Je, uandishi wa member wa JF unamtambulisha tabia yake?

Eee [emoji15][emoji15] mama mchungaji ana watoto mapacha?
Mbona alisema kigori anatafuta wa kupiga deki jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi itakua nami kanidanganya. Maana kuna sehem aliniambia eti anao mapacha
 
Mi ni mzee wa makanisa, leteni fungu la kumi nikemee hayo mapepo
 
Kanisa gani ilo tuje [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi mshangazi ushaupachika mimba??
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ hautaki, unasema tule maisha kwanza, kama nataka mimba inabidi nimuoe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…