Tofautisha Kodi na Kodi komozi ili usomeshwe namba.Watarudisha tu biashara zao upepo ukipita.Mbona wachaga walirudisha baada ya Nyerere kupita.Tajiri kukubali kusomeshwa namba ni matumizi mabovu ya akili yake niishi kishetani hali naweza invest nchi jirani upepo ukipita narudi.Ishu ya bureau sio sababu ya kutakatisha, ilikuwa zinaumbua takwimu feki za uchumi unakua thus wakaruhusu mabenki ili wayape bei elekezi lkn figure huwa hazidanganyi pembe la ng'ombe alifichiki still bado shilling imeboromoka haiokolewi kwa kufunga bureau.Jamaa yako alidhani wanafaidi Sana kila pesa apate yeye Kama alivodhan kagomba wanafaidi kwa wivu akaingia akachemsha.Aliyepewa kapewa we nani umshushe