Huna baya Mzee wa pisi kaliMi ni mzee wa kanisa
Shoga mdengereko utamuweza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji12]
Ila ni kweli jirani me na wewe mpaka kifo πJirani yangu wewe tumetoka mbali [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mi ni mzee wa kanisa
Basi itakua nami kanidanganya. Maana kuna sehem aliniambia eti anao mapachaEee [emoji15][emoji15] mama mchungaji ana watoto mapacha?
Mbona alisema kigori anatafuta wa kupiga deki jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila ni kweli jirani me na wewe mpaka kifo [emoji23]
Mtatengeneza bomu la NuclearMndengereko na mzaramo tunawezana mbona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzungu sana lastborn wa kwetu....ishi sanaHaya niambieni tabia zangu
πππ mimi ni mcha mungu, msinihukumu kwa maandishi yanguHuna baya Mzee wa pisi kali
π€£π€£π€£π€£π€£ Mbinguni huko tutafika hoi sanaπππ mimi ni mcha mungu, msinihukumu kwa maandishi yangu
CHAPUTA mstaafuHaya niambieni tabia zangu
πππ hautaki, unasema tule maisha kwanza, kama nataka mimba inabidi nimuoeKanisa gani ilo tuje [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi mshangazi ushaupachika mimba??
We koma sina hio itikadiNi wale mkiongea mnarusha hadi mate π ππ
I said with tongue in cheek.Huyu ni Wewe kabisa, ongezea na hii.... una tabia za umbea na kujibu maswali ambayo hujaulizwa
Aiiii kiputo akaweke msechu huko mie labda kuongeza nyonyo mpnz....hips takko on fleekEve nimekumiss!
Na sikushauri kuweka kiputo nimemuona dada anacho Hadi huruma kinavyomkera anajisikia kama ana gesi muda wote hawezi kumaliza andazi
Bas sawaOK sawa