Je, tutaendelea kuvumilia kutekwa na kupotezwa kwa Viongozi wa CHADEMA hadi lini?

Je, tutaendelea kuvumilia kutekwa na kupotezwa kwa Viongozi wa CHADEMA hadi lini?

Mimi huwa najiuliza, 'Ni lini CHADEMA itaacha uharakati na kuwa chama cha siasa?'

Manake matendo na matamshi ya CHADEMA yanaviashiria vya uharakati tu.
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
 
Back
Top Bottom