends."

Koran 3;85
"Any religion other than Islam is not acceptable."

Koran 5;33
"Maim and crucify the infidels if they criticize Islam."

Koran 8;12
"Terrorize and behead those who believe in scriptures other than the Koran."

Koran 8;60
"Muslims must muster all weapons to terrorize the infidels."

Koran 8;65
"The unbelievers are stupid; urge the Muslims to fight them."

Koran 9;5
"When opportunity arises kill the infidels wherever you find them."

Koran 9;30
"Destroy Jews and Christians."

Koran 9;123
"Make war on the infidels living in your neighborhood."

Koran 22;19
"Punish the unbelievers with garments of fire, hooked iron rods, boiling water, melt their skin and bellies."

Koran 47;4
"Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them."

Bible Matthew 5;43-45
“You have heard that it was said, Love your neighbor and hate your enemy. 44 But I tell you, love your enemies and pray for those who persecute you, 45 so that you may be children of your Father in heaven. For he causes his sun to rise on the evil and the good, and sends rain on the righteous and the unrighteous.

Koran inasema ulimwengu wote umeumbwa na Allah, na binadamu wote, tunaoamini na tusioamini katika uislamu wote tumeumbwa na Allah, maana yake sisi sote ni watoto wa Allah muumba wetu, sasa kwann kwa hekima ya yeye aliye juu kwa kupitia mtume asingetafuta namna au njia nyingine nzuri ya amani ya kutuvuta/kutushawishi sisi tusioamini tuingie kweny uislamu ili tumrudie yeye muweza yote, kuliko kupandikiza chuki na hasira dhidi ya sisi tusioamini, hadi ikafika hatua ya kukataza urafiki kati ya wanaoamini na wasioamini?

Kwanini mwenye hekima yote aamuru mauaji dhidi yetu tusioamini? Ina maana kwa hekima zake sisi tusioamini hatuna haki ya kuishi?

Ina maana ushawishi wake haukuwa mkubwa sana hadi afikie maamuzi ya kufyeka wasiamini kweny uso wa dunia?

Nipo hapa kuelimishwa.
Dah aisee! kweli wajinga ndo waliwao! yani hizo quotation za Quran umeweka nusunusu halafu kwenye hiyo Bible umeweka verse zaidi ya moja kwa ulichoki-quote.

Hivi ukifanikiwa kuwahadaa watu wakuona Uislamu ni mbaya kwa ujanja ujanja wako unakuwa umeitendea haki dini yako?

There is a reason kwanini walio wengi wanaoslimu ni wazungu kwa kuwa ni watu wenye kutafuta ukweli kuliko sisi huku tuonataka kulielewa neno ya Mungu kwa kusimuliwa!

Kwa mwenye kutaka ukweli, hebu fanya kama hivo chini:-

(2:190) Fight in the way of Allah against those who fight against you but do not transgress, for Allah does not love transgressors.
(2:191) Kill them whenever you confront them and drive them out from where they drove you out.
(2:192) Then if they desist, know well that Allah is Ever-Forgiving, Most Compassionate.
 
Huu ni upotoshaji mwengine kwa wale wasiofikiria! anayelindwa ni yule aliye katika hatari ya kudhuriwa, labda mtuambie kwanza nyie mna mpango wa kumdhuru Allah wapi?

Jihad sio kumlinda/kumtetea Allah but ni struggle in the way of Allah. Vita ya kupambana na dhulma ni jihadi, na jihadi kubwa zaidi ni vita ya kupambana na nafsi yako dhidi ya matendo yasiyomridhisha Allah.
 
Imani ni kutokuwa na uhakika (Doubt)
Hapa ndo unapoanzia kuzurura ndugu yangu! kwahiyo mwenye imani ya juu ni yule mwenye doubt kubwa zaidi?

Ngoja nikueleweshe kidogo:-
'Imani ni kuridhika juu ya ukweli na uwepo wa kile kisichoonekana kupitia kile kinachoonekana'

Hili linathibitika kwa ukweli kwamba popote penye imani basi kuna kitu kinacho sukuma/shawishi ukweli wa hiyo imani husika i.e. mtu/kitu. Na hii ndo maana walipokuja watu na kusema wao ni mitume wa Mungu (ambaye binadamu hawajawahi kumuona) waliambatana na kitu cha kuwaridhisha hawa watu juu ya claim zao (miujiza).

Hivyo basi mwenye imani ya juu zaidi katika watu ni yule aliyeridhika zaidi na ukweli wa uwepo wa kile asichokiona kupitia kile alichokiona i.e. Mitume, maneno ya Mungu kupitia vitabu vyake n.k

Ukianzia hapa ndo utajua kama Mungu yupo au hayupo.
 
Huu ni upotoshaji mwengine kwa wale wasiofikiria! anayelindwa ni yule aliye katika hatari ya kudhuriwa, labda mtuambie kwanza nyie mna mpango wa kumdhuru Allah wapi?
Hili ni swali sasa la wewe kutujibu, hao waislamu wanaojilipua na kuua watu wasio na hatia wanamlinda nani? Au wanatetea haki za nani??
 
Hili ni swali sasa la wewe kutujibu, hao waislamu wanaojilipua na kuua watu wasio na hatia wanamlinda nani? Au wanatetea haki za nani??
Kwanza kabisa nianze kwa kukuelimisha kuwa katika uislamu hakuna mafundisho hayo ya kujilipua na kuua watu wasio na hatia! Quran 5:32

Kuna sababu za kisiasa na sababu za kijamii, there is a reason kwanini wanaenda kujiripua hapo wanapoenda! they have specific target na ukiangalia ni wale ambao wana uaidui nao wa kisiasa ama kiutawala. Na niweke wazi kabisa kuwa wanakosea kwa kuua watu wasio na hatia, Uislamu haufundishi hivo na bali unakemea vikali kuua nafsi isiyo na hatia (achilia mbali mtu, hata mnyama na miti kuikata bila sababu ya msingi ni dhambi!)
 
Back
Top Bottom