fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Naomba ushauri kutoka kwenu wadau,ni njia zipi zinaweza kutumika ili ama kupunguza au kumaliza ufuska kwenye ndoa.Kwani siku hizi taarifa kuhusu ufuska kwenye ndoa ni nyingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni muhimu sana kuhakikisha kwamba katika ndoa yenu, nyote mnakau na afya njema daima, afya ya uzazi, afya ya akili, utimamu wa mwili na zaidi sana afya ya uchumi ambayo itasaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha ndoa na kuepusha ufuska.Naomba ushauri kutoka kwenu wadau,ni njia zipi zinaweza kutumika ili ama kupunguza au kumaliza ufuska kwenye ndoa.Kwani siku hizi taarifa kuhusu ufuska kwenye ndoa ni nyingi sana
Msikilize kwa makiniNaomba ushauri kutoka kwenu wadau,ni njia zipi zinaweza kutumika ili ama kupunguza au kumaliza ufuska kwenye ndoa.Kwani siku hizi taarifa kuhusu ufuska kwenye ndoa ni nyingi sana
Nakazia hasa asbuhi muache mkeo adrive utanishukuru baadae kama ulikuwa na uwezo wa kudrive dk5 tu yeye atakufikisha kwa dk 20 hadi 30Pigeni mzigo asubuhi na jioni!
asante kwa majibu mazurini muhimu sana kuhakikisha kwamba katika ndoa yenu, nyote mnakau na afya njema daima, afya ya uzazi, afya ya akili, utimamu wa mwili na zaidi sana afya ya uchumi ambayo itasaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha ndoa na kuepusha ufuska.
haiwezekani kwenye ndoa hamzungumzi wala kugusana kunako6kwa6 kwa zaidi ya miezi miwili halafu pasiwepo kuvuka boda, kwasababu ya tatizo la Afya ya uzazi au vinginevyo 🐒
ama ngulumbili humuwezi,unauliza hiki unajibiwa kileNje ya mada lkn
Agwambo wewe hii saa tisa kasoro tano unawaza usaliti katika ndoa umenyimwa mzigo au mpnz/mkeo ndio anarudi maskani kutoka kupigwa mti?
safiNakazia hasa asbuhi muache mkeo adrive utanishukuru baadae kama ulikuwa na uwezo wa kudrive dk5 tu yeye atakufikisha kwa dk 20 hadi 30
sawaPigeni mzigo asubuhi na jioni!
ni maoni yakoHizo taarifa hazina ukweli wowote ni uzushi mtupu.
Kama wahusika wata play part zao kikamilifuNaomba ushauri kutoka kwenu wadau,ni njia zipi zinaweza kutumika ili ama kupunguza au kumaliza ufuska kwenye ndoa.Kwani siku hizi taarifa kuhusu ufuska kwenye ndoa ni nyingi sana
Inaonekana kuwa uchumi wa mwanaume ukiimarika tu shida inaanzia hapo.ni muhimu sana kuhakikisha kwamba katika ndoa yenu, nyote mnakau na afya njema daima, afya ya uzazi, afya ya akili, utimamu wa mwili na zaidi sana afya ya uchumi ambayo itasaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha ndoa na kuepusha ufuska.
haiwezekani kwenye ndoa hamzungumzi wala kugusana kunako6kwa6 kwa zaidi ya miezi miwili halafu pasiwepo kuvuka boda, kwasababu ya tatizo la Afya ya uzazi au vinginevyo 🐒
sawaHakuna. Wanaume wanawaka tamaa. Hawaridhiki. Na wanawake tunaingia humu kutokana na hasira na kutaka kulipiza kisasi.