Je, twisheni za mtaani kipindi cha likizo zinawasaidia Wanafunzi au zinawapoteza?

Je, twisheni za mtaani kipindi cha likizo zinawasaidia Wanafunzi au zinawapoteza?

Mr Mlokozi

Member
Joined
Jun 1, 2024
Posts
21
Reaction score
16
Kuna baadhi ya walimu kati shule kadhaa hawataki kabisa kusikia wanafunzi wao wanaenda kusoma tuisheni kipindi Cha likizo wakidai kwamba zinapoteza na kuvuruga uelewa wa kile alichowafundisha (Hawa hawaamini katika tuisheni za mtaani).

Pia Kuna walimu ambao wanawapa wanafunzi wao maelekezo ya kwenda kusoma maada fula wakiwa likizo tena wanakazia kabisa kwamba tunaweza tusipate mda wa kuzisoma hizo maada hapa (Hawa wanaamini katika tuisheni za mtaani).

Kwa mtazamo wako Unahisi tuisheni hizi zinawasaidia wanafunzi au laah?
 
Kwa advanced level zina mchango binafsi zilinipa dv1
 
Kuna baadhi ya walimu kati shule kadhaa hawataki kabisa kusikia wanafunzi wao wanaenda kusoma tuisheni kipindi Cha likizo wakidai kwamba zinapoteza na kuvuruga uelewa wa kile alichowafundisha (Hawa hawaamini katika tuisheni za mtaani)

Pia Kuna walimu ambao wanawapa wanafunzi wao maelekezo ya kwenda kusoma maada fula wakiwa likizo tena wanakazia kabisa kwamba tunaweza tusipate mda wa kuzisoma hizo maada hapa (Hawa wanaamini katika tuisheni za mtaani)

Kwa mtazamo wako Unahisi tuisheni hizi zinawasaidia wanafunzi au laah?
 
Sikuhizi hakuna kitu. Zamani kidogo back 2009 kurudi nyuma tuition ziilikua safi sana.
 
Tuition muhimu muda wa miaka 2 hautoshi kumaliza mada za A-level,hasa Kwa PCM na PCB.📌📌📌
 
Back
Top Bottom