SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Nita bubujikwa na machozi.Siku yako ya kutekwa ikifika ndio utaelewa
Sasa nyie CHADEMA msije kuniteka. Namijueni🙌🏾
=====
Nikipotea, utafutwe.😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nita bubujikwa na machozi.Siku yako ya kutekwa ikifika ndio utaelewa
Nape alipokuwa anatekwa na jiwe walikuwa Chadema wale?Nita bubujikwa na machozi.
Sasa nyie CHADEMA msije kuniteka. Namijueni🙌🏾
=====
Nikipotea, utafutwe.😁
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.Mimi huwa najiuliza, 'Ni lini CHADEMA itaacha uharakati na kuwa chama cha siasa?'
Manake matendo na matamshi ya CHADEMA yanaviashiria vya uharakati tu.