Exactly my point kama hakuna / hawawezi kufungana Gavana / Kutupiana Mawe sababu wote wanaishi kwenye nyumba za Vioo; Inabidi tutafute wanaoishi kwenye Msonge ili waweze kuwatupia Mawe kila inabobidi na tuhakikishe tunawalinda katika utupaji wao wa maweHao majizi wa chadema serikali na vyombo vyake wameshindwa kuwachukulia hatua za kisheria ili wafungwe kwa ubadhirifu wa fedha za umma?
Usema vyema mkuu, wandishi wa habari ndio jukumu lao kuelimsha wanainchi juu ya ufisadi, uwachawa, Rushwa.Tumetukuwa tukitegemea Vyama vya Upinzani kuibua Madudu ya Chama Tawala; Binafsi naamini kwamba Vyama ni Muunganiko wa Watu wenye Mawazo yanayofanana ya jinsi gani tunaweza kutoka hapa na kufika pale..... Kama tunakwenda mjini wengine wanaweza kuamini tutembee kwa miguu ili tujenge Afya na kupunguza vitambi hivyo tukifika mjini tufanye shopping..., Wengine wanaweza kuona kwamba tupande magari ili tufike haraka na tutumie muda mfupi kwenda Gym kupunguza vitambi na kupata muda mrefu zaidi kufanya shopping...., kwahio mwananchi ataungana na watembea kwa miguu au watumia magari kwa kutumia utashi wake wa kuona faida na hasara ya kufanya atakachofanya.
Kwa kutegemea Wapinzani ndio wafumue / waonyeshe madudu ya Watawala ni kweli watafanya hivyo kama kufanya hivyo kutawasaidia wao kutawala lakini kama kile watawala wanachofaidika nacho na wao kinawanufaisha basi hawatakikemea, mfano katika suala la kupandishiana mishahara Bungeni pande zote mbili zitaungana na kutetea kwamba kinachofanyika ni sawa.
Hivyo basi watu pekee wenye motive ya kuibua madudu haya ni Tasnia ya Habari na waandishi wa habari wenye moyo, ujasiri, uzalendo na wasio na njaa na wanaolindwa kisheria kuweza kuibua madudu yoyote kwa yoyote wakati wowote. Na wanaweza kufanya hivyo iwapo tu Sheria itawalinda na Taasisi yao kuwa na uwezo wa kifedha na kutokutegemea hisani ya hao Wanasiasa... Pia wao Kama Muhimili mwingine wanaweza wakawa pia na Muwakilishi wao Bungeni (Na sio kuwakilishwa na Mwanasiasa / Waziri wa Chama Tawala)
Pili itungwe Sheria ya Mwanasiasa yoyote tunayempa Kodi zetu (Ruzuku) angalau mara moja kila mwezi kwa lazima aweze kutenga muda ambapo mwanahabari anaweza kumuuliza chochote kuhusu shughuli zake na aweze kujibu bila kukataa wala kupinga wala kuchagua ni nani wa kumuuliza au kumuhoji.
Iwapo Legislative (Bunge) Limeshindwa kuisimamia Serikali huenda ni wakati wa Tasnia ya Habari iweze Ku-balance mambo katika nyakati hizi ambazo hakuna checks and balances na wanasiasa wamekuwa na ubinafsi, umimi na kuangalia maslahi yao kuliko ya Common Mwananchi... Karne hii ya Siasa za Kushambuliana ili Wapinzani wapate Kula; NA wengine kujilinda ili waendelee kula na Kutawala - Tunahitaji a Different Player in the Mix.
Binafsi naamini hadi mtu awe mwandishi wa habari lazima ana hobbie ya hicho kitu kwahio ni kumuwezesha kunuondokana na njaa yake na vilevile alindwe Kisheria (asiweze kushitakiwa kama whistle blower)Kaka mkubwa Pascal Mayalla utanisahihisha endapo nitakua nimekosea; kashfa almost zote nchi hi zimeibuliwa na vyombo vya habari, Loliondo scandal iliibuliwa na mwandishi wa habari wa gazeti la Mfanyakazi, huyu huyu ndio aliandika kwa kirefu pia kashfa ya safari ya wakulu kule Ridejeneiro Brasili, mwandishi alikua akiitwa Francis Katabalo. Kashfa ya IPTL katikati ya miaka ya 90 as well it was the media of that time, Escrow account scandal was also mentioned by the Citizen news paper na Kafulila ndio akaishikia bango. Labda kashfa ya EPA ndio sina kumbukumbu kama iliibuliwa na waandishi wa habari, hi ilizungumzwa sana na mhe Dr. Slaa. Buzwagi Saga again was one of the best job done by our media na Zitto Kabwe akaikomalia hadi kumpa umaarufu wa kutosha. Jukwaa hili la siasa those times likijulikana kama Jambo forum again was very hot. So waandishi wa habari wamekua wana play role yao muda wote, sema sasa hivi kuna Twitter/X na mitandao mingine ya kijamii, watu wanarusha vimeo kupitia huko then vinadakwa na wengine baada ya uchunguzi; hotest one is bwana Kigogo as za JPM, kwako kaka mkubwa Pascal Mayalla
Sahihi kabisa bro.Binafsi naamini hadi mtu awe mwandishi wa habari lazima ana hobbie ya hicho kitu kwahio ni kumuwezesha kunuondokana na njaa yake na vilevile alindwe Kisheria (asiweze kushitakiwa kama whistle blower)
Binafsi nadhani bora tuache kuvipa hivi Vyama Ruzuku (Hususan CCM) na hata tuwe na mfuko wa waandishi wa Habari kwa kazi mahususi ya kuchunguza na kutuhabarisha; na wanasiasa walazimishwe kutenga muda wa kuwahabarisha hawa watu na kujibu maswali ya lolote wakati wowote....
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai - ni msemo uliopata umaarufu sana katika kipindi hiki cha awamu ya sita.Tumetukuwa tukitegemea Vyama vya Upinzani kuibua Madudu ya Chama Tawala; Binafsi naamini kwamba Vyama ni Muunganiko wa Watu wenye Mawazo yanayofanana ya jinsi gani tunaweza kutoka hapa na kufika pale..... Kama tunakwenda mjini wengine wanaweza kuamini tutembee kwa miguu ili tujenge Afya na kupunguza vitambi hivyo tukifika mjini tufanye shopping..., Wengine wanaweza kuona kwamba tupande magari ili tufike haraka na tutumie muda mfupi kwenda Gym kupunguza vitambi na kupata muda mrefu zaidi kufanya shopping...., kwahio mwananchi ataungana na watembea kwa miguu au watumia magari kwa kutumia utashi wake wa kuona faida na hasara ya kufanya atakachofanya.
Kwa kutegemea Wapinzani ndio wafumue / waonyeshe madudu ya Watawala ni kweli watafanya hivyo kama kufanya hivyo kutawasaidia wao kutawala lakini kama kile watawala wanachofaidika nacho na wao kinawanufaisha basi hawatakikemea, mfano katika suala la kupandishiana mishahara Bungeni pande zote mbili zitaungana na kutetea kwamba kinachofanyika ni sawa.
Hivyo basi watu pekee wenye motive ya kuibua madudu haya ni Tasnia ya Habari na waandishi wa habari wenye moyo, ujasiri, uzalendo na wasio na njaa na wanaolindwa kisheria kuweza kuibua madudu yoyote kwa yoyote wakati wowote. Na wanaweza kufanya hivyo iwapo tu Sheria itawalinda na Taasisi yao kuwa na uwezo wa kifedha na kutokutegemea hisani ya hao Wanasiasa... Pia wao Kama Muhimili mwingine wanaweza wakawa pia na Muwakilishi wao Bungeni (Na sio kuwakilishwa na Mwanasiasa / Waziri wa Chama Tawala)
Pili itungwe Sheria ya Mwanasiasa yoyote tunayempa Kodi zetu (Ruzuku) angalau mara moja kila mwezi kwa lazima aweze kutenga muda ambapo mwanahabari anaweza kumuuliza chochote kuhusu shughuli zake na aweze kujibu bila kukataa wala kupinga wala kuchagua ni nani wa kumuuliza au kumuhoji.
Iwapo Legislative (Bunge) Limeshindwa kuisimamia Serikali huenda ni wakati wa Tasnia ya Habari iweze Ku-balance mambo katika nyakati hizi ambazo hakuna checks and balances na wanasiasa wamekuwa na ubinafsi, umimi na kuangalia maslahi yao kuliko ya Common Mwananchi... Karne hii ya Siasa za Kushambuliana ili Wapinzani wapate Kula; NA wengine kujilinda ili waendelee kula na Kutawala - Tunahitaji a Different Player in the Mix.