Kweli kabisa hatujawahi kupata mgombea asiye na doa wala mawaa kama TL
Ndugu watanzania wa karne hii sio mbumbumbu.Na hii ndio itakayompoteza mazima. Mtu akisikia tu jamaa katumwa na mabeberu basi kwisha kazi
Senti bai yuzingi tecno T301
Hakuna karata hapo kikubwa tusubiri kila mmoja ajinadi watu wataamua .Si karata ya kutegemea ikubalike as long as anajua kujitetea alikuwa katika matibabu nothing more
Atakuwa ni 'Mshindani' mzuri kwa Mgombea Urais wa CCM Dkt. Magufuli ila ' Timing' ya ujio wake na 'Kujikita' zaidi katika Kuutaka Urais kwa manoni yangu kama GENTAMYCINE umekuja wakati mbaya. Siyo Siri japo Rais Dkt. Magufuli ana 'Changamoto' zake kadhaa za 'Kiuongozi' na hata 'Kitabia' ila katika Kuisukuma Tanzania katika 'Maendeleo' ya Kimsingi kabisa amefanya mengi, makubwa na yanayoonekana labda ni kwa 'Mpumbavu' tu pekee.
Nilisema mahala hapa hapa JamiiForums kuwa sishauri Mheshimiwa Tundu Lissu 'agombee' Urais wa Tanzania kwa mwaka huu bali 'nilipendekeza' kuwa angejengwa na kujijenga zaidi kwa mwaka 2025 ambao kwa Mimi 'Mtazamo' wangu naona kuwa ndiyo unaweza kuwa 'Anguko' kubwa la CCM ( kama nayo isipojitathmini ) kutokana na kwamba kuna 'Matabaka' makubwa, Chuki kubwa na hata Kuhasimiana Kwingi ila kwa sasa Mweyekiti Taifa ( CCM ) anajitahidi 'Kufunika' hilo 'Fukuto' kwa Mamlaka yake.
Pamoja na kwamba nimesema huenda kwa mwaka 2025 ingekuwa ni vyema na wakati sahihi kwa Mheshimiwa Tundu Lissu 'Kugombea' na angeweza kuwa na 'impact' kubwa nchini kwakuwa Rais Dkt. Magufuli ( CCM ) atakuwa anaondoka, lakini ubaya ( hasara Kwake na kwa CHADEMA ) ni kwamba hata kwa mwaka huu 2020 ambapo Lissu atakuwa 'Flag Bearer' wa CHADEMA bado CCM watafaidika na kuzidi ' Kujiimarisha' zaidi Kisiasa hasa kwa 'Changamoto' ambazo atakuwa akizitoa / akizinadi Jukwaani wakati wa Kampeni.
CHADEMA imemuharakisha sana Tundu A. Lissu 'Kugombea' kwa mwaka huu ila kwa mwaka 2025 nina uhakika angeleta 'Ushidani' ule ninaoutaka.
Aaah bwana weee, yaani ndo wafikiri hivi kweli?
Sijui una maana gani kusema "wamemuharikisha"....
Nimekusikiliza na kutazama mdomo wako unavyozungumza, nikagundua kuwa, hata humaanishi lolote hiki unachozungumza....!!
This is the right challenger, right winner, at the right time...
Kama Rais wenu Magufuli anaamini kuwa " ametenda makubwa" (hata sijui yapi maana wengine hatuyaoni, mnaona ninyi tu PRAISE TEAM MEMBERS), basi aache mchecheto aache "nature" iamue badala ya kulazimishwa na nguvu ya asili ku - evacuate....
Naomba nikuhakikishie jambo moja tu, kwamba, kama ni sanduku la kura tu ndilo liachwe liamue, Magufuli na CCM watapigwa KO mapema asubuhi tu katika uchaguzi huu....!!
Ni ukweli mchungu sana huu, lakini nakushauri jaribu kuula hivyo hivyo, maana utashiba vizuri tu...
Uko sahihi kabisa.Atakuwa ni 'Mshindani' mzuri kwa Mgombea Urais wa CCM Dkt. Magufuli ila ' Timing' ya ujio wake na 'Kujikita' zaidi katika Kuutaka Urais kwa manoni yangu kama GENTAMYCINE umekuja wakati mbaya. Siyo Siri japo Rais Dkt. Magufuli ana 'Changamoto' zake kadhaa za 'Kiuongozi' na hata 'Kitabia' ila katika Kuisukuma Tanzania katika 'Maendeleo' ya Kimsingi kabisa amefanya mengi, makubwa na yanayoonekana labda ni kwa 'Mpumbavu' tu pekee.
Nilisema mahala hapa hapa JamiiForums kuwa sishauri Mheshimiwa Tundu Lissu 'agombee' Urais wa Tanzania kwa mwaka huu bali 'nilipendekeza' kuwa angejengwa na kujijenga zaidi kwa mwaka 2025 ambao kwa Mimi 'Mtazamo' wangu naona kuwa ndiyo unaweza kuwa 'Anguko' kubwa la CCM ( kama nayo isipojitathmini ) kutokana na kwamba kuna 'Matabaka' makubwa, Chuki kubwa na hata Kuhasimiana Kwingi ila kwa sasa Mweyekiti Taifa ( CCM ) anajitahidi 'Kufunika' hilo 'Fukuto' kwa Mamlaka yake.
Pamoja na kwamba nimesema huenda kwa mwaka 2025 ingekuwa ni vyema na wakati sahihi kwa Mheshimiwa Tundu Lissu 'Kugombea' na angeweza kuwa na 'impact' kubwa nchini kwakuwa Rais Dkt. Magufuli ( CCM ) atakuwa anaondoka, lakini ubaya ( hasara Kwake na kwa CHADEMA ) ni kwamba hata kwa mwaka huu 2020 ambapo Lissu atakuwa 'Flag Bearer' wa CHADEMA bado CCM watafaidika na kuzidi ' Kujiimarisha' zaidi Kisiasa hasa kwa 'Changamoto' ambazo atakuwa akizitoa / akizinadi Jukwaani wakati wa Kampeni.
CHADEMA imemuharakisha sana Tundu A. Lissu 'Kugombea' kwa mwaka huu ila kwa mwaka 2025 nina uhakika angeleta 'Ushidani' ule ninaoutaka.
Wafungaji wa hilo bao wanaanzia bench,hivyo bao hilo halifungiki.CDM kuweni tu makini bao la mkono lisifungwe, nini uhakika ushindi ni wenu mwaka huu kama ilivyokuwa mwaka 2015.
Hili lipo wazi kabisaAtakuwa ni 'Mshindani' mzuri kwa Mgombea Urais wa CCM Dkt. Magufuli ila ' Timing' ya ujio wake na 'Kujikita' zaidi katika Kuutaka Urais kwa manoni yangu kama GENTAMYCINE umekuja wakati mbaya. Siyo Siri japo Rais Dkt. Magufuli ana 'Changamoto' zake kadhaa za 'Kiuongozi' na hata 'Kitabia' ila katika Kuisukuma Tanzania katika 'Maendeleo' ya Kimsingi kabisa amefanya mengi, makubwa na yanayoonekana labda ni kwa 'Mpumbavu' tu pekee.
Nilisema mahala hapa hapa JamiiForums kuwa sishauri Mheshimiwa Tundu Lissu 'agombee' Urais wa Tanzania kwa mwaka huu bali 'nilipendekeza' kuwa angejengwa na kujijenga zaidi kwa mwaka 2025 ambao kwa Mimi 'Mtazamo' wangu naona kuwa ndiyo unaweza kuwa 'Anguko' kubwa la CCM ( kama nayo isipojitathmini ) kutokana na kwamba kuna 'Matabaka' makubwa, Chuki kubwa na hata Kuhasimiana Kwingi ila kwa sasa Mweyekiti Taifa ( CCM ) anajitahidi 'Kufunika' hilo 'Fukuto' kwa Mamlaka yake.
Pamoja na kwamba nimesema huenda kwa mwaka 2025 ingekuwa ni vyema na wakati sahihi kwa Mheshimiwa Tundu Lissu 'Kugombea' na angeweza kuwa na 'impact' kubwa nchini kwakuwa Rais Dkt. Magufuli ( CCM ) atakuwa anaondoka, lakini ubaya ( hasara Kwake na kwa CHADEMA ) ni kwamba hata kwa mwaka huu 2020 ambapo Lissu atakuwa 'Flag Bearer' wa CHADEMA bado CCM watafaidika na kuzidi ' Kujiimarisha' zaidi Kisiasa hasa kwa 'Changamoto' ambazo atakuwa akizitoa / akizinadi Jukwaani wakati wa Kampeni.
CHADEMA imemuharakisha sana Tundu A. Lissu 'Kugombea' kwa mwaka huu ila kwa mwaka 2025 nina uhakika angeleta 'Ushidani' ule ninaoutaka.