Je, Tundu Lissu amekimbia mapambano? Ni mwoga na katelekeza mamilioni ya wafuasi wake wanaomuunga mkono katika harakati za ukombozi?

Kilichomkatisha tamaa Lissu ni pale alipotoa kauli mara mbili kuwataka watu waingie mtaani kufanya vurugu. On both occasions watu hawajajitokeza. Imemdhalilisha sana hasahasa kwa wafadhili wake ambao walidhani Lissu ana wafuasi.

Alichoamua ni kuendelea na maisha yake binafsi. Ndio maana tangu ameondoka hajaandika tweet yoyote kwa wadau wake.
 
Kweli mnakiu ya damu zawatu mlitaka abaki ili iweje sasa anzeni kunyonyana damu wenyewe kukamata mabasi mabovu ya Msukuma na kuwakamua kodi Wasanii mliowalipa mamilioni wakati wa kampeni chafu kuwatukana Wapinzani
 
Punguza unafiki wee ni mtu mzima na unafamilia....KILICHOFANYA SERIKALI HAIKUWA UCHAGUZI BALI TUME KUSOMA KURA ZAO

Jaribu kuwa specific unamjibu nani. Ikiwezekana kwoti andiko la unayemjibu...

Kama umenikwoti Mimi, basi utakuwa hujasoma na kulielewa andiko kwa ujumla wake...

Namtetea Tundu Lissu na kamwe sijaunga mkono UCHAGUZI HUU...!!

Rudia tena kunisoma..
 
Kweli mnakiu ya damu zawatu mlitaka abaki ili iweje sasa anzeni kunyonyana damu wenyewe kukamata mabasi mabovu ya Msukuma na kuwakamua kodi Wasanii mliowalipa mamilioni wakati wa kampeni chafu kuwatukana Wapinzani

You are off of the point...

Hujasoma na kulielewa andiko langu..

Nakushauri usome upya tena, unaweza kuelewa mantiki ya hoja yangu..
 
maneno miiiingi utazani unaomba posa.
ungeuliza waliomshut LISSU risasi 16 watapatikana lini ningekuona wewe ni mwanamme
 
Watanzania bado wanawakumbuka, Urio Simango, Alfonso Dlakama, Savimbi,Kasavubu, Tshombe na Tembo
 
Kitendo cha kumpiga risasi Lissu ndicho kilichomjenga kimataifa. Alisema aliyosema hakuaminika sana lakini figisu za uchaguzi zinaonyesha ukweli wa madai yake ya awali. Watamsikiliza zaidi sasa. Badala ya kuondoa hilo tunabaki kutukana kwa maneno beberu. Shoga na msaliti huku tukimwacha akichanja mbuga. Kiukweli matendo yetu yatatuhukumu.
Beberu, shoga au msaliti hayasaidii kitu
 
Lissu ni MWANAHARAKATI siyo MWANASIASA, hivyo kukimbia mapambano ni sawa, kwani that is a typical feature of WANAHARAKATI ambao hicho ni kama chanzo chao cha mapato na kuishi. Hivyo Lissu ataendeleza UANAHARAKATI na zaidi mtaona akihojiwa na vituo kama BBC, VOA n.k. Pia mtamuona kwenye midahalo huko UK au US au Canada au Ubelgiji; na huko atakuwa akisema wanayotaka ASEME na kumlipa vidola kidogo, wao wanaita HANDOUTS! That will make him survive, of course atakuwa na vishughuli vingine visivyo halali ili aishi! Kwa sababu huko Ughaibuni hakuna FREE LUNCH!
 
Hao wafuasi mamilion huwa mnatumia njia gani kuwabaini?

Kapata kura 1.9M (Kamzidi Mrema wa 1995 kura 100K pekee) Usiniambie kaibiwa kwa maana hata Mrema naye "aliibiwa".

Kaitisha maandamano yasiyokoma nchi nzima,si watu tu bali hamna hata kenge kaonekana mtaani.
 
maneno miiiingi utazani unaomba posa.
ungeuliza waliomshut LISSU risasi 16 watapatikana lini ningekuona wewe ni mwanamme

Haa haa..

Sijui kama umesoma na kuelewa...

Ni maneno mengi, lakini ulipaswa usome mpaka mwisho kama unapenda kuchangia, kisha uielewe hoja na ndipo u - comment...

Actually, the simple way to judge you is that, you're absolutely off the point...!!

Hukusoma na kuelewa hoja yangu..
 
Kwa kuona kwa macho, utawabaini...

Actually, ni kwa njia ileile unayoweza kutumia wewe kuwabaini...
 

POINT:

Nini maana na tofauti ya MWANAHARAKATI na MWANASIASA?

I guess, you've ignorantly and unknowingly tried to use them out of context with reference to Tundu Lissu...!

By the way, ukiulizwa sasa na mtu mwenye ufahamu makini kuwa, Bwana John Pombe Magufuli ni nani katika muktadha huu, unaweza kutoa jibu gani?

Ni TAPELI, MWANASIASA, MWANAHARAKATI or just a certain HOOLIGAN picked from the dumping place..??
 
Sitaki kuingia au kuingizwa kwenye mtego wa KIJINGA kama huu unaotaka kuniwekea wa MITUSI, I am not of that type. I am very sorry! Kama una hoja lete, lakini kama ni MITUSI kwa heri!
 
Yaani andiko hili ni lissu kabisa huyu. yuko nyuma ya keyboard na nyuma yakle zaidi pompeo
 
Kura million 12 alizotabiri lisu atapewa bwana mkubwa ni ushahidi tosha lisu ana infomer wengi ndani ya system

Lkn good enough leo wkt anazindua bunge magu amekubali kwamba vitambulisho vya machinga vinahitaji maboresho makubwa ikiwemo kuweka jina na picha ya muhusika

Hii inathibitisha lisu sio mchezo
 
Kuhusu ID za Machinga,ni hivi, kama kuna ushauri mzuri, mtu yoyote mwenye akili anauchukua na kuufanyia kazi PERIOD! Huo pia ni ustaarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…