Billy Kimber
Member
- May 20, 2022
- 89
- 207
- Thread starter
- #21
Hapana mkuu hapa umetudanganyaLaiti ungekuwa umejua hiyo elimu ya nyota ungeelewa kwanini imefichwa
kunatetesi kuwa trump asingepita baada ya kumulika katika nyota, lakini ikafanyika hesabu karibia karatasi nne (inasemekana) ili jamaa awekewe msingi wakushinda bila shida.
sasa jiulize kama kingekuwa ni kitu chepesi na kipo bila kufichwa unadhani watu wangeshindwa kusoma tu mtandaoni na wakatoboa?
nyota inahusianisha sana na vitu vitatu sana tena sana Nyota yenyewe+Hesabu+Asili(Mizimu au wazee wako au tuseme historia ya ukoo wako nk)
ndio maana jiulize kwanini watu walichaguliwa mke wa kuoa na ndoa zikadumu, jiulize kwanini wahindi wanachaguliwa mke na hawachomoi,
SABABU KUBWA YA KUFICHWA NIBAADA YA UTUMWA KUINGILIA MISINGI YA KIAFRIKA NA KUFANYA ELIMU ZETU NA TAMADUNI ZETU TUAMINI NI USHETANI NA UCHAWI, PIA WAZUNGU HAWAWEZI KUZIWEKA HADHARANI SABABU ITAKUSAIDIA WEWE KUAMKA NA KUWA UPANDE SALAMA.
PIA UNAWEZA UKASOMA HATA KWENYE VITABU NK ILA UWE NA MWALIMU AMBAYE NDIO ANAWEZA KUKUAMBIA HIKI SOMA HIKI SIO HIKI SOMA HIKI SIO NK
Hakuna anaeificha elimu ya nyota.Elimu ya nyota sio formal na mara nyingi inahusishwa na mambo ya imani.Issue ikishahusisha imani inakua na complication kidogo.Na pia watu wanaoifahamu sio wengi
Kuna kitu kinaitwa OCCULT ambayo hii imebeba hizi elimu (Astrology,Palmistry na Tarot).Ni study kuhusu hizi supernatural issues.