Je , tutapata fidia ya gharama tulizotumia? Mfano mimi nimeendesha gari toka Igunga mpaka Lupaso stadium.

Je , tutapata fidia ya gharama tulizotumia? Mfano mimi nimeendesha gari toka Igunga mpaka Lupaso stadium.

Soma hiyo mzee wa igunga
 

Attachments

  • d48bf8b5-5afa-48f2-a232-2c75b9919f71.jpeg
    d48bf8b5-5afa-48f2-a232-2c75b9919f71.jpeg
    113.5 KB · Views: 1
Kuna mwenzako katoka Nairobi, kufika kwa Mkapa anakutana na mambo meusi. Kaloa hajui atambae au apae.
 
Back
Top Bottom