Je, tunaweza kujenga Tanzania ya viwanda bila kutegemea mabeberu? Ukaribu beberu na 'next door' ni fimbo au biashara tu?

uchumi wa wafanyabiashara kibao unapaa mfano wauzaji vyakula,wauzaji nguo madawa ya binadamu,daladala,nyumba za kupangisha nk consumption inategenea population Population ikiwa ndogo bakhresa hawezi tajirika na kuwa bilionea.
Consumption inategemea population au income? Mbona unakuwa mjinga wewe? Watu wengi wasiokuwa na income wanafaida gani? Nenda kasome soko LA Finland jinsi lilivyo na nguvu kuliko nchi zote za United Arab Emirates na wapo mil 5 tu ndio uje u parade ujinga wako hapa!
 
uchumi wa wafanyabiashara kibao unapaa mfano wauzaji vyakula,wauzaji nguo madawa ya binadamu,daladala,nyumba za kupangisha nk consumption inategenea population Population ikiwa ndogo bakhresa hawezi tajirika na kuwa bilionea.

Hoja zako hazina mashiko kabsa. Population kubwa haina uhusiano na maendeleo makubwa. Bangaladeshi wanapopulation kubwa vipi maendeleo? Qatar..finland wanawatu wachache sana lakini angalia uchumi wao. Issue siyo kuwa na watu wengi ..cha msingi ni kuwa middle income population wawe wengi. Leo india wenye watu 1.5 billioni wana mamillionea laki 8 tu.. but usa wenye watu millioni 350 wana millionea milioni 18.
 
Yote uliyoandika kwa maneno mengi yatawezekana kwa kutengeneza sera rafiki zitakazofanyiwa kazi na taasisi huru zitakazofanya kazi kwa mujibu wa taaluma jadidi na sio maelekezo ya mtu mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshaurini kwanza afufue viwanda kama Philips Radio,Generak Tyre,Machine Tools na vinginevyo vingi na sio kupiga mapambio hewa na kuwaghasi watu wa rangi nyingine kwa kuwakebehi wakati hamuwezi chochote bila wao
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiogope haya mabeberu yatakuja peke yao tu! Kusafiri ili kuyafata wataona tunajikomba.😂😂😂
Haukusikia kiongozi Mkubwa anakwambia "wao hawaji kwetu na sisi hatuendi kwao"? Ndio diplomacy waliyonayo Kichwani hiyo...kwenda kutafuta wawekezaji na mitaji kwao ni kujikomba, sababu tuna gas, almasi, dhahabu, ardhi nzuri na vyote havipatikani sehemu nyingine duniani then we are so unique.. Watakuja tu, wataachaje na sisi tuna resources zote hizi na hazipatikani sehemu yoyote ile duniani?
 
Huyo Kijana unayesema kama ndio ninaye mdhania.
Kama angepewa wizara ya mambo ya nje tungekuwa mbali sana sasa hivi.Lakini tatizo angewafunika watu kwenye magazeti ya nje na ndani. Ni kitu kisichoweza kukubalika.
Akipewa hiyo wizara 2020 na uhakika mwaka mmoja baadae utasikia ile ban ya Marekani imeondolewa!
Tatizo kubwa 2025 kungekuwa hakuna namna zaidi ya kumkabidhi kijiti!
Tatizo lake amekumbatiwa na matajiri fulani, akirent ile nyumba nyeupe.Wangepewa kila wanachotaka!
 
Tatizo kuwa tajiri awamu hii ni kosa kisheria!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania bado ni wavivu Sana alafu tulisha chelewa sababu ili usiwategemee mabeberu inabid uanze kila kitu upya yani maisha tuyaanze kama wamasai wanavyo ishi then tuende kidogo kidogo mpaka baada ya miaka Mia tutakua tayar Lakin Sasa Nan atakubal tanzania hii mtu yuko radh asiish tanzania akimbilie nch za nje vip wa gonjwa wa magonjwa kama ukimw tb kifua kikuu kansa na mengine kibao Hao wataishije wakat marekan ndio anagawa dawa Bure Yan kwailo jambo si rahis kuwezekana sababu TUpo tayar ndani ya system ilitakiwa ili tuendelee lazima tuwe na wataalam wetu technology yetu apo ndio tutaendelea sio utake uchumi wa viwanda uku wataalam hamna yani ili tufanikiwe kwanza labda tutumie NJIA Rais ya kuwekeza kwenye wataalam wa ndan watu waumize vichwa katika kutengeneza vitu hata zikiwa copy tunaitaji wataalam ili kufanikiwa sio mawazo wala pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mawazo yako Mazur ila mzungu hata siku moja hato ruhusu mtu mweus Tena muafrica aendelee uku kwetu ndio panapo balance uchumi wao ili wao waendelee kua matajir lazima sis tuwe masikin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe usikalie kulaum viongozi pia hata wew jiangalie mtaan kwako umefanya Nini kujikwamua huenda Ata wew ni kiongozi mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeremy Corbyn aliwahi kusema:

[/QUOTE]
 
Beberu ni kama oxygen je wawezaishi bila oxygen?
 
uchumi wa wafanyabiashara kibao unapaa mfano wauzaji vyakula,wauzaji nguo madawa ya binadamu,daladala,nyumba za kupangisha nk consumption inategenea population Population ikiwa ndogo bakhresa hawezi tajirika na kuwa bilionea.
Inategemea na purchasing power ya population husika.Ishu sio ukubwa au udogo wa population husika.
 
Kuzaliana hakuleti uchumi. Issues ni quality ya watu mtaani.
Purchasing power yaani uwezo wa kumudu mahitaji wa jamii husika ili uweze kununua ni lzm uiingize kipato.Population inaweza ikawa kubwa lkn haizalishi mfano unaweza tembea kijiji kizima kuomba change ya elf 10 na usipate means hi population ni haizalishi ni masikini
 
Mkuu Paschal, kuna mtu aliwahi kusema ukweli na akachukiwa. Aliseme mtu fulani ana pesa za “kutengeneza juisi tu”. Huyo alionekana anasharau lakini ukweli ni kuwa hakutaka kuwa politically correct. Aliona FDI ndio uwekezaji sahihi.

Sijui kama safari za Rais zitapata kutokea - huenda sababu ya kutosafiri haihusiani na kubana matumizi. Binafsi sizijui na si sahihi nikazisemea. Lakini nimeona viongozi wa nchi nyingine wakienda kwenye WEF, Africa-China, France-Africa, UK-Africa fora. Pamoja na kuwakilishwa - hakuna mtu anayeweza kusema kwanini nchi imejaa contractors wa kujenga barabara, majengo na sio viwanda vya kufua chuma, kilimo kikubwa, uzalishaji wa bidhaa, madini nk. Je, ni sera za kodi, uwekezaji au mazingira yetu sio salama kwa mitaji yao - unpredictability??

Bandiko lako lina maana lakini lina dharau kwa Pempei na uliyemuita kubwa jinga! Leo umemuita hivo - na kesho akitoa msaada anasifiwa aliyepokea msaada. Unafiki au undumilakuwili uliouonesha hapa uko vichwani mwa wengi sana na wako katika nafasi za kufanya maamuzi. Tabia ya “baniani mbaya kiatu chake dawa”.

Binafsi nashangaa unashindwaje kujua umuhimu wa FDI kama DDI tunayoiona inatafsiri kiwanda kama “vyerehani vinne”.
 

HATUWEZI.

Kuna wenye akili ndogo wanasema mbona mabalozi wapo....yeye afuate nini?

Ukiwauliza mbona mikoani wakuu wa wilaya na wa mikoa wapo lakini Rais anakwenda?

Wanajibu.....umetumwa na mabeberu nini!
 
Kwa wale wa swala, Ijumaa Kareem
Kwa sisi wengine, Furahi Dei Njema
Kwa maoni yangu,thread yako ya leo imekaa kimzaha zaidi japo inaeleweka
FDI haiji kwa Rais kusafiri nje,FDI itakuja kama nchi itakua na amani na utulivu wa kiuchumi na kisiasa
Salva kiir ameshafanya zaidi ya ziara tano Us na Eu na hakuna anaetaka kuwekeza huko
Tumuache Rais amalize ndoto yake,akiondoka tuchague vasco da gama mwingine
 
January makamba,zitto kabwe, john mnyika na anthony mtaka, hawa ni baadhi ya viongozi ambao wapo smart hta tukiwapa madaraka wanaweza kufanya vitu vya kueleweka na sio hya mazuzu ya kisukuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…