Je , tutapata fidia ya gharama tulizotumia? Mfano mimi nimeendesha gari toka Igunga mpaka Lupaso stadium.

Je , tutapata fidia ya gharama tulizotumia? Mfano mimi nimeendesha gari toka Igunga mpaka Lupaso stadium.

Gharama kubwa sana nimegumia.

Nimeendesha zaidi ya km 1000 alafu Dabi linaagirishwa kihumi.

Nani atafidia gharama zangu?
Mnao shabikia mamipura hua ni watu majinga majinga sasa ulilazimishwa kutumia hayo magharama, stupis
 
Mimi sio shabiki kindaki ndaki wa mpira lakini kwenye hili suala mashabiki inabidi na wao waoneshe msimamo wao. Wanachotakiwa kufanya ni kutokuingia uwanjani siku mpya ya mechi (itakayopangwa na bodi). Naamini kuna viongozi wa mashabiki wa hivi vilabu viwili, watoe msimamo wao kuwa pesa walizolipia kwenye mchezo huu zitumike kwenye michezo mingine ila sio mchezo mpya wa Yanga ya Simba. Wacheze wenyewe uwanjani bila mashabiki na mapato ya uwanjani ili liwe funzo waache kucheza na akili na pesa za mashabiki. Tofauti na hivyo hivi vilabu na hao TFF/Bodi hawataacha huu ujinga kamwe!
 
Kilichobaki tafuta mashabiki wenzio wa igunga mgeuze mrudi.

Hapa hakuna tff wala bodi, yanga na simba ndio wameharibu match. Ingekuwa ni hawa tff basi haya makosa yangekuwa yanatokea mara kwa mara.

Next time msusie kuja ili hizi team zione hasara yake.
 

Attachments

  • IMG-20250308-WA0075.jpg
    IMG-20250308-WA0075.jpg
    74.7 KB · Views: 1
Mimi nimelipia TV specifically kwa af jamaa wanazingua
 
Athari hasi za wizi, utapelina uchawa kwenye siasa zetu zinaibukia kwenye sekta ya mchezo wa soka!
Gharama kubwa sana nimetumia.

Nimeendesha zaidi ya km 1000 alafu Dabi linaagirishwa kihumi.

Nani atafidia gharama zangu?
 
Back
Top Bottom