Je, tutegemee wapinzani kuibua madudu ya Chama Tawala au tupate Wanahabari wazalendo wenye nguvu za Kisheria kuibuia madudu ya wanasiasa

Je, tutegemee wapinzani kuibua madudu ya Chama Tawala au tupate Wanahabari wazalendo wenye nguvu za Kisheria kuibuia madudu ya wanasiasa

Logikos

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
15,460
Reaction score
24,233
Tumetukuwa tukitegemea Vyama vya Upinzani kuibua Madudu ya Chama Tawala; Binafsi naamini kwamba Vyama ni Muunganiko wa Watu wenye Mawazo yanayofanana ya jinsi gani tunaweza kutoka hapa na kufika pale..... Kama tunakwenda mjini wengine wanaweza kuamini tutembee kwa miguu ili tujenge Afya na kupunguza vitambi hivyo tukifika mjini tufanye shopping..., Wengine wanaweza kuona kwamba tupande magari ili tufike haraka na tutumie muda mfupi kwenda Gym kupunguza vitambi na kupata muda mrefu zaidi kufanya shopping...., kwahio mwananchi ataungana na watembea kwa miguu au watumia magari kwa kutumia utashi wake wa kuona faida na hasara ya kufanya atakachofanya.

Kwa kutegemea Wapinzani ndio wafumue / waonyeshe madudu ya Watawala ni kweli watafanya hivyo kama kufanya hivyo kutawasaidia wao kutawala lakini kama kile watawala wanachofaidika nacho na wao kinawanufaisha basi hawatakikemea, mfano katika suala la kupandishiana mishahara Bungeni pande zote mbili zitaungana na kutetea kwamba kinachofanyika ni sawa.

Hivyo basi watu pekee wenye motive ya kuibua madudu haya ni Tasnia ya Habari na waandishi wa habari wenye moyo, ujasiri, uzalendo na wasio na njaa na wanaolindwa kisheria kuweza kuibua madudu yoyote kwa yoyote wakati wowote. Na wanaweza kufanya hivyo iwapo tu Sheria itawalinda na Taasisi yao kuwa na uwezo wa kifedha na kutokutegemea hisani ya hao Wanasiasa... Pia wao Kama Muhimili mwingine wanaweza wakawa pia na Muwakilishi wao Bungeni (Na sio kuwakilishwa na Mwanasiasa / Waziri wa Chama Tawala)

Pili itungwe Sheria ya Mwanasiasa yoyote tunayempa Kodi zetu (Ruzuku) angalau mara moja kila mwezi kwa lazima aweze kutenga muda ambapo mwanahabari anaweza kumuuliza chochote kuhusu shughuli zake na aweze kujibu bila kukataa wala kupinga wala kuchagua ni nani wa kumuuliza au kumuhoji.

Iwapo Legislative (Bunge) Limeshindwa kuisimamia Serikali huenda ni wakati wa Tasnia ya Habari iweze Ku-balance mambo katika nyakati hizi ambazo hakuna checks and balances na wanasiasa wamekuwa na ubinafsi, umimi na kuangalia maslahi yao kuliko ya Common Mwananchi... Karne hii ya Siasa za Kushambuliana ili Wapinzani wapate Kula; NA wengine kujilinda ili waendelee kula na Kutawala - Tunahitaji a Different Player in the Mix.
 
Sisi viongozi chadema tunazindua mahekalu yetu, mtupishe!
-Piiiipooo pawaaaa.....!

IMG_20240327_063910_028.jpg
 
Tumetukuwa tukitegemea Vyama vya Upinzani kuibua Madudu ya Chama Tawala; Binafsi naamini kwamba Vyama ni Muunganiko wa Watu wenye Mawazo yanayofanana ya jinsi gani tunaweza kutoka hapa na kufika pale..... Kama tunakwenda mjini wengine wanaweza kuamini tutembee kwa miguu ili tujenge Afya na kupunguza vitambi hivyo tukifika mjini tufanye shopping..., Wengine wanaweza kuona kwamba tupande magari ili tufike haraka na tutumie muda mfupi kwenda Gym kupunguza vitambi na kupata muda mrefu zaidi kufanya shopping...., kwahio mwananchi ataungana na watembea kwa miguu au watumia magari kwa kutumia utashi wake wa kuona faida na hasara ya kufanya atakachofanya.

Kwa kutegemea Wapinzani ndio wafumue / waonyeshe madudu ya Watawala ni kweli watafanya hivyo kama kufanya hivyo kutawasaidia wao kutawala lakini kama kile watawala wanachofaidika nacho na wao kinawanufaisha basi hawatakikemea, mfano katika suala la kupandishiana mishahara Bungeni pande zote mbili zitaungana na kutetea kwamba kinachofanyika ni sawa.

Hivyo basi watu pekee wenye motive ya kuibua madudu haya ni Tasnia ya Habari na waandishi wa habari wenye moyo, ujasiri, uzalendo na wasio na njaa na wanaolindwa kisheria kuweza kuibua madudu yoyote kwa yoyote wakati wowote. Na wanaweza kufanya hivyo iwapo tu Sheria itawalinda na Taasisi yao kuwa na uwezo wa kifedha na kutokutegemea hisani ya hao Wanasiasa... Pia wao Kama Muhimili mwingine wanaweza wakawa pia na Muwakilishi wao Bungeni (Na sio kuwakilishwa na Mwanasiasa / Waziri wa Chama Tawala)

Pili itungwe Sheria ya Mwanasiasa yoyote tunayempa Kodi zetu (Ruzuku) angalau mara moja kila mwezi kwa lazima aweze kutenga muda ambapo mwanahabari anaweza kumuuliza chochote kuhusu shughuli zake na aweze kujibu bila kukataa wala kupinga wala kuchagua ni nani wa kumuuliza au kumuhoji.

Iwapo Legislative (Bunge) Limeshindwa kuisimamia Serikali huenda ni wakati wa Tasnia ya Habari iweze Ku-balance mambo katika nyakati hizi ambazo hakuna checks and balances na wanasiasa wamekuwa na ubinafsi, umimi na kuangalia maslahi yao kuliko ya Common Mwananchi... Karne hii ya Siasa za Kushambuliana ili Wapinzani wapate Kula na Kujilinda ili Chama Tawala kiendelee Kula - Tunahitaji a Different Player in the Mix.
Mkuu hili wazo lako ni zuri, je unaanza utekelezaji wake wewe, au na ww umelileta hapa Ili wengine ndio walifanyie kazi?
 
Mkuu hili wazo lako ni zuri, je unaanza utekelezaji wake wewe, au na ww umelileta hapa Ili wengine ndio walifanyie kazi?
Sababu mimi siwezi kuondoa umasikini wote hainiondolei pumzi ya kuweza kusema umasikini wowote popote duniani ni mbaya kwa wote....; Au kutoa wazo la wenye nacho waweze kusaidia baadhi ingawa mimi sina cha kutoa...

Wa kulifanyia kazi ni waliopo kwenye hio Tasnia na kama wameingia kwenye hio Tasnia kama Hobbie / Kitu wanachopenda basi hata kwa kukifanya bila ujira kwao itakuwa ni faida (So long as Sheria itakuwepo na inawalinda, kwamba hawawezi kutiwa korokoroni kwa kusimamia, kohoji au kutoa so called Siri, iwapo Siri hizo ni kwa manufaa ya nchi) Na kama kuna vyombo (Kama vile magazeti ya Udaku) zitakazokuwa zinanunua hizi Tetesi basi hata hao waandishi hawatakosa mkate wao wa kila siku bila kusubiri hisani wala bahasha

c.c: Pascal Mayalla
 
Tumetukuwa tukitegemea Vyama vya Upinzani kuibua Madudu ya Chama Tawala; Binafsi naamini kwamba Vyama ni Muunganiko wa Watu wenye Mawazo yanayofanana ya jinsi gani tunaweza kutoka hapa na kufika pale..... Kama tunakwenda mjini wengine wanaweza kuamini tutembee kwa miguu ili tujenge Afya na kupunguza vitambi hivyo tukifika mjini tufanye shopping..., Wengine wanaweza kuona kwamba tupande magari ili tufike haraka na tutumie muda mfupi kwenda Gym kupunguza vitambi na kupata muda mrefu zaidi kufanya shopping...., kwahio mwananchi ataungana na watembea kwa miguu au watumia magari kwa kutumia utashi wake wa kuona faida na hasara ya kufanya atakachofanya.

Kwa kutegemea Wapinzani ndio wafumue / waonyeshe madudu ya Watawala ni kweli watafanya hivyo kama kufanya hivyo kutawasaidia wao kutawala lakini kama kile watawala wanachofaidika nacho na wao kinawanufaisha basi hawatakikemea, mfano katika suala la kupandishiana mishahara Bungeni pande zote mbili zitaungana na kutetea kwamba kinachofanyika ni sawa.

Hivyo basi watu pekee wenye motive ya kuibua madudu haya ni Tasnia ya Habari na waandishi wa habari wenye moyo, ujasiri, uzalendo na wasio na njaa na wanaolindwa kisheria kuweza kuibua madudu yoyote kwa yoyote wakati wowote. Na wanaweza kufanya hivyo iwapo tu Sheria itawalinda na Taasisi yao kuwa na uwezo wa kifedha na kutokutegemea hisani ya hao Wanasiasa... Pia wao Kama Muhimili mwingine wanaweza wakawa pia na Muwakilishi wao Bungeni (Na sio kuwakilishwa na Mwanasiasa / Waziri wa Chama Tawala)

Pili itungwe Sheria ya Mwanasiasa yoyote tunayempa Kodi zetu (Ruzuku) angalau mara moja kila mwezi kwa lazima aweze kutenga muda ambapo mwanahabari anaweza kumuuliza chochote kuhusu shughuli zake na aweze kujibu bila kukataa wala kupinga wala kuchagua ni nani wa kumuuliza au kumuhoji.

Iwapo Legislative (Bunge) Limeshindwa kuisimamia Serikali huenda ni wakati wa Tasnia ya Habari iweze Ku-balance mambo katika nyakati hizi ambazo hakuna checks and balances na wanasiasa wamekuwa na ubinafsi, umimi na kuangalia maslahi yao kuliko ya Common Mwananchi... Karne hii ya Siasa za Kushambuliana ili Wapinzani wapate Kula; NA wengine kujilinda ili waendelee kula na Kutawala - Tunahitaji a Different Player in the Mix.
Kwa upinzani wa chadema ni bora tuwaunge mkono wanahabari wakongwe wa uchunguzi watusaidie kuibua madudu ya watu wasio waaminifu,chadema kila mtu anawaza kuiba ajenge nyumba kama ya mbowe au exmayor kwahiyo hawana hoja tena wamegeuka majizi kuliko wakati wowote ule
 
Kwa upinzani wa chadema ni bora tuwaunge mkono wanahabari wakongwe wa uchunguzi watusaidie kuibua madudu ya watu wasio waaminifu,chadema kila mtu anawaza kuiba ajenge nyumba kama ya mbowe au exmayor kwahiyo hawana hoja tena wamegeuka majizi kuliko wakati wowote ule
Kwa Ustawi wa nchi wala hatupaswi kuwaongelea CHADEMA pekee kama Wapinzani kwanza practically kwa Tanzania zaidi ya kupinga kwamba hawa ni wezi / mafisadi hakuna cha utofauti sana kwa wote wanavyosema wataongoza nchi na Wapinzani sio CHADEMA pekee wote wakiwa na fikra Tofauti ndio Upinzani wenyewe...;

Kwahio unavyosema tuwaunge wanahabari leo sababu CHADEMA hawafai Je CCM wakiwa Wapinzani tuache kuwaunga mkono Wanahabari ? Pili nadhani Wanahabari inabidi wapate nguvu za Kisheria kuwaunga mkono pekee wakati wanaweza kuozea Behind Bars nadhani itafanya wengine waogope kufanya hii kazi adhimu....
 
Kwa Ustawi wa nchi wala hatupaswi kuwaongelea CHADEMA pekee kama Wapinzani kwanza practically kwa Tanzania zaidi ya kupinga kwamba hawa ni wezi / mafisadi hakuna cha utofauti sana kwa wote wanavyosema wataongoza nchi na Wapinzani sio CHADEMA pekee wote wakiwa na fikra Tofauti ndio Upinzani wenyewe...;

Kwahio unavyosema tuwaunge wanahabari leo sababu CHADEMA hawafai Je CCM wakiwa Wapinzani tuache kuwaunga mkono Wanahabari ? Pili nadhani Wanahabari inabidi wapate nguvu za Kisheria kuwaunga mkono pekee wakati wanaweza kuozea Behind Bars nadhani itafanya wengine waogope kufanya hii kazi adhimu....
Uko sahihi na nakubaliana nawe,umewahi kusoma mambo yaliyotokea marekani na skandali ya watergate?
Je unakumbuka mambo aliyokuwa anaandika Joseph at Isango wa Singida?
Kuhuse tuhuma za mauaji za MKIRU?
Haya yote tunapaswa kujenga jamii yenye kuona athari zake kwa pamoja kiwa madhara yakitokea yanatupiga wote
Mimi natamani tujenge jamii yenye kuibua mambo mabaya ina a collective ways na si kujenga kakikundi kamoja ka wanahabari ndio maana wanatetea watu,alafu wanauawa vibaya na watu waliokuwa wanatetewa wala hawana habar kwa kuhisi hayawahusu.
Tujenge jamii imara.
 
Nadhani kuna wanahabari, wasambazaji wa udaku, waleta tetesi, na watoa maoni...

Huyu sikatai wala simpingi kwa kutoa maoni yake (Hio ni Haki yake kama Mtanzania) na Mengine mengi aliyosema ni ya ukweli ila kuna mengine ambayo hatuna uhakika / hana uhakika wala hayatuhusu kama Taifa (Personal Issues) nadhani kama Taifa kuyajadili ni kutumia vibaya rasilimali muda...
 
Tumetukuwa tukitegemea Vyama vya Upinzani kuibua Madudu ya Chama Tawala; Binafsi naamini kwamba Vyama ni Muunganiko wa Watu wenye Mawazo yanayofanana ya jinsi gani tunaweza kutoka hapa na kufika pale..... Kama tunakwenda mjini wengine wanaweza kuamini tutembee kwa miguu ili tujenge Afya na kupunguza vitambi hivyo tukifika mjini tufanye shopping..., Wengine wanaweza kuona kwamba tupande magari ili tufike haraka na tutumie muda mfupi kwenda Gym kupunguza vitambi na kupata muda mrefu zaidi kufanya shopping...., kwahio mwananchi ataungana na watembea kwa miguu au watumia magari kwa kutumia utashi wake wa kuona faida na hasara ya kufanya atakachofanya.

Kwa kutegemea Wapinzani ndio wafumue / waonyeshe madudu ya Watawala ni kweli watafanya hivyo kama kufanya hivyo kutawasaidia wao kutawala lakini kama kile watawala wanachofaidika nacho na wao kinawanufaisha basi hawatakikemea, mfano katika suala la kupandishiana mishahara Bungeni pande zote mbili zitaungana na kutetea kwamba kinachofanyika ni sawa.

Hivyo basi watu pekee wenye motive ya kuibua madudu haya ni Tasnia ya Habari na waandishi wa habari wenye moyo, ujasiri, uzalendo na wasio na njaa na wanaolindwa kisheria kuweza kuibua madudu yoyote kwa yoyote wakati wowote. Na wanaweza kufanya hivyo iwapo tu Sheria itawalinda na Taasisi yao kuwa na uwezo wa kifedha na kutokutegemea hisani ya hao Wanasiasa... Pia wao Kama Muhimili mwingine wanaweza wakawa pia na Muwakilishi wao Bungeni (Na sio kuwakilishwa na Mwanasiasa / Waziri wa Chama Tawala)

Pili itungwe Sheria ya Mwanasiasa yoyote tunayempa Kodi zetu (Ruzuku) angalau mara moja kila mwezi kwa lazima aweze kutenga muda ambapo mwanahabari anaweza kumuuliza chochote kuhusu shughuli zake na aweze kujibu bila kukataa wala kupinga wala kuchagua ni nani wa kumuuliza au kumuhoji.

Iwapo Legislative (Bunge) Limeshindwa kuisimamia Serikali huenda ni wakati wa Tasnia ya Habari iweze Ku-balance mambo katika nyakati hizi ambazo hakuna checks and balances na wanasiasa wamekuwa na ubinafsi, umimi na kuangalia maslahi yao kuliko ya Common Mwananchi... Karne hii ya Siasa za Kushambuliana ili Wapinzani wapate Kula; NA wengine kujilinda ili waendelee kula na Kutawala - Tunahitaji a Different Player in the Mix.
Naunga mkono hoja
P
 
Sababu mimi siwezi kuondoa umasikini wote hainiondolei pumzi ya kuweza kusema umasikini wowote popote duniani ni mbaya kwa wote....; Au kutoa wazo la wenye nacho waweze kusaidia baadhi ingawa mimi sina cha kutoa...

Wa kulifanyia kazi ni waliopo kwenye hio Tasnia na kama wameingia kwenye hio Tasnia kama Hobbie / Kitu wanachopenda basi hata kwa kukifanya bila ujira kwao itakuwa ni faida (So long as Sheria itakuwepo na inawalinda, kwamba hawawezi kutiwa korokoroni kwa kusimamia, kohoji au kutoa so called Siri, iwapo Siri hizo ni kwa manufaa ya nchi) Na kama kuna vyombo (Kama vile magazeti ya Udaku) zitakazokuwa zinanunua hizi Tetesi basi hata hao waandishi hawatakosa mkate wao wa kila siku bila kusubiri hisani wala bahasha

c.c: Pascal Mayalla
Naunga mkono hoja.
P
 
Kwa Ustawi wa nchi wala hatupaswi kuwaongelea CHADEMA pekee kama Wapinzani kwanza practically kwa Tanzania zaidi ya kupinga kwamba hawa ni wezi / mafisadi hakuna cha utofauti sana kwa wote wanavyosema wataongoza nchi na Wapinzani sio CHADEMA pekee wote wakiwa na fikra Tofauti ndio Upinzani wenyewe...;

Kwahio unavyosema tuwaunge wanahabari leo sababu CHADEMA hawafai Je CCM wakiwa Wapinzani tuache kuwaunga mkono Wanahabari ? Pili nadhani Wanahabari inabidi wapate nguvu za Kisheria kuwaunga mkono pekee wakati wanaweza kuozea Behind Bars nadhani itafanya wengine waogope kufanya hii kazi adhimu....
Naunga mkono hoja.
P
 
Kwa upinzani wa chadema ni bora tuwaunge mkono wanahabari wakongwe wa uchunguzi watusaidie kuibua madudu ya watu wasio waaminifu,chadema kila mtu anawaza kuiba ajenge nyumba kama ya mbowe au exmayor kwahiyo hawana hoja tena wamegeuka majizi kuliko wakati wowote ule
Hao majizi wa chadema serikali na vyombo vyake wameshindwa kuwachukulia hatua za kisheria ili wafungwe kwa ubadhirifu wa fedha za umma?
 
Dah, huyu Mange ana laana, kukosoa kwa matusi sio sawa.

Hata hivyo, sioni wa kuikosoa serikali, sio wanahabari wala wanasiasa. Kila mtu anafanya kwa maslahi ya tumbo lake.
Chakula cha Mwanasiasa ni kupata Madaraka ili apate kula...; Chakula cha Mwanahabari ni kufanya kazi yake na akiwa anaaminika na kujijengea jina watu watamsoma na ataweza kuuza habari zake;

Na kama Mwanahabari akipata Kinga ya Kisheria anaweza kufanya kazi yake vema kwa manufaa ya UMMA na hata akipewa mlungula mwanahabari mwingine anaweza kufichua hio habari ya kupeana mlungula... Cha maana ni kutengeneza mazingira ya kumlinda mwanahabari au whistle-blower yoyote...., Na wakifanya hivyo huenda mwananchi akapata sehemu ya kuamini ya kuhabarishwa sio sasa hivi wanahabari wamekuwa medium za propangada....

By the way hapo juu umeji-contradict kwamba Mange anakosoa kwa matusi alafu hapo chini unasema huoni wa kuikosoa Serikali !!!
 
Back
Top Bottom